Kama ilivyokuwa kwa Dr. Slaa na Tundu Lissu pia ajiandae

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,155
3,399
Limeibuka kundi kubwa sana la makamanda kuonesha nia zao za dhati za kutaka Benard Membe apeperushe bendera ya makamanda hapo 2020 katika uchaguzi mkuu.

Makamanda wanasahau kwamba kuna mwanasheria msomi(Lisu) ambaye alinusulika kifo akiwa katika harakati za kulikomboa taifa hili lilipotezwa na maharamia wakuu ambao ni CCM.

Sasa makamanda wamemsahau kabisa Lisu na mchango wake katika chama na sasa wote wameamisha mawazo yao kwa Benard Membe. Eti wanaamini Membe ndiye mtu pekee atakaye weza kumng'oa Magufuli madarakani.

Hii inajidhihilisha wazi kabisa kwamba makamanda huwa hawana maandalizi ya muda mrefu ya kumuandaa mgombea wa urais. Makamanda huwa wanaongozwa na nadharia ya " kubadili gia angani" haijalishi nani ataumia au nini kitatokea.

Mwaka 2015 makamanda walimpoteza kamanda mkuu ambaye alitumia juhudi zake binafsi na hata uwezo wake binafsi katika kukijenga na kukiimalisha chama. Waligeuza gia angani wakamkabizi nafasi ya kugombea urais ndugu Lowasa kitendo ambacho kilipelekea kamanda huyo (Dr. Slaa) kuachana na siasa. Cha Dr. Slaa aliposema ukweli makamanda walishirikiana kwa pamoja kumkashifu na ikafikia hatua wakamwita "mzee wa miogo"

Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema.

Makamanda kama kawaida yao watamshambulia sana Lisu na watasahau mchango wake wote kwenye chama. Kitendo hicho kitamfanya Lisu akae pembeni katika
Siasa kama alivyofanya Dr. Slaa.

Makamanda kipindi mnabadili gia angani wakumbukeni na watu waliomwaga damu zao kwa ajili ya ujenzi wa chama. Achane tamaa ya fedha tu.
 
Hizo ni propaganda zako tu kwani hakuna mtu ndani ya Chadema alie msahau Tundu Lissu na hakuna mpango wowote wa Membe kugombea urais kupitia Chadema na uwache kukiwekea chama maneno mdomoni.
 
Limeibuka kundi kubwa sana la makamanda kuonesha nia zao za dhati za kutaka Benard Membe apeperushe bendera ya makamanda hapo 2020 katika uchaguzi mkuu.

Makamanda wanasahau kwamba kuna mwanasheria msomi(Lisu) ambaye alinusulika kifo akiwa katika harakati za kulikomboa taifa hili lilipotezwa na maharamia wakuu ambao ni CCM.

Sasa makamanda wamemsahau kabisa Lisu na mchango wake katika chama na sasa wote wameamisha mawazo yao kwa Benard Membe. Eti wanaamini Membe ndiye mtu pekee atakaye weza kumng'oa Magufuli madarakani.

Hii inajidhihilisha wazi kabisa kwamba makamanda huwa hawana maandalizi ya muda mrefu ya kumuandaa mgombea wa urais. Makamanda huwa wanaongozwa na nadharia ya " kubadili gia angani" haijalishi nani ataumia au nini kitatokea.

Mwaka 2015 makamanda walimpoteza kamanda mkuu ambaye alitumia juhudi zake binafsi na hata uwezo wake binafsi katika kukijenga na kukiimalisha chama. Waligeuza gia angani wakamkabizi nafasi ya kugombea urais ndugu Lowasa kitendo ambacho kilipelekea kamanda huyo (Dr. Slaa) kuachana na siasa. Cha Dr. Slaa aliposema ukweli makamanda walishirikiana kwa pamoja kumkashifu na ikafikia hatua wakamwita "mzee wa miogo"

Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema na Lowasa kuwa mgombea mweza.

