Survival for the fittest, binafsi huwa sioni kwamba ni ubaguzi badala yake naona wazungu wanajipenda na wanajijari ndo maana wanakumbatia culture zao, wanapigania mataifa yao na wanaiba kwetu wanapeleka kwao(huo ni upendo baina yao), kitu ambacho sisi hatuna.
Bilogically mwanadamu kaumbwa kumpenda ndugu yake(katika hali ya kawaida) sasa sisi kama hatupendani kiasi kwamba tunauza nchi zetu kwao hilo ni tatizo letu siyo lao, wao wana fight for their lives.
Nchi za asia wanazilenga sana pia ingawa siyo kama huku kwetu, mfano magonjwa mengi yako Africa na asia kuanzia AIDS na Malaria ambayo nafikiri ndo inaua kuliko ugonjwa wowote duniani.