jmchimbadhahabu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 218
- 106
Jaman,kwa umri wangu toka nimekua sijawahi ona uzalendo na mwitikio mkubwa wa wananchi karibia kila kona ya nchi wakifanya usafi tena kwa furaha isiyo na kifani,nasikasikia kuwa enzi za mwalimu uzalendo huu ulikuwepo wa watu kujitoa kwa masuala ya kitaifa,yaani leo kwa hapa dar mji uliitikia vya kutosha,yaani mpaka raha!! Viva Magufuli,Mungu akujalie maisha marefu kwa kuwaunganisha watanzania waliokuwa wanaelekea kutengana!