Makamanda kama kawaida yao watamshambulia sana Lisu na watasahau mchango wake wote kwenye chama. Kitendo hicho kitamfanya Lisu akae pembeni katika
Siasa kama alivyofanya Dr. Slaa.

Makamanda kipindi mnabadili gia angani wakumbukeni na watu waliomwaga damu zao kwa ajili ya ujenzi wa chama. Achane tamaa ya fedha tu.
Ww jamaa haujitambui umeandika pumba , tangu lini mgombea mwenza atoke Tanzania bara?
 
Limeibuka kundi kubwa sana la makamanda kuonesha nia zao za dhati za kutaka Benard Membe apeperushe bendera ya makamanda hapo 2020 katika uchaguzi mkuu.

Makamanda wanasahau kwamba kuna mwanasheria msomi(Lisu) ambaye alinusulika kifo akiwa katika harakati za kulikomboa taifa hili lilipotezwa na maharamia wakuu ambao ni CCM.

Sasa makamanda wamemsahau kabisa Lisu na mchango wake katika chama na sasa wote wameamisha mawazo yao kwa Benard Membe. Eti wanaamini Membe ndiye mtu pekee atakaye weza kumng'oa Magufuli madarakani.

Hii inajidhihilisha wazi kabisa kwamba makamanda huwa hawana maandalizi ya muda mrefu ya kumuandaa mgombea wa urais. Makamanda huwa wanaongozwa na nadharia ya " kubadili gia angani" haijalishi nani ataumia au nini kitatokea.

Mwaka 2015 makamanda walimpoteza kamanda mkuu ambaye alitumia juhudi zake binafsi na hata uwezo wake binafsi katika kukijenga na kukiimalisha chama. Waligeuza gia angani wakamkabizi nafasi ya kugombea urais ndugu Lowasa kitendo ambacho kilipelekea kamanda huyo (Dr. Slaa) kuachana na siasa. Cha Dr. Slaa aliposema ukweli makamanda walishirikiana kwa pamoja kumkashifu na ikafikia hatua wakamwita "mzee wa miogo"

Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema na Lowasa kuwa mgombea mweza.

Makamanda kama kawaida yao watamshambulia sana Lisu na watasahau mchango wake wote kwenye chama. Kitendo hicho kitamfanya Lisu akae pembeni katika
Siasa kama alivyofanya Dr. Slaa.

Makamanda kipindi mnabadili gia angani wakumbukeni na watu waliomwaga damu zao kwa ajili ya ujenzi wa chama. Achane tamaa ya fedha tu.
Aaaaaahaaaa ngoma nzito
 
Limeibuka kundi kubwa sana la makamanda kuonesha nia zao za dhati za kutaka Benard Membe apeperushe bendera ya makamanda hapo 2020 katika uchaguzi mkuu.

Makamanda wanasahau kwamba kuna mwanasheria msomi(Lisu) ambaye alinusulika kifo akiwa katika harakati za kulikomboa taifa hili lilipotezwa na maharamia wakuu ambao ni CCM.

Sasa makamanda wamemsahau kabisa Lisu na mchango wake katika chama na sasa wote wameamisha mawazo yao kwa Benard Membe. Eti wanaamini Membe ndiye mtu pekee atakaye weza kumng'oa Magufuli madarakani.

Hii inajidhihilisha wazi kabisa kwamba makamanda huwa hawana maandalizi ya muda mrefu ya kumuandaa mgombea wa urais. Makamanda huwa wanaongozwa na nadharia ya " kubadili gia angani" haijalishi nani ataumia au nini kitatokea.

Mwaka 2015 makamanda walimpoteza kamanda mkuu ambaye alitumia juhudi zake binafsi na hata uwezo wake binafsi katika kukijenga na kukiimalisha chama. Waligeuza gia angani wakamkabizi nafasi ya kugombea urais ndugu Lowasa kitendo ambacho kilipelekea kamanda huyo (Dr. Slaa) kuachana na siasa. Cha Dr. Slaa aliposema ukweli makamanda walishirikiana kwa pamoja kumkashifu na ikafikia hatua wakamwita "mzee wa miogo"

Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema na Lowasa kuwa mgombea mweza.

