Kwa Observation hii ya Youssoph Dabo, Azam FC wana safari ndefu sana.

thatHUMBLEguy

JF-Expert Member
Nov 25, 2023
223
522
Nilikuwa ninaangalia Mahojiano ya Kocha wa Azam bwana Youssoph Dabo kupitia Azam FC TV, kuna mengi kwenye interview ile kuhusu Mpira wetu; mfano kuna swali aliulizwa juu ya wachezaji wa Tanzania akisema; Tanzania kuna wachezaji wazuri sana, ila tatizo kuu ni moja 'hawana ukorofi wa kimpira'. Kwa ufupi ni kuwa tuna 'uungwana uchwara' sana ambao wenzetu hawana na wanautumia to their advantage.

Lakini alipozungumzia changamoto ya Azam kutofanya vyema licha ya investment zote anasema shida kuu ni MINDSET ZA WACHEZAJI NA VIONGOZI KUONA KUWA NAMBA MOJA NA MBILI NI ZA YANGA NA SIMBA, WAO NAFASI YAO NI YA TATU, HIVYO WANAPAMBANA ILI TU KUMANTAIN NAFASI HIYO YA TATU NA SI KUWA TOP.

Huku viongozi wakidai ni fitina, kocha anasema ni fikra tu!

Kwenu wanalambalamba. 😄
 
Nilikuwa ninaangalia Mahojiano ya Kocha wa Azam bwana Youssoph Dabo kupitia Azam FC TV, kuna mengi kwenye interview ile kuhusu Mpira wetu; mfano kuna swali aliulizwa juu ya wachezaji wa Tanzania akisema; Tanzania kuna wachezaji wazuri sana, ila tatizo kuu ni moja 'hawana ukorofi wa kimpira'. Kwa ufupi ni kuwa tuna 'uungwana uchwara' sana ambao wenzetu hawana na wanautumia to their advantage.

Lakini alipozungumzia changamoto ya Azam kutofanya vyema licha ya investment zote anasema shida kuu ni MINDSET ZA WACHEZAJI NA VIONGOZI KUONA KUWA NAMBA MOJA NA MBILI NI ZA YANGA NA SIMBA, WAO NAFASI YAO NI YA TATU, HIVYO WANAPAMBANA ILI TU KUMANTAIN NAFASI HIYO YA TATU NA SI KUWA TOP.

Huku viongozi wakidai ni fitina, kocha anasema ni fikra tu!

Kwenu wanalambalamba.
Naungana na kocha dabo kwenye hili ila la mwisho la kuongezea wachezaji wetu ni watu wa kuridhika mno yaani akijenga nyumba na akiendesha gari harrier anaona amemaliza hta akipata offa nje ya nchi ataenda kuzuga zuga ili arudi bongo kula bata

Hii ni tofauti na wachezaji wengi wa africa magharibi hawa jamaa akipata fursa ya kucheza nje anaipigania km ndio option ya mwisho kutoboa kwenye maisha.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa ninaangalia Mahojiano ya Kocha wa Azam bwana Youssoph Dabo kupitia Azam FC TV, kuna mengi kwenye interview ile kuhusu Mpira wetu; mfano kuna swali aliulizwa juu ya wachezaji wa Tanzania akisema; Tanzania kuna wachezaji wazuri sana, ila tatizo kuu ni moja 'hawana ukorofi wa kimpira'. Kwa ufupi ni kuwa tuna 'uungwana uchwara' sana ambao wenzetu hawana na wanautumia to their advantage.

Lakini alipozungumzia changamoto ya Azam kutofanya vyema licha ya investment zote anasema shida kuu ni MINDSET ZA WACHEZAJI NA VIONGOZI KUONA KUWA NAMBA MOJA NA MBILI NI ZA YANGA NA SIMBA, WAO NAFASI YAO NI YA TATU, HIVYO WANAPAMBANA ILI TU KUMANTAIN NAFASI HIYO YA TATU NA SI KUWA TOP.

Huku viongozi wakidai ni fitina, kocha anasema ni fikra tu!

Kwenu wanalambalamba. 😄
Yuko sawa hasa hapo kwa Azam..hata Stewart Hall aliwahi kusema hili kipindi wanachukua ubingwa wa bara kuwa ili Azam awe juu lzm ilazimishe iwe katikati ya Yanga na Simba ktk fikra zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom