Haaaaaa haaaaaaa leo umeona pira biriani la wananchiMhamasishaji gadiola mnene atupiwe virago fasta au apelekwe simba c kabla mambo hayajaharibika. Timu inacheza ki- ihefu ihefuna bado anaachwa tu.
Una hisa asilimia ngapi mzee? Acha wingi wako wa hisa ufanye maamuzi kwa niaba yakoMhamasishaji gadiola mnene atupiwe virago fasta au apelekwe simba c kabla mambo hayajaharibika. Timu inacheza ki- ihefu ihefuna bado anaachwa tu.
Mazwazwa wa Utopolo wanaiombea Simba mabaya tuSimba ni ileileee ooohhhh ni ileileeeeee
Hatunywi sumu hatujinyongiiii Simba mbele kwa mbeleee
Tunawazoom tuuMazwazwa wa Utopolo wanaiombea Simba mabaya tu
Sisi mikia kwanini tusimpe mkataba deiwaka mgunda ili afanye kazi kwa utulivu?Mazwazwa wa Utopolo wanaiombea Simba mabaya tu
Huna akiliSisi mikia kwanini tusimpe mkataba deiwaka mgunda ili afanye kazi kwa utulivu?
Huyo mgunda ana gundu hajamaliza mwezi wa kuifundksha simba lakini angalia timu inavyocheza ki ihefu ihefu sasa hivi. Baada ya miezi 2 haitakuwa tofauti na black viba ya vibandani morogoroSisi mikia kwanini tusimpe mkataba deiwaka mgunda ili afanye kazi kwa utulivu?
Kwa kweli hapa ndipo unapo ona kwamba tz hatupendani. Sasa kocha anafanya vizuri tuu kwa nini asipewe mkataba ? Inasiitisja kwa kweliSisi mikia kwanini tusimpe mkataba deiwaka mgunda ili afanye kazi kwa utulivu?