Kwa Ukali Dr Kitila Amjibu Ansbert Ngurumo

Kwa Ukali Dr Kitila Amjibu Ansbert Ngurumo

Status
Not open for further replies.
Dr. Mkumbo amechanganyikiwa haswa alipojikuta kapigwa 2-0, kwani Chadema ilimsimamisha na baadaye kumfukuza uanachama hafu Udsm wakampokonya cheo cha Dean huko Duce kwa hali hiyo inamaana ulaji ulipungua na ambition alizokuwa nazo zikatoweka.
Hapo ni sawa na mtu aliyezungukwa na uji wa volcano pande zote hivyo hajui kama atasalimika au atakufa na huo uji.

Alipofukuzwa UDSM nilipenda zaidi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
"Mimi najenga hoja ili kushawishi hadhira..kuna wanaokubali na wanaokataa...sina tatizo na wanaokataa...hadhira ipo hivyo na huwezi ibadilisha"- kitila

Hiyo hadhira ihitishe live .alafu tuone .what's will going on ,
 
Kitila, huna la maana na nikigundua unamsomesha mwanangu namhamisha chuo! Kwa taarifa yako umesoma haukuelimika, siasa unayoiongea si kwa Tanzania wala Afrika ni ya kufikirika na itafanyika miaka 150 ijayo. Wewe ulikuwa mjumbe wa cc ya CDM halafu unashindwa kujenga hoja ndani ya cc unaandika mikakati ya mageuzi? haufai na siasa hauijui na utaishia hapo ulipofika!
 
kitila anaitwa clouds mara kwa mara,ogopa mtu mwenye urafiki na mawingu..
 
Kusema 'kwa ukali' ni kujaribu kufanya unnecessary amplification ya jambo ambalo hata halipo, labda kutaka kuharibu mjadala tu.

Ni vigumu kuelewa kwa nini wanatumia hata uongo kuhalalisha hoja zao au matendo yao dhidi ya CHADEMA. Ni kitu kinachoshangaza sana.

But it tells a lot.

Badala ya wewe kubwabwaja kuwa umesemwa uongo, kwanini hutuoneshi katika maandiko ya Kitila uongo ni upi na wewe ueleze ukweli wako?

Hayo hayo anayosema Kitila ndio hayo hayo unayoyaishi katika maandiko yako haya.
 
KITILA, Sikujua kuwa ulikuwa mjumbe mzigo wa cc ya chadema. Yaani na usomi huo haujui kwa nini ccm inashinda hata mahali ambapo haina wapenzi au hata wanachama? Kumbe hukuisaidia chadema kuangalia tatizo la kura za maruhani zilizoidhoofisha cuf mpaka wakaamua kujiunga na ccm? Leo kwa unafiki wako unasema cdm imeshindwa wakati ulitakiwa ujue kuwa tume ya uchaguzi imefunga ndoa isiyokuwa na taraka na ccm, vyombo vya ulinzi na usalama na wageni wanaoangamiza Taifa hili, na pia kuwa rejista ya kura inamilikiwa na nec na ccm?. Kama hujui haya yote hata hicho chama chenu ACT kitakuwa kama ATC !
 
Kitila unalolote umesha kubali kutumika tetea ujira wako ukachukulie pesa ujerumani fisadi Mkubwa wewe
 
Mkuu tatizo la Kitila anafanya research bila kwenda huko field,in short anafanya research akiwa amejifungia ndani kwake,na hata akienda field anakuja na research ya number of sample n=12(ndogo sana) yote shauli ya uvivu,kwa hiyo tathimini mufilisi kama hizo haziepukiki,kama anataka aonyeshe hizo Fikra pevu zake aende huko ACT,tuone kama atabadilisha siasa za nchi hii kiurahisi kama anavyofikria,he is egoist hana lolote,anaamini zile theory zake anazofundisha pale UDSM, zitaleta changes,hajui huenda applications ya hizo desa zake si katika nchi kama Tanzania ambayo demokrasia bado ni changa!
 
Kwakweli kweli chadema mmeishiwa yani huyu ndio mme mteua kujibu hoja za kitila?
Kwikwikwi.
 
JF hii hii itakuja kuhukumu maana kila andiko litabaki hapa.

Sawa, Chadema ina mapungufu tena makubwa tu na si ya juzi, lakini kwanini kasi ya makala, kukosoa kumepamba moto sasa? Hivi leo Kitila anataka kutuambia alipokuwa anakosoa tulikuwa hatujui? Kwanini haya maneno makali makali wanazidi kuyakuza kipindi hiki?

Hivi huyu Kitila kama angekuwa anakosoa kwa kasi hii hii kabla hajafukuzwa si angejenga heshima kama mtu mwenye misimamo? Zitto aliposimama sasa ndipo alipo siku zote na tunamfahamu kwa hilo na hawezi kutushtua kwa kauli na matendo yake sasa, hata Kitila atafute justification za kiwango gani bado anazidi kutufanya tuzidi kumuweka kwenye kundi lile lile ..........

Kitila umeharibu, umekubali umeharibu, tulia tafakari hatma yako ya kisiasa ujijenge kwa namna mpya na si hii inayoonesha umejaa hasira tu za kufukuzwa na si hasira za kutaka mabadiliko.

Sorry brother....

Mkuu hawa watu Mkumbo, na wenzake historia itakuja kuwahukumu
 
Last edited by a moderator:
Utaonaje bila kusoma mdogo wangu, soma kwanza then utaelewa kilichoandikwa na si vinginevyo
Teh teh teh; nao Ni mtazamo mkubwa wangu. Kusema sijasoma, nimesoma alichokiandika mleta Uzi na kile ambacho Dr. Kitila kaandika, hakuna ukali wowote zaidi ya kujibu hoja Kwa tone ya Kitaaluma bila mipasho wala matusi. May be labda tone ya ukali inapatikana kwenye matamshi ya mdomoni.
My take.
 
Kitila kama kweli ni wewe nahisi kabisa umethibitisha kuwa wewe ni ccm lakini naomba uache kuandika maneno mabovu kuhusu chadema maana maneno yako ni shombo. Sawa chadema kuna mapungufu na hiyo ni kawaida kwa viongozi wote kuwa na mapungufu. Naomba uende kwa amani ccm ya chadema hayakuhusu tena!
 
Ni mjadala mzuri...lakini kinachonisikitisha kwa dr kitila ni kuongea kuongea bila kuonesha njia sahihi ya kufuata(kuongea kwa kulaumu)...lakini pia kuwa mstari wa nyuma kabisa wa mapambano huku akikosoa na kuandika andika tu kazia ambayo wenzake wanaifanya pia lakini na kwenda mstari wa mbele
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom