KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,225
- 56,888
Kwa upande wa Kimungu tunasema tumebarikiwa kwa upande mwengine tumenona nchi inarasilimali kila Kona,kwa vitu tulivyonavyo ni aibu kutuletea vichwa vya mitumba!.
Kwa staili hii lazima tuwashike mashati na lazima tuhisi tunanyonywa tu!.
Ifike hatua muone aibu viongozi wetu,nashangaa usomi wenu unapotupeleka.
Next election jambo lifanyike wamezidi hawa!.
Kwa staili hii lazima tuwashike mashati na lazima tuhisi tunanyonywa tu!.
Ifike hatua muone aibu viongozi wetu,nashangaa usomi wenu unapotupeleka.
Next election jambo lifanyike wamezidi hawa!.