Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,765
- 50,855
Tanzania ni Janja janja tu hakuna cha UNLEADED wala PETROL sa hv Shehena ya mafuta inayoagizwa ni moja so kama zaman kila mtu kujiagizia Mafuta. Shehena ya meli ikifika babdarini kila depo inachukua mzigo wa kiasi cha lita inazohitaji. OILCOM,GBP&LAKE OIL wanauza SUPER, PUMA TOTAL & ENGINE wao wanauza UNLEADED, Lakn mda huo huo unakuta puma au total kaishiwa Mafuta kwenye depo yake.Unazikuta gari za puma au Total zipo Oilcom zinapakia mzigo au GBP afu wanakuja kumwaga kwenye vituo vyao wanauza Kama UNLEADED.
Kweli usemavyo, hakuna mamlaka zilizo serious imebakia sarakasi tu