Kwa VPN unaona Raha zote duniani

Kwa VPN unaona Raha zote duniani

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,114
Ndugu zangu tupewe nini tena? Hapa Tungekinya ukishaweka VPN unaona vyote duniani. Huna haja ya kukimbizana na wapiga mizinga ni mwendo wa bundle, sabuni na mkono wako tu
 
Ndugu zangu tupewe nini tena? Hapa Tungekinya ukishaweka VPN unaona vyote duniani. Huna haja ya kukimbizana na wapiga mizinga ni mwendo wa bundle, sabuni na mkono wako tu
Baada mzigo mkubwa wa deni la Taifa la trillion 100 , Basi mzigo mzito mwingine wa Taifa ni aina ya vijana wenye akili Kama za mleta MADA

Kwanini tu Taifa letu Lina vijana wa namna hii ???😡😡😡
Hizi MADA za kujadili humu kweli ?
 
Baada mzigo mkubwa wa deni la Taifa la trillion 100 , Basi mzigo mzito mwingine wa Taifa ni aina ya vijana wenye akili Kama za mleta MADA

Kwanini tu Taifa letu Lina vijana wa namna hii ???😡😡😡
Hizi MADA za kujadili humu kweli ?
Hata huko unakoona kumeendelea sana, wapo vijana na wazee wa hovyo kama huku tu.

The only difference ni kwamba, kwa wenzetu kuna ile cream inayoleta tofauti, sisi hiyo cream nadhani hatuna, wengi ni average minds tu.
 
Unajisifia kifo chako, endelea na upuuzi wako utavuna matunda yake
 
Inasikitisha sana Jf kuwa na watu wa aina hii sasa.
 
Ndugu zangu tupewe nini tena? Hapa Tungekinya ukishaweka VPN unaona vyote duniani. Huna haja ya kukimbizana na wapiga mizinga ni mwendo wa bundle, sabuni na mkono wako tu
Bora baba yako angevaa condom angeokoa taifa
 
Back
Top Bottom