kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,257
- 13,264
kubadilikaje? wanaanza kutembelea kichwa au? muwage na mawazo ya kujenga wakati mwingine eboooo!
Binadam yeyote kubadilika ni kawaida kumbuka huyo sio malaika.
kubadilikaje? wanaanza kutembelea kichwa au? muwage na mawazo ya kujenga wakati mwingine eboooo!
Kwa huyu sidhani mkuu, labda tukiwa ndani ya ndoa.
Nimeshindwa mimi mkuu, too many questions. Ila nashukuru kwa utayari wako wa kutaka kunishauri.
Binadam yeyote kubadilika ni kawaida kumbuka huyo sio malaika.
Nimeshindwa mimi mkuu, too many questions. Ila nashukuru kwa utayari wako wa kutaka kunishauri.
...hahahahaaaaaaaa,,,, hutaki ukweli? kuwa mpole bibie....
Kana miaka 20, baba yake mzazi ni mpare na mama mu-iraq. Ni kazuri kupindukia coz sinaga historia ya ku-date mabinti wabaya. Bado kako chuoni.
Oneni tabia zake... hakajawahi HATA SIKU MOJA kuniomba pesa, nikajishtukia ikabidi nimuulize kama ana shida yoyote, akanijibu kwamba kwa sasa wenye wajibu wa kumtunza na kumsomesha ni wazazi wake.
Nina gari, ila hajawahi kuliulizia siku asiponiona nalo, ameshaniaminisha kwamba ananipenda kama nilivyo, tofauti na madem wengine wapenda maujiko kwamba mabwana zao wana magari!
Siku nikipata dharura nikawa sina airtime kwenye simu ananitumia!
Msimamo ndio usiseme, kuna jamaa alimtaka mtoto akakataa, jamaa akamtishia, mtoto akaenda kumshtaki polisi.
Binafsi nimewahi kumnunulia vitu vidogovidogo tu tena kwa kumbembeleza ikibidi kumlazimisha!
Asipobadilika wallahi vile NAOA!
hahahaaaaaaa ana maswali mengi kwani ye ni POLISI!!!!!!!!!
kubadilikaje? wanaanza kutembelea kichwa au? muwage na mawazo ya kujenga wakati mwingine eboooo!
Duh mbona sifa zake zoote ni kama za haka kangu? Isije ikawa figa tatu...
Wasiwasi mda wote kama wanaoga nje...
siwaelewi ujue😕😱😱😱