Makamanda kama kawaida yao watamshambulia sana Lisu na watasahau mchango wake wote kwenye chama. Kitendo hicho kitamfanya Lisu akae pembeni katika
Siasa kama alivyofanya Dr. Slaa.

Makamanda kipindi mnabadili gia angani wakumbukeni na watu waliomwaga damu zao kwa ajili ya ujenzi wa chama. Achane tamaa ya fedha tu.
Huna unalolijua wewe !! Unavyo comment tu kuwa Lowassa awe mgombea mwenza. Inaonyesha wazi hata katiba huijui.

Membe ni ccm na atabaki kuwa CCM. Na kama ni tatizo ni kwa CCM na si kwa Cdm.
 
Kwani kamati kuu chadema taifa imemkalibisha membe? Maccm yanazusha mambo hayapo hata kimtizamo.
Limeibuka kundi kubwa sana la makamanda kuonesha nia zao za dhati za kutaka Benard Membe apeperushe bendera ya makamanda hapo 2020 katika uchaguzi mkuu.

Makamanda wanasahau kwamba kuna mwanasheria msomi(Lisu) ambaye alinusulika kifo akiwa katika harakati za kulikomboa taifa hili lilipotezwa na maharamia wakuu ambao ni CCM.

Sasa makamanda wamemsahau kabisa Lisu na mchango wake katika chama na sasa wote wameamisha mawazo yao kwa Benard Membe. Eti wanaamini Membe ndiye mtu pekee atakaye weza kumng'oa Magufuli madarakani.

Hii inajidhihilisha wazi kabisa kwamba makamanda huwa hawana maandalizi ya muda mrefu ya kumuandaa mgombea wa urais. Makamanda huwa wanaongozwa na nadharia ya " kubadili gia angani" haijalishi nani ataumia au nini kitatokea.

Mwaka 2015 makamanda walimpoteza kamanda mkuu ambaye alitumia juhudi zake binafsi na hata uwezo wake binafsi katika kukijenga na kukiimalisha chama. Waligeuza gia angani wakamkabizi nafasi ya kugombea urais ndugu Lowasa kitendo ambacho kilipelekea kamanda huyo (Dr. Slaa) kuachana na siasa. Cha Dr. Slaa aliposema ukweli makamanda walishirikiana kwa pamoja kumkashifu na ikafikia hatua wakamwita "mzee wa miogo"

Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema na Lowasa kuwa mgombea mweza.

Makamanda kama kawaida yao watamshambulia sana Lisu na watasahau mchango wake wote kwenye chama. Kitendo hicho kitamfanya Lisu akae pembeni katika
Siasa kama alivyofanya Dr. Slaa.

Makamanda kipindi mnabadili gia angani wakumbukeni na watu waliomwaga damu zao kwa ajili ya ujenzi wa chama. Achane tamaa ya fedha tu.
 
Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema na Lowasa kuwa mgombea mweza.
Mkuu Magala, huu ni ujinga tuu, kama hata formula ya mgombea mwenza huijui, Membe ni mwana CCM, tangu lini kaja Chadema?. Lissu anauguza majeraha, kakuambia anautaka urais?.

Tena waliomshambulia Lisu ni watu wasiojulikana, jee unazijua sababu za kushambuliwa kwa Lissu, hivyo Lissu amekueleza kuwa anarudi ili wamalizie kazi?.

Vitu vingine mnavyotunga ni vya kijinga sana, acheni ujinga huu.
P
 
Mkuu Magala, huu ni ujinga tuu, kama hata formula ya mgombea mwenza huijui, Membe ni mwana CCM, tangu lini kaja Chadema?. Lissu anauguza majeraha, kakuambia anautaka urais?.

