Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Kwa mujibu wa gazeti la muda mrefu sana na la kuaminika sana la New York Times , Russia anadaiwa kumaliza kujiandaa kuivamia nchi ya Ukraine ambapo ipo nafasi kubwa kuzuka vita kubwa sana ikihusisha mataifa mengi
Madai ya Russia kwa Ukraine mojawapo ni unyanyasaji wa Ukraine kwa raia wa Ukraine wenye asili ya kirusi katika ardhi ya Ukraine ndani ya majimbo kama Donbass na mengineyo
Gazeti la New York Times limeeleza pia kuwa taarifa za serikali za kijasusi za serikali ya Marekani zinasema kuwa Russia ameandaa jeshi la Wanajeshi laki moja na elfu sabini na tano (175,000) na silaha nzito ardhini na angani karibia na mpaka wake na Ukraine
Mengineyo Kutoka katika ripoti hiyo hiyo ya New York Times ni kwamba Russia ndani ya mwezi ujao au miezi miwili ijayo anaivamia Ukraine
------UPDATE as of 26th December 2021--------
Kingine kitakachomponza Ukraine ni Upanuzi wa Nato kuelekea mipaka ya Urusi
Mcheki hapo chini Putin akiongea kwa jazba na hasira
Updates as of Jan First 2022:
Mgogoro waelekea kubaya zaidi na siku chache zilizopita PM wa Uingereza aliliambia bunge kuwa Russia akiivamia Ukraine basi Nato itachukua hatua ya kuyapeleka majeshi ya Nato mipakani mwa Urusi
Madai ya Russia kwa Ukraine mojawapo ni unyanyasaji wa Ukraine kwa raia wa Ukraine wenye asili ya kirusi katika ardhi ya Ukraine ndani ya majimbo kama Donbass na mengineyo
Gazeti la New York Times limeeleza pia kuwa taarifa za serikali za kijasusi za serikali ya Marekani zinasema kuwa Russia ameandaa jeshi la Wanajeshi laki moja na elfu sabini na tano (175,000) na silaha nzito ardhini na angani karibia na mpaka wake na Ukraine
Mengineyo Kutoka katika ripoti hiyo hiyo ya New York Times ni kwamba Russia ndani ya mwezi ujao au miezi miwili ijayo anaivamia Ukraine
------UPDATE as of 26th December 2021--------
Kingine kitakachomponza Ukraine ni Upanuzi wa Nato kuelekea mipaka ya Urusi
Mcheki hapo chini Putin akiongea kwa jazba na hasira
Updates as of Jan First 2022:
Mgogoro waelekea kubaya zaidi na siku chache zilizopita PM wa Uingereza aliliambia bunge kuwa Russia akiivamia Ukraine basi Nato itachukua hatua ya kuyapeleka majeshi ya Nato mipakani mwa Urusi