Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Jamii hii inapatikana huko Amazon Marekani ambapo wanaume 7 tu wamegeuzwa tegemezi la wanawake zaidi ya 3000. Hii ni kutokana na uchache wa wanaume uliopo. Kutokana na shughuli pevu na nzito waliyokuwa wanapitia makumi ya wanaume waliokuwepo kipindi cha nyuma, waliamua kukimbia jukumu la haki ya ndoa pasi na mapumziko, hivyo kuwaacha wanaume 7 tu ambao mmoja wao ana 13 yrs, mwingine tayari keshakuwa mzee sana. Hao wengine watano wana umri kati ya 13 yrs na 31 yrs
Wanaume hawa hawafanyi kazi za kijamii, hawalishi familia. Bali wao ndio hulishwa. Kazi yao kubwa ni kusasambua mbususu tu, usiku na mchana huku waki-shift kutoka nyumba moja ya mwanamke kwenda nyingine
Unaambiwa wanagombaniwa kama nini. Ili mwanamke apate chance ya kutafunwa, itabidi amvizie jamaa kwenye njia za porini kisha amvike kidani kwa nguvu ili tu kukamilisha sheria inayosema ukikutana na mwanaume tayari keshavikwa kidani, itakubidi ukae kwa kutulia huku ukisubiria mwenzio amalizwe kuchakatwa
Unaambiwa tena, kuridhishwa kwenye tendo ndo hakuna kabisa. Tendo hilo limegeuzwa lengo la kuongeza viumbe tu, labda kwa baadhi ya wanawake wenye hamu ya kuchachua
___________________
Enyi wanawake, endeleeni kuturingia na kututesa, lakini tambueni kuwa siku zaja ambazo idadi ya wanaume Africa, hasahasa Tanzania itapungua kwa kiwango chake. Nanyi mtabaki mkitulilia walau mtazame kichwa tu cha Athumani ili mridhike
Inafurahisha sana. Natamani hata ningekuwa na miaka chini ya 45 ili nije kuvunja mifupa ilihali kijana. Sema ndo hivyo umri ushakwenda
Wanaume hawa hawafanyi kazi za kijamii, hawalishi familia. Bali wao ndio hulishwa. Kazi yao kubwa ni kusasambua mbususu tu, usiku na mchana huku waki-shift kutoka nyumba moja ya mwanamke kwenda nyingine
Unaambiwa wanagombaniwa kama nini. Ili mwanamke apate chance ya kutafunwa, itabidi amvizie jamaa kwenye njia za porini kisha amvike kidani kwa nguvu ili tu kukamilisha sheria inayosema ukikutana na mwanaume tayari keshavikwa kidani, itakubidi ukae kwa kutulia huku ukisubiria mwenzio amalizwe kuchakatwa
Unaambiwa tena, kuridhishwa kwenye tendo ndo hakuna kabisa. Tendo hilo limegeuzwa lengo la kuongeza viumbe tu, labda kwa baadhi ya wanawake wenye hamu ya kuchachua
___________________
Enyi wanawake, endeleeni kuturingia na kututesa, lakini tambueni kuwa siku zaja ambazo idadi ya wanaume Africa, hasahasa Tanzania itapungua kwa kiwango chake. Nanyi mtabaki mkitulilia walau mtazame kichwa tu cha Athumani ili mridhike
Inafurahisha sana. Natamani hata ningekuwa na miaka chini ya 45 ili nije kuvunja mifupa ilihali kijana. Sema ndo hivyo umri ushakwenda