Unaendesha gari kutoka point A kwenda point B.
Point B ipo hatua chache kutoka iliko point C ambako kuna kizuizi cha Polisi.
Ulipokaribia point B, ambapo utapaswa kukata kulia kwa kuwa ndiko unakoelekea hivyo hulazimiki kufika point C, na kabla hujaindicate kuwa unataka kukata kona kwenda point B, askari akakuonesha ishara ya kusimama kwa ajili ya ukaguzi.
Kwa mujibu wa Sheria, unapaswa kufanyeje?
1. Uende hadi point C ukaguliwe kwanza kisha ugeuze kwa ajili ya kwenda point B?
2. Utaonesha ishara ya kuelekea point B bila kujali kuwa askari alishakuashiria kusimama?