bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,705
Kweli umeisha..Menopause. ....
Kweli umeisha..Menopause. ....
Nimemnyanyasa nani mkuu wangu?Weee jamaa ni mnyanyasaji.
Yaani kwa "vionjo" vyako vinavoleta mshawasha ... wapaswa kuitwa "baby" na si bibiHahahahahaa sema bibi Kasie sii mtoto looh, nna viroja mie hehehehe

Heheee angalia wasikununie watu humu hahahahah (na wakisoma hii quote yalo watasonya kimoyomoyo) ujue watu hawapendi mwishowe wataanza kukuchukia na wewe; halafu unafikiri kuna sababu.... basi tu wanatamani nisiwepo humu.Yaani kwa "vionjo" vyako vinavoleta mshawasha ... wapaswa kuitwa "baby" na si bibi![]()
![]()
Kweli umeisha..
Kama ni kununiwa waache wanune tu mie na babe wangu kassie ... ananipaje raha buana ....Heheee angalia wasikununie watu humu hahahahah (na wakisoma hii quote yalo watasonya kimoyomoyo) ujue watu hawapendi mwishowe wataanza kukuchukia na wewe; halafu unafikiri kuna sababu.... basi tu wanatamani nisiwepo humu.
Ila ni muda tuu, bado kitambo kidogo. Wakati ukifika hawataniona humu na watasuuzika mioyo yao.
Utawasikia Kasie mwenyewe mzee bin jimama bin wa kawaidaa sanaa hahahahhaa utasema hata siku moja nilishawaambia kuwa kasie ni kigori wa miaka 18 looh heheheheh. Na huo ndo ukweli wenyewe Kasie ni bibi bin kigagula mvi hadi naniliu pale kati hehehehehe sasa sijui nipake piko hadi hapo kati. .....😱😀😛😛
Njoo nina mbegu special za kuzalisha mlipatwa na menopose..Kwishney babujy
angalau uambulie katoto kauzeeni.Kama ni kununiwa waache wanune tu mie na babe wangu kassie ... ananipaje raha buana ....
Duuh...
Nimewaza tuu ingekuwa hivyo kwa binadamu..... matatizo mengi sana yangepungua na kutoweka. ...
Pia tendo la ngono lingeheshimika sana na siajabu kusingekuwa na kubakwa, mimba zisizotarajiwa n.k. n.k.
Njoo nina mbegu special za kuzalisha mlipatwa na menopose..angalau uambulie katoto kauzeeni.
na pia watu wangetafuta sababu za kupunguza nguvu za kiume
Kabisaa au wangekuwa wanalima hadi nguvu ziishe kama maksai. (Mfano tuu)
duuh mkuu maisha yangekuwa mabaya sanaHaaaha dunia ingekuwa mahala tulivu sana na wala pasingehitajika mabavu ili kutawala dunia. Mie mtazamo wangu tusingekuwa na maisha kama ya nyuki, kwa kuwa binadamu ameumbwa na akili kuliko vumbi wote, ingekuwa hivi.....
Mtu mke na mme wakitamaniana basi wataanza kubanjuana huku wakiwa makini wasifike orgasm ili me asije akazima. Laa mwanaume akijisahau akaendekeza utamu basi ndo mwisho wa maisha yake. Kwa hofu ya kufa iliyoko kwa binadamu tendo la ngono au tendo la ndoa lingekuwa la kuogopwa kama ukoma. Na mwanaume ambaye anakuwa amempenda mwanamke kikwelikweli basi huyo ndo angejitoa achubwike wote wafike orgasm na yeye kufa kisha ke kubaki.
Laah kama kufika orgasm kwa njia nyingine haufi basi watu wangekuwa wanapapasana na kutomasana hadi wafike kileleni. Lakini kama hata kwa kuchezeana miili bila tendo la ngono mwanaume akifika orgasm pia anakufa basi binadamu tungekuwa wote kama kaka na dada.
Nawaza zaidi....
Na jinsi wadada wanavyojua kuwatega wanaume hehehehe ungekuta suruali ikituna mtu anakimbia kufikiria uhai wake hehehhe
Jamanieeeee mwaviona hivyo vionjo vya babe wangu?Hahahahaha ngoja nikasonge ugali mie hehehhe kisha nichambue karanga kesho nna kazi ya kutwanga makopa nipate unga wa muhogo tayari kwa mapishi.
Alamsiki!!🙂
HAKUNAGA MFANOWEIle lugha ulotumia pale juu sio lugha ya MTANZANIA maskini.Nimemnyanyasa nani mkuu wangu?
Hadi raha anakufa na utamu wakeNyuki dume akifika kileleni, korodani zake hupasuka na kisha hufariki dunia.
![]()
wee kulima si ndio wanakua makungwi wa kusugua K sasa au???kule kijijini hamnaga mabango ya waganga wa guvu za kiume,,ni hapa mjini tuu