GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Wahenga waliposema kuwa ukistaajabu ya Musa basi tegemea kuyaona ya Firauni kumbe walikuwa wako sahihi na wala hawakukosea na huenda sasa inabidi tuamini kuwa Watu wa zamani ( Mababu na Mabibi zetu ) walikuwa na Maono makubwa na hata Utume ndani yake na ndiyo maana leo hii yale yote waliyoyaacha kama Wosia wao Kwetu yanatimia moja baada ya jingine.
Ni kwamba katika hali isiyokuwa ya kawaida na inayonipelekea sasa kuwaonea mno Huruma Wanaume wa nchini Uganda Bunge la nchi hiyo linajindaa Kutunga Sheria ambayo inasema kuwa Mwanaume yoyote akiwa ‘ anamlazimisha ‘ ama Mkewe au Mpenzi wake Kuendelea na ‘ Kungonoka ‘ huku Yeye ( Mwanamke ) akiwa taabani / hoi na ‘ Mkurudungu / Mboo ‘ basi atashtakiwa mara moja kwa Kosa la ‘ Ubakaji ‘ na Hukumu yake itakuwa inaenda haraka ili akafungwe na aishie Gerezani.
Kwa Lugha iliyo nyepesi kama si nyoofu yaani hapa Wanaume wa Kiganda wanatakiwa kila wanapotaka ‘ Kungonoka ‘ na hao Wake zao / Wapenzi wao basi Kwanza wawe wanawauliza je wanapenda Bao / Goli ngapi na kama Mwanamke akisema anataka tu Bao Moko ( Moja ) basi Mwanaume anatakiwa ‘ Kumchapa ‘ nalo hilo hilo tu na akizidisha tu Mwanamke akienda Kumshtaki basi Keko, Ukonga na Segerea za nchini Uganda zitawahusu kwa sana tu.
Naomba tu Mwenyezi Mungu hii ‘ Sheria ‘ isiigwe na Watanzania kwani nina uhakika wengi wetu tutamaliza ‘ Uzee ‘ Wetu Gerezani kwakuwa itakuwa ni ngumu Kwetu kupangiwa ‘ Mabao / Magoli ‘ ya Kufunga hasa ukizingatia wengine tuna ‘ Ubarikio ‘ wa Kupiga ‘ Hat Tricks ‘ kwa kila ‘ Mngonoko ‘ sasa ukituambia eti Mwanamke ndiyo atupangie hapo kutakuwa na Shida nap engine hata dhahama kutokea pia.
Poleni sana Wanaume wa Uganda ( Kiganda ) na Sheria hii ikipitishwa Kweli basi mtakuwa mmeumia.
Chanzo Taarifa: Gazeti la New Vision Online.
Ni kwamba katika hali isiyokuwa ya kawaida na inayonipelekea sasa kuwaonea mno Huruma Wanaume wa nchini Uganda Bunge la nchi hiyo linajindaa Kutunga Sheria ambayo inasema kuwa Mwanaume yoyote akiwa ‘ anamlazimisha ‘ ama Mkewe au Mpenzi wake Kuendelea na ‘ Kungonoka ‘ huku Yeye ( Mwanamke ) akiwa taabani / hoi na ‘ Mkurudungu / Mboo ‘ basi atashtakiwa mara moja kwa Kosa la ‘ Ubakaji ‘ na Hukumu yake itakuwa inaenda haraka ili akafungwe na aishie Gerezani.
Kwa Lugha iliyo nyepesi kama si nyoofu yaani hapa Wanaume wa Kiganda wanatakiwa kila wanapotaka ‘ Kungonoka ‘ na hao Wake zao / Wapenzi wao basi Kwanza wawe wanawauliza je wanapenda Bao / Goli ngapi na kama Mwanamke akisema anataka tu Bao Moko ( Moja ) basi Mwanaume anatakiwa ‘ Kumchapa ‘ nalo hilo hilo tu na akizidisha tu Mwanamke akienda Kumshtaki basi Keko, Ukonga na Segerea za nchini Uganda zitawahusu kwa sana tu.
Naomba tu Mwenyezi Mungu hii ‘ Sheria ‘ isiigwe na Watanzania kwani nina uhakika wengi wetu tutamaliza ‘ Uzee ‘ Wetu Gerezani kwakuwa itakuwa ni ngumu Kwetu kupangiwa ‘ Mabao / Magoli ‘ ya Kufunga hasa ukizingatia wengine tuna ‘ Ubarikio ‘ wa Kupiga ‘ Hat Tricks ‘ kwa kila ‘ Mngonoko ‘ sasa ukituambia eti Mwanamke ndiyo atupangie hapo kutakuwa na Shida nap engine hata dhahama kutokea pia.
Poleni sana Wanaume wa Uganda ( Kiganda ) na Sheria hii ikipitishwa Kweli basi mtakuwa mmeumia.
Chanzo Taarifa: Gazeti la New Vision Online.