Tena waliomshambulia Lisu ni watu wasiojulikana, jee unazijua sababu za kushambuliwa kwa Lissu, hivyo Lissu amekueleza kuwa anarudi ili wamalizie kazi?.

Vitu vingine mnavyotunga ni vya kijinga sana, acheni ujinga huu.
P
Black and White Approach
 
Limeibuka kundi kubwa sana la makamanda kuonesha nia zao za dhati za kutaka Benard Membe apeperushe bendera ya makamanda hapo 2020 katika uchaguzi mkuu.

Makamanda wanasahau kwamba kuna mwanasheria msomi(Lisu) ambaye alinusulika kifo akiwa katika harakati za kulikomboa taifa hili lilipotezwa na maharamia wakuu ambao ni CCM.

Sasa makamanda wamemsahau kabisa Lisu na mchango wake katika chama na sasa wote wameamisha mawazo yao kwa Benard Membe. Eti wanaamini Membe ndiye mtu pekee atakaye weza kumng'oa Magufuli madarakani.

Hii inajidhihilisha wazi kabisa kwamba makamanda huwa hawana maandalizi ya muda mrefu ya kumuandaa mgombea wa urais. Makamanda huwa wanaongozwa na nadharia ya " kubadili gia angani" haijalishi nani ataumia au nini kitatokea.

Mwaka 2015 makamanda walimpoteza kamanda mkuu ambaye alitumia juhudi zake binafsi na hata uwezo wake binafsi katika kukijenga na kukiimalisha chama. Waligeuza gia angani wakamkabizi nafasi ya kugombea urais ndugu Lowasa kitendo ambacho kilipelekea kamanda huyo (Dr. Slaa) kuachana na siasa. Cha Dr. Slaa aliposema ukweli makamanda walishirikiana kwa pamoja kumkashifu na ikafikia hatua wakamwita "mzee wa miogo"

Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema.

Makamanda kama kawaida yao watamshambulia sana Lisu na watasahau mchango wake wote kwenye chama. Kitendo hicho kitamfanya Lisu akae pembeni katika
Siasa kama alivyofanya Dr. Slaa.

Makamanda kipindi mnabadili gia angani wakumbukeni na watu waliomwaga damu zao kwa ajili ya ujenzi wa chama. Achane tamaa ya fedha tu.


Hakuna kitu kama hicho, ishu ya Membe ni ugomvi wenu malizeni kiungwana msiihusishe Chadema na mambo yenu ya kipumbavu ya makundi na visasi. Hatumuhitaji Membe, kila mkiharibikiwa lazima muihusishe Chadema, mkishindwa kutia wake zenu mimba mtaisingizia Chadema pia.Ila chinga anawajambisha kinoma noma hamlali. dadeki.
 
Hakuna kitu kama hicho, ishu ya Membe ni ugomvi wenu malizeni kiungwana msiihusishe Chadema na mambo yenu ya kipumba ya makundi na visasi. Hatumuhitaji Membe, kila mkiharibikiwa lazima muihusishe Chadema, mkishindwa kutia wake zenu mimba mtaisingizia Chadema pia.Ila chinga anawajambisha kinoma noma hamlali. dadeki.
Hahahaaaa
 
Mkuu Magala, huu ni ujinga tuu, kama hata formula ya mgombea mwenza huijui, Membe ni mwana CCM, tangu lini kaja Chadema?. Lissu anauguza majeraha, kakuambia anautaka urais?.

Tena waliomshambulia Lisu ni watu wasiojulikana, jee unazijua sababu za kushambuliwa kwa Lissu, hivyo Lissu amekueleza kuwa anarudi ili wamalizie kazi?.

