Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
It's true nyuki dume (drone) lazima afe baada ya "mating" na malkia ...... KISABABISHI cha kifo chake ndo hasa yalikuwa marekebisho yangu
Tuko pamoja!!
It's true nyuki dume (drone) lazima afe baada ya "mating" na malkia ...... KISABABISHI cha kifo chake ndo hasa yalikuwa marekebisho yangu
Ahahahahahahaa yallah mbavuDuuh...
Nimewaza tuu ingekuwa hivyo kwa binadamu..... matatizo mengi sana yangepungua na kutoweka. ...
Pia tendo la ngono lingeheshimika sana na siajabu kusingekuwa na kubakwa, mimba zisizotarajiwa n.k. n.k.
Leo umeamuaNimewaza tuu.....
Hapo mapenzi yangekuwa ya ukweli na ya dhati na si mapenzi ya kubanjuana. Ukikuta mtu anaamua kufa kwa ajili ya orgasm basi huyo ana mapenzi ya kweli kwa mpenziwe.
Kwa utafiti huu jinsia ya ke hapo haina shida maana wao wataendelea ku survive baada ya me kufika kileleni na kuzima.
Leo umeamua
Ahahahahahahaa yallah mbavu
duh !!Hehehehee maringo ni asili ya mwanamke, hapo kwenye kisasi ingekuwa balaa ila pia heshima ingekuwepo sana na maisha yangekuwa na amani mnoo.

ngoja wajeNyuki dume akifika kileleni, korodani zake hupasuka na kisha hufariki dunia.
![]()
Hujafikiria kwamba mngebaki wanawake tu na mngeuana sana kwaajili ya mkuki Wa nyama?Nimewaza tuu.....
Hapo mapenzi yangekuwa ya ukweli na ya dhati na si mapenzi ya kubanjuana. Ukikuta mtu anaamua kufa kwa ajili ya orgasm basi huyo ana mapenzi ya kweli kwa mpenziwe.
Kwa utafiti huu jinsia ya ke hapo haina shida maana wao wataendelea ku survive baada ya me kufika kileleni na kuzima.
Wanaume wasingekubali kufa kwa urahisi hivyo bado ke na me wote wangekuwepo na heshima juu hasa kwa tendo la ngono.Hujafikiria kwamba mngebaki wanawake tu na mngeuana sana kwaajili ya mkuki Wa nyama?
Nishakuelewa. Umejaa roho ya kibinafsi. Kasinde unatuombea dua mbaya Wanaume. Sa tukiisha ote, utamu mtaupata wapi?Duuh...
Nimewaza tuu ingekuwa hivyo kwa binadamu..... matatizo mengi sana yangepungua na kutoweka. ...
Pia tendo la ngono lingeheshimika sana na siajabu kusingekuwa na kubakwa, mimba zisizotarajiwa n.k. n.k.
Weee jamaa ni mnyanyasaji.The Dramatic Sexual Suicide
In a colony, there are thousands of workers bees, a few hundred drones, and one queen bee. All worker bees are female and are assigned different tasks to perform -- nurses to take care of larva, construction workers to bond together thousands of wax cells into honeycomb, janitors to keep the hive clean, guards to protect the hive, and last but not least the food finders and gatherers. The male bees or drones have no stingers and do not produce honey. Basically they do nothing, laze around and leave all the work to the busy worker bees. They have only one purpose in life - to mate with the Queen.
Honey bee mating is a dramatic example of sexual suicide in the insect kingdom. The drones die in the act of mating. Honey bee sex intercourse takes place in mid-air. The queen flies out in search of mates and the drones swarm around and compete for the chance to mate with their queen. Eventually, a successful drone grasps the queen and inserts his penis tightly into the queen's reproductive tract. The explosive force from the ejaculation causes the tip of his penis to rupture and be ripped off from its body and left behind inside the queen. The drone falls to the gound and dies quickly. The queen mates with about a dozen of drones in just one nuptial flight and normally will have enough sperm to be stored in her sperm pouch to fertilize all the eggs for the rest of her life. (The Biology of the Honey Bee. Harvard University Press. p. 41)
Labda anataka ladha tofauti kwa kila tendo..........Weeeeh!!! kwani hupendi kunjunjwa???
Hahahahaaa hiyo peniz ingekuwa inayeyuka kama vile glucose inavoyeyuka pindi unapoilamba hivyo key haitajaa wala kuziba heheh na usalama ungekuwepo kwa peniz nyingine kuja kukatikia hapo hahahahahah raha sana looh
mtoto una balaa wwNishakuelewa. Umejaa roho ya kibinafsi. Kasinde unatuombea dua mbaya Wanaume. Sa tukiisha ote, utamu mtaupata wapi?
![]()
![]()
![]()
mtoto una balaa ww
Yaani navuta picha: tunafanyana huku sote tunalia MSIBA.Wee nawe hujanielewa kama Mgirik,
Kuwaza kwangu au kuhusisha maisha ya nyuki na ya binadamu ke na me ni kuwa wote wangeogopana kwasababu binadamu wana hofu ya kufa kila mtu anaogopa kufa labda kichaa. Sifahamu kama wa dudu wanakuwaga na hofu ya kifo.
Sasa basi ikiwa me na ke wakifanyana na kufika orgasm na me anakufa; basi tendo la ngono lisingefanyika hovyohovyo kama inavyofanyika sasa maana kama ke anampenda me hatakubali kumuona anakufa hivyo mapenzi yatakuwa ni kukumbatiana kushikana mikono kubusiana kutomasana na vya kufanana navyo. Kwa mantiki hii wanaume hawawezi kuisha.
Hivyo hakuna roho mbaya hapo sana sana mwanaume mwenye uchu wa kumwaga manii ndo atakuwa anajiua mwenyewe au ambaye angetaka kumpa ke mimba.
Yaani navuta picha: tunafanyana huku sote tunalia MSIBA.