Kwa staili hii CHADEMA kimeisha

Kwa staili hii CHADEMA kimeisha

Ona, umeandika nini, kazi tunayo, huyu nae eti msomi, wewe ni kukuacha uendelee na ujinga ulionao

kwi kwi kwi mkuu mwambie atumie kiswahili tutamwelewa maana sarufi yake ya kiingereza iko chini "better stay mouth shut" ametumia tafsiri sisisi toka kiswahili. halafu mipovu inamtoka eti msomi na ana blog, blog kitu cha kawaida tu akawatishie kijijini kwao
 
Hivi zile siku 90 za kuvua magamba bado hazijaisha?.hivi mizigo bado ipo chamani?au?
 
1.Ukabila.

2.Udini.

3.Ukanda.

Na ubaguz wa waz waz ndan ya chama hiko umekiua moja kwa moja.

Pamoja na kwamba ccm imeshindwa moja kwa moja lakin chadema kimekosa qualifications za kuwa mbadala wake.

Kama Mnabisha tuombe uhai 2015.
Ukweli mchungu huu chadema hawana jipya tena jina ndiyo limebaki.
 
zito msaliti.leticia nyerere msaliti.shibuda msaliti.arfi msaliti.nasssar msalit. iki chama kwishnei

Unaimba na kucheza mwenyewe, wewe kweli kichaa na kama ungekuwa mshabiki kwenye mpira wa miguu basi wewe ni MSHABIKI JINA
 
Unaimba na kucheza mwenyewe, wewe kweli kichaa na kama ungekuwa mshabiki kwenye mpira wa miguu basi wewe ni MSHABIKI JINA
Nimecheka sana uliposema yeye ni MSHABIKI JINA .Kama anaakili na ameliona lile tangazo atakuwa amejielewa yeye yukoje na umemaanisha nini. Kwa mtu makini angeweza kujitoa roho au kutokurudi tena JF kwa hiyo ID yake.
 
Kama ni mfatiliaji wa siasa za bongo utajua bila shaka yoyote CHADEMA inaanguka kwa kasi ya ajab.

Baada ya kumwita Zitto ni msaliti na kususa hata mambo ya kifamilia ya Zitto CHADEMA wamekosa mvuto na wanaanguka kwa kasi ya ajabu.

Ni juzi Mdee alimtuhumu mbunge mwenzie Leticia kama ni msaliti.Wapo waliwahi kumwita Shibuda ni msaliti.

Bila shaka baadhi ya wabunge 2015 wataiacha CHADEMA.

Kuthibitisha haya dr. Slaa amekimbilia UKAWA na kujifanya haini mtifuano mzito pale Ufipa.

Taarifa za ndani ni kuwa wapo wanasuburi muda appropriate ufike mambo yawe hadharani.

Naona umekuwa fisi uko nyuma unavizia mkono udondoke, we huijui Chadema . Umewashwa na nini mpaka umesema Chadema inakufa?
 
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!!! Hahahahahahahaha we heard this song before, but there are no fans out there to fall in love with your song. Please try a new song 🙂🙂

Huna akili iliyo tulia, huwezi kupost utumbu kiasi hiki. Hayo uliyopost nini jamii itajifunza ? Hakika wewe ni Raia mzigo.
 
Huna akili iliyo tulia, huwezi kupost utumbu kiasi hiki. Hayo uliyopost nini jamii itajifunza ? Hakika wewe ni Raia mzigo.

Na ulichoandika wewe jamii inajifunza nini? Acha kutumika kama toilet paper! Huu wimbo wa kufa cdm toka uanze kuimbwa na mzee wa gombe ni lini? Na kama ndivyo,kwa nini lumumba iendelee kuwalipeni buk 7????? Think big!
 
Ni mitazamo tu,mengi yasemwa kuaminisha hisia za woga na utofauti wa itikadi.

Mapambano yataendelea,na mabadiliko yatatimia.

Ni ushamba na ujinga kung'ang'ania kuwa CCM lazima ishinde,tubadilike!
 
Kama ni mfatiliaji wa siasa za bongo utajua bila shaka yoyote CHADEMA inaanguka kwa kasi ya ajab.

Baada ya kumwita Zitto ni msaliti na kususa hata mambo ya kifamilia ya Zitto CHADEMA wamekosa mvuto na wanaanguka kwa kasi ya ajabu.

Ni juzi Mdee alimtuhumu mbunge mwenzie Leticia kama ni msaliti.Wapo waliwahi kumwita Shibuda ni msaliti.

Bila shaka baadhi ya wabunge 2015 wataiacha CHADEMA.

Kuthibitisha haya dr. Slaa amekimbilia UKAWA na kujifanya haini mtifuano mzito pale Ufipa.

Taarifa za ndani ni kuwa wapo wanasuburi muda appropriate ufike mambo yawe hadharani.

Siasa za kitoto sana hizi,cdm kiboko ya mafisadi,majangili,wauza sembe na wazembe wote wanaofaidi na kuliibia taifa letu.Cdm imeendelea na itaendelea kuwa tumaini la wanyonge wote wanaodhurumiwa haki zao na hawa wakoloni weusi..
 
1.Ukabila.

2.Udini.

3.Ukanda.

Na ubaguz wa waz waz ndan ya chama hiko umekiua moja kwa moja.

Pamoja na kwamba ccm imeshindwa moja kwa moja lakin chadema kimekosa qualifications za kuwa mbadala wake.

Kama Mnabisha tuombe uhai 2015.
Mbona udini na ukabila pia viko CCM?

Mbona hata CCM kimepoteza qualifications?

Hatuhitaji mbadala wa CCM,kwani CCM ni takataka isiyopaswa kuigwa au kupokewa,twahitaji mabadiliko.

Tuwe na mfumo usiokihakikishia chama fulani kushika hatamu...kuwa chama chochote kitakachoshindwa kudeliver basi twakipiga chini.
 
Back
Top Bottom