TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,695
- 2,449
sasa kama hawana maana unawataka wa nini?
lizzy,hao anaowasema yy wameshushwa toka mbinguni.
sasa kama hawana maana unawataka wa nini?
jikalie tu kama mimi,kama unaelekea kwenye ndoa na binadamu unayemuona hana maana,unapoteza muda wako.....
Ndo mnafika huko wiki mbili tatu mnaleta majibu kama haya mnavunja ndoa,in short bado maturity yako ni ndogo,unatafuta majibu mepesi kwenye maswali magumu,ukipewa huelewi......am done!!!!
lizzy,hao anaowasema yy wameshushwa toka mbinguni.
Hapana Michelle............. Huyu atakuwa treni toka Dar hadi kule Kapilimposhi Zambia wanashuka na kupanda wengi wengi............. Mara Ngerengere, Mlimba, makambako, Mbeya, .....etc..........etc
hivi aliyeleta hii thread yuko wapi au ndio tayari kaishapata majibu yake
i made it up all along.....cant stay far from that yummy smile of yours.....i can be a spair now cause i see your left tyre gonna burst soon! teheteee
naona amesepa
ha ha ha ha ha ha ha,tatizo hao abiria wanaweza shuka wote akajikuta mwenyewe..........lol
inaonekana mwenyewe anajiweza,manake anajiamini as if aliambiwa ndo siri ya mafanikio!!!
I love you Lizzy... you are a straight personKwanza kabisa sifagilii watu wanaopanga wenzao mstari!So unfair maana wenyewe unaweza kuta wamefika kumbe wako kwenye majaribio!!Ushauri..pesa zinaisha kwahiyo ukizitumia kama kigezo cha kuolewa baadae mambo yakaenda ndivyo sivyo ndo mwanzo wakutengana kwasababu hutokua na mapenzi ya kweli!Kama unampenda Mmassai yeye ndo anakufaa!Kama ni pesa mtatafuta pamoja!
Bigie nawe..ushaonja kidogo nini?Hehehe!Hapo tatizo lipo kwa mwanamke anaetaka kuolewa na mwanaume kwa vile tu ana pesa hata kama hampendi!Mwanaume anaweza kua anampenda kweli bila kujua mwenzake anataka kumATM tu!Zikiisha unadhani huyo mwanamke atafanyaje?
Ha ha ha ha ha, this time i will not fix it,simply because i have a back up plan!
na usingizi wake leo lazima uwe wa manyangunyangu
Sorry......... what was the thinking of this person about you prior to this post.......???
Ha ha ha ha ha, this time i will not fix it,simply because i have a back up plan!
If you need any back up i am here (hashy hebu jaribu basi kama vile haujaiona hii post)
naona amesepa
hahahahaaa!!!na usingizi wake leo lazima uwe wa manyangunyangu
tatiana posted via mobile uko guest gani na room namba ngapi???