Kwa tunaojua mambo ya kiroho, hayupo sawa

Kwa tunaojua mambo ya kiroho, hayupo sawa

maandamano

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2025
Posts
708
Reaction score
1,519
Kwa tunaojua mambo ya kiroho mama akili yake haikuwa sawa,na hata waliomsikiliza wenye akili ambao ni Viongozi wake wa Serikali wameumia na hotuba ya mama

Kitakachotokea amezidi kuzifupisha siku zake yeye mwenyewe za kukaa madarakani,kiuhalisia hesabu bado zinakataa mama hatotoboa hata miaka 2 kwake ni Mingi sana naomba siku moja muukumbuke huu uzi
 
Kwa tunaojua mambo ya kiroho mama kachanganyikiwa na akili yake haikuwa sawa,na hata waliomsikiliza wenye akili ambao ni Viongozi wake wa Serikali wameumia na hotuba ya mama
Kitakachotokea amezidi kuzifupisha siku zake yeye mwenyewe za kukaa madarakani,kiuhalisia hesabu bado zinakataa mama hatotoboa hata miaka 2 kwake ni Mingi sana naomba siku moja muukumbuke huu uzi
Mark these words ☝️
 
Kwa tunaojua mambo ya kiroho mama akili yake haikuwa sawa,na hata waliomsikiliza wenye akili ambao ni Viongozi wake wa Serikali wameumia na hotuba ya mama

Kitakachotokea amezidi kuzifupisha siku zake yeye mwenyewe za kukaa madarakani,kiuhalisia hesabu bado zinakataa mama hatotoboa hata miaka 2 kwake ni Mingi sana naomba siku moja muukumbuke huu uzi
Na-am.
 
Kwa tunaojua mambo ya kiroho mama akili yake haikuwa sawa,na hata waliomsikiliza wenye akili ambao ni Viongozi wake wa Serikali wameumia na hotuba ya mama

Kitakachotokea amezidi kuzifupisha siku zake yeye mwenyewe za kukaa madarakani,kiuhalisia hesabu bado zinakataa mama hatotoboa hata miaka 2 kwake ni Mingi sana naomba siku moja muukumbuke huu uzi
Time to clean up house
 
Katiba yetu inasemqje ikitokea mtu akichanganyikiwa akiwa madarakani inatakiwa nini kifanyike?
Katiba inasema D9 siku ya kusherehekea uhuru wa Tanganyika, atolewe kwa maandamano ya nguvu, hakuna huruma za uzanzibari, uana uke wake wala dini yake.

Na hili halihitaji mjadala.
 
Kwa tunaojua mambo ya kiroho mama akili yake haikuwa sawa,na hata waliomsikiliza wenye akili ambao ni Viongozi wake wa Serikali wameumia na hotuba ya mama

Kitakachotokea amezidi kuzifupisha siku zake yeye mwenyewe za kukaa madarakani,kiuhalisia hesabu bado zinakataa mama hatotoboa hata miaka 2 kwake ni Mingi sana naomba siku moja muukumbuke huu uzi
Ni kweli. Ni kama wewe.
 
Katiba inasema D9 siku ya kusherehekea uhuru wa Tanganyika, atolewe kwa maandamano ya nguvu, hakuna huruma za uzanzibari, uana uke wake wala dini yake.

Na hili halihitaji mjadala.
Taarabu nyingi sana.. labda usiku ukiingia analala kwenye jeneza ili akizoee kifo maana anajua what's next
 
Haya ninayokwambia utakuja kunikumbuka,siku za mama zinahesabika hata kwa watu wake wa kalibu sababu anayoongea hayana uharisia na anayotenda
Sijui kama naweza kupoteza muda kukumbuka mambo ya urongo kama haya mwanangu. Sorry sana.
 
Sijui kama naweza kupoteza muda kukumbuka mambo ya urongo kama haya mwanangu. Sorry sana.
Hata huyo unayemuamini anachanga karata zake kwa kutumia nambo ya kiroho zaidi,lakini mara nyingi damu za watu zina nguvu kubwa sana,labda kwa kukusaidia wale waliokufa wamekufa kabla ya ahadi ya aliyewaumba,na kumbuka kila binadanu ana nguvu tofauti,roho zao zinamlilia mama,na zinamtesa na lazima atakosa raha na nafsi yake itawafwata,sawa na kusema auwaye kwa upanga? R.i p Karume baba
 
Back
Top Bottom