Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Mmm kwa binadamu ingekuwa hivyo mi nisinge gegeda ng'oo chezea kufa wewe!!!![]()
![]()
Umeona eeeh hiyo inaitwa run for your life..... hehehheeh
Mmm kwa binadamu ingekuwa hivyo mi nisinge gegeda ng'oo chezea kufa wewe!!!![]()
![]()
Si kuzimia bali ndo ticket ya "akhera" hiyoSkia ata pia nyuki akisha kudunga na sndano yake huzimia navyoskia ama kweli nyuki anashda
Nakushukuru sana kwa kutoa UKWELI kuhusiana na TAFITI ya kile kinachotokea baada ya MATING FLIGHT ....
Mtoa mada please oanisha maelezo hayo na bandiko lako ...... issue hapa si "korodani" kupasuka bali "reproductive part" (penis) ya nyuki dume (drone) hubaki ndani ya mwili wa malkia ....
Ukweli ni kuwa "penis" ya drone hubakia ndani ya "uke" wa queen .... wadhani ingekuwa hivyo kwa wanadamu na jinsia ya "ke" ingesalimika? .....Nimewaza tuu.....
Hapo mapenzi yangekuwa ya ukweli na ya dhati na si mapenzi ya kubanjuana. Ukikuta mtu anaamua kufa kwa ajili ya orgasm basi huyo ana mapenzi ya kweli kwa mpenziwe.
Kwa utafiti huu jinsia ya ke hapo haina shida maana wao wataendelea ku survive baada ya me kufika kileleni na kuzima.
Si K ingezibaMkuu nimecheka kwa sauti.!...nimejaribu kuangalia kwa makini lakini nimeshindwa kuziona hizo korodani za nyuki!!!
Kasinde mbona???Hahahahahhaaaa
wanawake wangeringaje ? hata kama ana hasira au kisasi na mwanaume ahitaji kuumiza kichwa ni kiasi cha kumfunulia paja tu na kulegeza macho, duuu.....!!Haaaha dunia ingekuwa mahala tulivu sana na wala pasingehitajika mabavu ili kutawala dunia. Mie mtazamo wangu tusingekuwa na maisha kama ya nyuki, kwa kuwa binadamu ameumbwa na akili kuliko vumbi wote, ingekuwa hivi.....
Mtu mke na mme wakitamaniana basi wataanza kubanjuana huku wakiwa makini wasifike orgasm ili me asije akazima. Laa mwanaume akijisahau akaendekeza utamu basi ndo mwisho wa maisha yake. Kwa hofu ya kufa iliyoko kwa binadamu tendo la ngono au tendo la ndoa lingekuwa la kuogopwa kama ukoma. Na mwanaume ambaye anakuwa amempenda mwanamke kikwelikweli basi huyo ndo angejitoa achubwike wote wafike orgasm na yeye kufa kisha ke kubaki.
Laah kama kufika orgasm kwa njia nyingine haufi basi watu wangekuwa wanapapasana na kutomasana hadi wafike kileleni. Lakini kama hata kwa kuchezeana miili bila tendo la ngono mwanaume akifika orgasm pia anakufa basi binadamu tungekuwa wote kama kaka na dada.
Nawaza zaidi....
Na jinsi wadada wanavyojua kuwatega wanaume hehehehe ungekuta suruali ikituna mtu anakimbia kufikiria uhai wake hehehhe
Sijakuelewa hapo uliposema ANAFARIKI DUNNIANyuki dume akifika kileleni, korodani zake hupasuka na kisha hufariki dunia.
![]()
siyo kwamba anafariki maana hiyo hatari yake fikiria akifariki dunia.

Siku hizi unachukia kuliwa nini??Nimewaza tuu.....
Hapo mapenzi yangekuwa ya ukweli na ya dhati na si mapenzi ya kubanjuana. Ukikuta mtu anaamua kufa kwa ajili ya orgasm basi huyo ana mapenzi ya kweli kwa mpenziwe.
Kwa utafiti huu jinsia ya ke hapo haina shida maana wao wataendelea ku survive baada ya me kufika kileleni na kuzima.
Duuh...
Nimewaza tuu ingekuwa hivyo kwa binadamu..... matatizo mengi sana yangepungua na kutoweka. ...
Pia tendo la ngono lingeheshimika sana na siajabu kusingekuwa na kubakwa, mimba zisizotarajiwa n.k. n.k.
It's true nyuki dume (drone) lazima afe baada ya "mating" na malkia ...... KISABABISHI cha kifo chake ndo hasa yalikuwa marekebisho yanguSibishani unachorekebisha ni sawa, ila pia lengo kuu la mtoa mada ambalo kumi ndo nimeliona kuu ni kuwa baada ya nyuki dume kufika orgasm au baada ya mating na queen basi nyuki dume hufa. Kitanda kikuu ni nyuki dume kufa baada ya mating....
Darasa zuri lakini, mie nilikuwa nafahamu hivyo ila sikuwa nafahamu kiundani zaidi kama alivyoelezea Compact
...nimejaribu kuangalia kwa makini lakini nimeshindwa kuziona hizo korodani za nyuki!!!
ongezea
plus
utazionaUkweli ni kuwa "penis" ya drone hubakia ndani ya "uke" wa queen .... wadhani ingekuwa hivyo kwa wanadamu na jinsia ya "ke" ingesalimika? .....![]()
![]()
Si K ingeziba
Kasinde mbona???
wanawake wangeringaje ? hata kama ana hasira au kisasi na mwanaume ahitaji kuumiza kichwa ni kiasi cha kumfunulia paja tu na kulegeza macho, duuu.....!!
Siku hizi unachukia kuliwa nini??
Mimba ingekua ni project inayopangwa na kupewa umakini wa hali ya huu.