Kwa Ukali Dr Kitila Amjibu Ansbert Ngurumo

Kwa Ukali Dr Kitila Amjibu Ansbert Ngurumo

Status
Not open for further replies.
Dr.Kitila nani? Amekuloga hadi umefikia huko?.Mimi nataka aje atuambie nini? maana ya msaliti inawezekana akawa haijui.Huyu ni msomi tuliye mtegemea kufanya mambo kisomi bahati mbaya hafanyi hivyo.Nilishasema na nitaendelea kusema kuwa HAWA Ni wasaliti kwa sababu hawa wote niliwahi kuwaandikia email Mwaigamba na Kitila nikiwasihi wamshauri ZITTO.ili ajenge chama badala ya kuwaza URAIS.ktk email hizo niliandika mengi nikiwasihi wafanye hivyo ili kukiimalisha chama nikiamini kuwa swala la kugombea URAIS si ajenda bali kujenga chama kwanza.Kwa bahati mbaya kumbe nilipeleka mawazo yangu kwa watu wale wale wenye fikra zile zile hakuna aliyenijibu.Wote wanavutwa na tamaa ya madaraka.
 
Dr kitila ni msomi wa vyote katika uelewa na kujenga hoja. Chadema hawako safi. Ni mbumbumbu tu au yule anayetoka ktk familia ile ndiye anayeweza kusema kwamba chama ni cha wanyonge. Kitila ni msomi endelea kuelimisha umma.
 
Kitila unatumia nguvu nyingi sana kujieleza badala yakutumia akili watu wakakuelewa kwa urahisi na haraka zaid. Itakuchukua muda mrefu sana kufikisha unachomaanisha mahala husika.

Hoja zako za cdm kutofanya vizuri kwani wewe hujazitambua wakati huyo unaetaka awe mkiti alihudhuria vikao seaclif? Kwani mgawo wako hukupata?

Tambua kwamba wewe umeanza sana kuinyoosgea kidole cdm waz waz baada ya mbinu zenu chafu kugundulika tangia 2011. Wewe na boss wako zzt kwa sasa hata ile raha ya siasa tena haipo. Angalia mnavyovaa makofia makubwa na kuficha nyuso zenu mbele ya jamii. Magari yenu mmeweka tinted kali ili msiweze kuonekana na jamii. Sasa unafikiri jamii ipi ya watz itawaelewa? Ni kweli mabadiliki yanatakiwa kwa haraka sana maana watz tumechoswa sasa na mambo yalivyo ndani ya serikali ya sisiem. Lakin wewe na zzt hamna nia ya dhat yakuongoza nchi labda mtaiuza kabisa.

Ushauri wa bure kwako.
Wape wananchi elimu kama ulivyochagua sio kupoteza wananchi. Tambua ukufunzi ni wito na sio kazi zakupiga debe kituo cha mabasi. Umeharibu hata utamu wa gazet la Raia mwema kwa sasa halina mvuto tena
 
huyu mbona hujakanusha vile vijisenti alivyo pokea toka kwa zitto aka dogo vilikuwa vya kazi gani??

shame on you Dr. uadilifu upi anauzungumzia dr.Kitilla,

kama angekuwa mwadilifu nangeandaa waraka wa mabadiliko ambao unawatukana na kuwadhalilisha viongozi wake?

yeye ana mchango gani, kwenye chama mbona ameshindwa kuhamasisha na kuijenga CDM ndani ya jimbo lake alikotoka, ambacho ndo kipimo cha anayoyaandika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom