kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Dr. Mkumbo amechanganyikiwa haswa alipojikuta kapigwa 2-0, kwani Chadema ilimsimamisha na baadaye kumfukuza uanachama hafu Udsm wakampokonya cheo cha Dean huko Duce kwa hali hiyo inamaana ulaji ulipungua na ambition alizokuwa nazo zikatoweka.
Hapo ni sawa na mtu aliyezungukwa na uji wa volcano pande zote hivyo hajui kama atasalimika au atakufa na huo uji.
Alipofukuzwa UDSM nilipenda zaidi!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums