Kwa tabia hizi LAZIMA UOLEWE

Kwa tabia hizi LAZIMA UOLEWE

hizo ndizo sifa unazozitaka kutoka kwa mwanamke utakayeishi naye maisha yako yote yaliyobaki? Kwa kamtazamo kangu mimi, huyo mwanamke ni mbinafsi, hataki kujua hata mambo ya mtu mwingine maana hayamhusu eg. hata asipokuona na gari hahoji...... Hao ndio wanaojijengeaga nyumba zao bila waume zao kujua. Huyo hatakuwa tayari kutoa msaada hata kwa ndugu zako... atataka awe yeye wewe na watoto wenu tu....

Jifunze kuchambua tabia za watu, hebu endelea kumchunguza upande mwingine wa sumuni Amicus Curiae.
 
Last edited by a moderator:
Kana miaka 20, baba yake mzazi ni mpare na mama mu-iraq. Ni kazuri kupindukia coz sinaga historia ya ku-date mabinti wabaya. Bado kako chuoni.

Oneni tabia zake... hakajawahi HATA SIKU MOJA kuniomba pesa, nikajishtukia ikabidi nimuulize kama ana shida yoyote, akanijibu kwamba kwa sasa wenye wajibu wa kumtunza na kumsomesha ni wazazi wake.

Nina gari, ila hajawahi kuliulizia siku asiponiona nalo, ameshaniaminisha kwamba ananipenda kama nilivyo, tofauti na madem wengine wapenda maujiko kwamba mabwana zao wana magari!

Siku nikipata dharura nikawa sina airtime kwenye simu ananitumia!

Msimamo ndio usiseme, kuna jamaa alimtaka mtoto akakataa, jamaa akamtishia, mtoto akaenda kumshtaki polisi.

Binafsi nimewahi kumnunulia vitu vidogovidogo tu tena kwa kumbembeleza ikibidi kumlazimisha!

Asipobadilika wallahi vile NAOA!

Duh mbona sifa zake zoote ni kama za haka kangu? Isije ikawa figa tatu...
 
Duh mbona sifa zake zoote ni kama za haka kangu? Isije ikawa figa tatu...

Figa 3 ndiyo habari ya town kwa pares! watch out! Wanajua mapenzi, wazuri sanaa, ila wachoyo, wabinafsi na wana kamsemo pichu zao wameacha Same!!! Mpare asipende pesa?? Never!!!
 
Duh nikampata huyo fasta napeleka posa sisubiri aje abadilike maana waliopo sasa hivi kama huna gari usimsemeshe habari za kwenda out daladala hawezi utafikiri kwao kuna gari vile aagghh!!! I hate this
 
jie jitieni ujinga humu.....yaani huyo siku akiijua starehe utaomba Dunia ipasuke....mimi nakomaa na hawa hawa akina Heaven on Earth.....najua IT CAN'T GET ANY WORSE
 
Last edited by a moderator:
wewe ngoja wenzio wamuwahi ndo utajua maharage si mboga bali kitafunio
 
kwahiyo wewe usiochukua wabaya,hako karembo amekutambulisha kwao...?
 
Back
Top Bottom