Kwa tabia hizi LAZIMA UOLEWE

Kwa tabia hizi LAZIMA UOLEWE

Kaka sikia ukiina kafikia vigezo vyako beba maana watu wa kando kila mtu atasema Lake na wanaokuwa negative ni kutokana na matatizo yalio wakumba wao. Haya mambo hayana formula u make ur own. Wengi wakibadilika hutegemeana saanaa na wewe mwenyewe. Ukichange jiandae ne yy atachange fastaaa!!

Umesomeka mkuu!
 
Nachukia sana uandishi wa aina hii. Unatumalizia kilojoules zetu kufikiria nini umeandika. Huu uandishi uachieni huko huko kwenye umbea wenu!

sijaelewa mkuu...haya we unapenda aina gani,essay type au comprehension ,shigongo type ama
 
kwani aliyeko chuo haolewi? subiri mi nafuata huko huko na kifaru badala ya gari lako mkweche
 
mkiombwa hela tabu msipoombwa shida, sasa cjui ni watu wa aina gani ninyi
ila ww subiri subiri tu utakuta mwana c wako
mi pia nashindwa kuwaelewa, viumbe vyenye mikia mbele ni viumbe vya ajabu sana.
 
muweke ndani mkuu...................bahati haiji mara mbili!
ukiliachia ilo kaa tayari na majanga.
 
Mchumba kumbe una kabint kengine duhhhh

Tatizo lako hueleweki HEAVEN, umeadimika miezi, hata mawasiliano hutaki tena, sasa ntakuandaaje kuwa mke, napata wasiwasi ujue.

Ila nikikumbuka sura yako ya upole na sauti yako nyororo nachoka kbs.
 
ungesema uwezo wa kifedha wa wazazi wake! nina walakini na chuo anachosoma! maana vyuo nivijuavyo mie watoto wanapenda pesa kama pumzi vile!
 
Back
Top Bottom