Ah mpwa bwana, hivi kumbe haya mambo ya kweli sana tu. Haya tukutane himo.Hehehe! Ukizingatia mbunge wetu Mramba (wenye wivu wanamwita fisadi eti) kashatuwekea lami, hata Nissan March inafika mpaka tarakea. Unapiga breki pale njia panda ya Himo unapiga shopping ya mikate na kolgeti ya Kenya. Hahaha! Stout lazima likachinjiwe kamburu liache ujinga wa kugoma kustati nyakati maalum! Vameku na Vasheku lazima walipe baraka zao eti. Tunalifanyia kitu inaitwa mtchetche.
Hiyo haina cha sauti ya ngapi. We unajimwagia voko zako unavyotaka. Hahaha! Nimekumbuka wimbo anaoupenda sana bibi yangu:
Alaleluyaaaa, aleluya kasaliwa, aleluya kasaliwaaaa aah
Bwana Yesu mwokosi, furahi kasaliwa, ukombosi kufika, furahi kasaliwaaa,
Mwokosi amesaliwaaaaaaa, furahi amesaliwaaaaa. X 2
Kusaliwaaa bwana wetu Yesuuu Kristuuu, kweli ni furaha kwetuuuu
Alaleluyaaaa, aleluya kasaliwa, aleluya kasaliwaaaa aah
Bwana Yesu mwokosi, furahi kasaliwa, ukombosi kufika, furahi kasaliwaaa,
Mwokosi amesaliwaaaaaaa, furahi amesaliwaaaaa. X 2
Kaka wewe kiboko umesidi kuniua mbafu, inabidi mwakani nikupigie debe kwa madam Bongo star sechi, tunaweza tukatoka.Hiyo haina cha sauti ya ngapi. We unajimwagia voko zako unavyotaka. Hahaha! Nimekumbuka wimbo anaoupenda sana bibi yangu:
Alaleluyaaaa, aleluya kasaliwa, aleluya kasaliwaaaa aah
Bwana Yesu mwokosi, furahi kasaliwa, ukombosi kufika, furahi kasaliwaaa,
Mwokosi amesaliwaaaaaaa, furahi amesaliwaaaaa. X 2
Kusaliwaaa bwana wetu Yesuuu Kristuuu, kweli ni furaha kwetuuuu
Alaleluyaaaa, aleluya kasaliwa, aleluya kasaliwaaaa aah
Bwana Yesu mwokosi, furahi kasaliwa, ukombosi kufika, furahi kasaliwaaa,
Mwokosi amesaliwaaaaaaa, furahi amesaliwaaaaa. X 2
udini tu............ila msikae vikao vya jinsi ya kuwakandamiza wale wa nyanda za juu maana idara nyeti zote na serikali na makampuni binafsi mmeshikiria.....nasikia mkiona tu majina fulani fulani hawapati labda awe alikusaidia sana ukiwa masomoni.
Xmas njema.................
Hapo linapigwa na lile piano la kujaza na upepo, unalikumbuka? Iwe misa ya usiku, nusu ya waumini wananukia mbege. Wageni toka mijini wao huwa hawaendi ya usiku, wanakutana misa ya tatu kuonyeshana nani ana gari yenye akili kuliko mwenzake: Vita ya ma-academicians toka Dar na wana-apollo toka Arusha huwa inakuwa kali zaidi. Hahaha! Ma-shoe shiners wa Mombasa na Nairobi huwa wanapambana na wachoma nyama wa Moshi na Arusha. Panakuwa patamu sana Moshi. LOL!
wonderful moment, meet friends and relatives, share together christimass tunes, lovely, nawatakia christimass njema wameku ,wakyeku, wanakye na wapora, msisahau januari ni shule mkanywa bege then januari watoto wanarudishwa ada, pia kwa wale wakware vijijini siku hizi ni kama mjini, chonde chonde bebeni malboro
Kanisani kunakuwa na sadaka ya pili( kumwona mtoto pangoni), huku kwaya ikijitahidi kuimba kwa nguvu na kushangilia ili kuhamasisha mshiko zaidi. Misa inakuwa ndeefu huku wale ambao jana yake walilala nazo kichwani wakivinjari karibu karibu na viunga vya kanisa kutafuta mahali pa kuzimulia. Harufu ya Pilau kwa mbaali inasikika huku watoto wakicheza huku na kule wakisubiri msosi wa nguvu home! Mialiko kedekede mara baada ya misa. Jamaniii, bado siku 23 tu, tukutane kwa Kipanga Majengo!
Thats all you can say! Watu wanaongelea kwenda kula krisimasi nazareti ya Afrika wengine wanazungumzia mambo ya udini na ufisadi. Kuna majukwaa ya kazi hiyo binamu, nenda huko ukaanzisha thread utapata wachangiaji wazuri hapa ni kazi moja tu: KULA KRISIMASI KWETU MOSHI!
Kaka wewe kiboko umesidi kuniua mbafu, inabidi mwakani nikupigie debe kwa madam Bongo star sechi, tunaweza tukatoka.
Thats all you can say! Watu wanaongelea kwenda kula krisimasi nazareti ya Afrika wengine wanazungumzia mambo ya udini na ufisadi. Kuna majukwaa ya kazi hiyo binamu, nenda huko ukaanzisha thread utapata wachangiaji wazuri hapa ni kazi moja tu: KULA KRISIMASI KWETU MOSHI!
Mkuu Chris, Wengine hata kwao hawakujui. Sisi kwetu MOSHI tunakujua na kwenu msiojua kwenu pia twakujua. Acheni tukale zetu krisimasi( NDAFU+MBEGE = UTAKUMBUKA KWENU).
Achana nae mpwa chukua huu mti mpelekee bibi au atapamba na MSONOBARI?
Wapandishe ila wasipandishe bei ya petrol na Disel.
Daah, kamanda unaua, unakumbu jina la aina hii ya ndizi? Nakukumbusha tu(ndishi) kwa nyuma kusho kulee naona(Mchare/mshare). Unajua kibukusa na ilalalyi!!!
Daah, kamanda unaua, unakumbu jina la aina hii ya ndizi? Nakukumbusha tu(ndishi) kwa nyuma kusho kulee naona(Mchare/mshare). Unajua kibukusa na ilalalyi!!!
Hapo linapigwa na lile piano la kujaza na upepo, unalikumbuka? Iwe misa ya usiku, nusu ya waumini wananukia mbege. Wageni toka mijini wao huwa hawaendi ya usiku, wanakutana misa ya tatu kuonyeshana nani ana gari yenye akili kuliko mwenzake: Vita ya ma-academicians toka Dar na wana-apollo toka Arusha huwa inakuwa kali zaidi. Hahaha! Ma-shoe shiners wa Mombasa na Nairobi huwa wanapambana na wachoma nyama wa Moshi na Arusha. Panakuwa patamu sana Moshi. LOL!