Vitu vingine mnavyotunga ni vya kijinga sana, acheni ujinga huu.
P
Hahahahaaa mkuu ila kumbuka ulinifundisha mbinu hii mkuu
 
Hakuna kitu kama hicho, ishu ya Membe ni ugomvi wenu malizeni kiungwana msiihusishe Chadema na mambo yenu ya kipumbavu ya makundi na visasi. Hatumuhitaji Membe, kila mkiharibikiwa lazima muihusishe Chadema, mkishindwa kutia wake zenu mimba mtaisingizia Chadema pia.Ila chinga anawajambisha kinoma noma hamlali. dadeki.
Hahahahaa hii nayo ni hatari pia
 
Hahahahaaa mkuu ila kumbuka ulinifundisha mbinu hii mkuu
Du!, kujisema wewe ni mwanafunzi wangu ni kunitia aibu!, sikumbuki kufundisha vitu vya hivi, kwa mwanafunzi wa aina yako anayejitokeza jukwaa hili la heshima la Siasa na kusema Membe mgombea urais na Lowassa ni mgombea mwenza!, nikumbushe.
P
 
Limeibuka kundi kubwa sana la makamanda kuonesha nia zao za dhati za kutaka Benard Membe apeperushe bendera ya makamanda hapo 2020 katika uchaguzi mkuu.

Makamanda wanasahau kwamba kuna mwanasheria msomi(Lisu) ambaye alinusulika kifo akiwa katika harakati za kulikomboa taifa hili lilipotezwa na maharamia wakuu ambao ni CCM.

Sasa makamanda wamemsahau kabisa Lisu na mchango wake katika chama na sasa wote wameamisha mawazo yao kwa Benard Membe. Eti wanaamini Membe ndiye mtu pekee atakaye weza kumng'oa Magufuli madarakani.

Hii inajidhihilisha wazi kabisa kwamba makamanda huwa hawana maandalizi ya muda mrefu ya kumuandaa mgombea wa urais. Makamanda huwa wanaongozwa na nadharia ya " kubadili gia angani" haijalishi nani ataumia au nini kitatokea.

Mwaka 2015 makamanda walimpoteza kamanda mkuu ambaye alitumia juhudi zake binafsi na hata uwezo wake binafsi katika kukijenga na kukiimalisha chama. Waligeuza gia angani wakamkabizi nafasi ya kugombea urais ndugu Lowasa kitendo ambacho kilipelekea kamanda huyo (Dr. Slaa) kuachana na siasa. Cha Dr. Slaa aliposema ukweli makamanda walishirikiana kwa pamoja kumkashifu na ikafikia hatua wakamwita "mzee wa miogo"

Sasa 2020 ni zamu ya kamanda mwingine ( Lisu) kukashifiwa na makamanda wenzake, hii itatokea pale Lisu atakapopinga Membe kuwa mgombea wa urais kupitia chadema.

Makamanda kama kawaida yao watamshambulia sana Lisu na watasahau mchango wake wote kwenye chama. Kitendo hicho kitamfanya Lisu akae pembeni katika
Siasa kama alivyofanya Dr. Slaa.

Makamanda kipindi mnabadili gia angani wakumbukeni na watu waliomwaga damu zao kwa ajili ya ujenzi wa chama. Achane tamaa ya fedha tu.
Hawa watu wanaishi kwa matukio, wala usipate shaka mkuu. Hawana madhara yoyote zaidi ya porojo na umbea.
 
Mkuu Magala, huu ni ujinga tuu, kama hata formula ya mgombea mwenza huijui, Membe ni mwana CCM, tangu lini kaja Chadema?. Lissu anauguza majeraha, kakuambia anautaka urais?.

Tena waliomshambulia Lisu ni watu wasiojulikana, jee unazijua sababu za kushambuliwa kwa Lissu, hivyo Lissu amekueleza kuwa anarudi ili wamalizie kazi?.

Vitu vingine mnavyotunga ni vya kijinga sana, acheni ujinga huu.
P
Mkuu Pascal samahani mm natoka nje ya maada kidogo, unapo sema kaja lini CHADEMA una maanisha wewe ni mwana CHADEMA?
 
Na tumekwisha fahamu lissu ni cloned organism kwahiyo chagadema mjue atakuja na sura mbili au atakuja na ngozi ya kondoo.
 
Back
Top Bottom