Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
siwaelewi ujue
:busu:busu:busu:A S-heart-2::hug::hug:
siwaelewi ujue
:busu:busu:busu:A S-heart-2::hug::hug:
katemaari kabisa usichelewe viumbe dhaifu hawaKana miaka 20, baba yake mzazi ni mpare na mama mu-iraq. Ni kazuri kupindukia coz sinaga historia ya ku-date mabinti wabaya. Bado kako chuoni.
Oneni tabia zake... hakajawahi HATA SIKU MOJA kuniomba pesa, nikajishtukia ikabidi nimuulize kama ana shida yoyote, akanijibu kwamba kwa sasa wenye wajibu wa kumtunza na kumsomesha ni wazazi wake.
Nina gari, ila hajawahi kuliulizia siku asiponiona nalo, ameshaniaminisha kwamba ananipenda kama nilivyo, tofauti na madem wengine wapenda maujiko kwamba mabwana zao wana magari!
Siku nikipata dharura nikawa sina airtime kwenye simu ananitumia!
Msimamo ndio usiseme, kuna jamaa alimtaka mtoto akakataa, jamaa akamtishia, mtoto akaenda kumshtaki polisi.
Binafsi nimewahi kumnunulia vitu vidogovidogo tu tena kwa kumbembeleza ikibidi kumlazimisha!
Asipobadilika wallahi vile NAOA!
hahahaaaaaaa ana maswali mengi kwani ye ni POLISI!!!!!!!!!
Lucky you are!!!!!!!!!!!!
hizo ndizo sifa unazozitaka kutoka kwa mwanamke utakayeishi naye maisha yako yote yaliyobaki? Kwa kamtazamo kangu mimi, huyo mwanamke ni mbinafsi, hataki kujua hata mambo ya mtu mwingine maana hayamhusu eg. hata asipokuona na gari hahoji...... Hao ndio wanaojijengeaga nyumba zao bila waume zao kujua. Huyo hatakuwa tayari kutoa msaada hata kwa ndugu zako... atataka awe yeye wewe na watoto wenu tu....
Jifunze kuchambua tabia za watu, hebu endelea kumchunguza upande mwingine wa sumuni Amicus Curiae.
Duh mbona sifa zake zoote ni kama za haka kangu? Isije ikawa figa tatu...
Duh nikampata huyo fasta napeleka posa sisubiri aje abadilike maana waliopo sasa hivi kama huna gari usimsemeshe habari za kwenda out daladala hawezi utafikiri kwao kuna gari vile aagghh!!! I hate this
kwahiyo wewe usiochukua wabaya,hako karembo amekutambulisha kwao...?
jie jitieni ujinga humu.....yaani huyo siku akiijua starehe utaomba Dunia ipasuke....mimi nakomaa na hawa hawa akina Heaven on Earth.....najua IT CAN'T GET ANY WORSE
Vuta jiko hilo na uache uzinzi. Ila kumbuka type hizo huwa hawajui mambo kabisa sasa kwa watu kama wewe waliozoea kuchovya chovya kimtindo anaweza kuwa turn off kwa kiasi fulani kitandani, kwa hiyo inabidi uwe mvumilivu na umfundishe mambo haswaaa. Mabinti kama hao wapo wengi tu, ni wewe tu unatakiwa kujua wanakopatikana, tatizo hapa JF watu kwa kiasi fulani watu wengi wanaamini kuwa mabinti wa siku hizi wote vicheche na waongo waongo ila wapo walio safi tena wengi sanaaa. Halafu sasa wengi wao huwa hawajui hata JF ni kitu gani.
katemaari kabisa usichelewe viumbe dhaifu hawa
Kana miaka 20, baba yake mzazi ni mpare na mama mu-iraq. Ni kazuri kupindukia coz sinaga historia ya ku-date mabinti wabaya. Bado kako chuoni.
Oneni tabia zake... hakajawahi HATA SIKU MOJA kuniomba pesa, nikajishtukia ikabidi nimuulize kama ana shida yoyote, akanijibu kwamba kwa sasa wenye wajibu wa kumtunza na kumsomesha ni wazazi wake.
Nina gari, ila hajawahi kuliulizia siku asiponiona nalo, ameshaniaminisha kwamba ananipenda kama nilivyo, tofauti na madem wengine wapenda maujiko kwamba mabwana zao wana magari!
Siku nikipata dharura nikawa sina airtime kwenye simu ananitumia!
Msimamo ndio usiseme, kuna jamaa alimtaka mtoto akakataa, jamaa akamtishia, mtoto akaenda kumshtaki polisi.
Binafsi nimewahi kumnunulia vitu vidogovidogo tu tena kwa kumbembeleza ikibidi kumlazimisha!
Asipobadilika wallahi vile NAOA!
Subiri aingie ndani ya nyumba hubadilika hao viumbe,labda asiwe mfanyakazi
sio unatishwa, unaambiwa ukweliUnanitisha mkuu!