[/COLOR]sasa wewe unaelewesha alafu unambishie wakati unajua wewe umekuja dar mwaka jana utajifunzaje,acha ubishi usio na faida utakosa kueleweshwa mambo ya msingi ,kaka hii ndio dar na hiyo story ni kweli ila huyo jamaa hajafirisika na hatofirisika anaishi kwenye ikulu yake hukohuko kimara
KWA MATHIAS-KIMARA BUCHA.
Huyu Jamaa alikuwa tycoon kubwa la kichaga,ambaye alikuwa anahusika na biashara nyingi sanaa,Hakufilisiwa kwa issue ya Bomu Ubalozi wa marekani ingawa alihusika katika kujenga yale matanki ambayo mitungi ya gesi pamoja na milipuko ilijazwa ndani.Kuna Jamaa mmoja anafanya biashara Matumbi pale,ndio aliyetafuta hile mitungi ya gesi na kuwadirect kwa fundi mzuri ambaye anaweza kutengeneza matanki mazuri ambayo watabebea maji,basi MATHIAS ndiye aliyechaguliwa,Hata Gereji yake imekaa katika ukuta ambao hakuna mtu anayejua kinachoendelea ndani.
we mgeni dar? Inasemekana Ni kweli alihusishwa sababu alichonga kasha(bila kujua!)lililobeba bomu. Lakini pia inasemekana swalatano walikataa pale kuitwa bucha sababu bucha inayoitwa/tamkwa pale ni bucha kubwa na maarufu ya kitimoto. Ni bora akumbukwe Thomas Lyimo kuliko kitimoto!
KWA MATHIAS-KIMARA BUCHA.
Huyu Jamaa alikuwa tycoon kubwa la kichaga,ambaye alikuwa anahusika na biashara nyingi sanaa,Hakufilisiwa kwa issue ya Bomu Ubalozi wa marekani ingawa alihusika katika kujenga yale matanki ambayo mitungi ya gesi pamoja na milipuko ilijazwa ndani.Kuna Jamaa mmoja anafanya biashara Matumbi pale,ndio aliyetafuta hile mitungi ya gesi na kuwadirect kwa fundi mzuri ambaye anaweza kutengeneza matanki mazuri ambayo watabebea maji,basi MATHIAS ndiye aliyechaguliwa,Hata Gereji yake imekaa katika ukuta ambao hakuna mtu anayejua kinachoendelea ndani.
Nilitaka kujua kwa nini jina la Kwa Mathias, ana umuhimu/umaarufu gani wa jina lake kutumika kwenye kituo.
Sijui kwa kweli maana nakumbuka sehemu nyingi sana zenye majina ya kibaguzi ilihali waliobatiza maeneo hayo wakiwa tofauti sana na ukoloni, Mfano Uhindini,na Uzunguni Mbeya, afadhali hata mzee Mwakangale alipata shavu kukumbukwa kwenye uwanja wa nane nane pale RRM Uyole
Gongo la Mboto.........huyu Mboto alikuwa anauza gongo "first class" mpaka akapewa jina la mtaa!