Azam fc waikimbia Yanga Afrika azam complex chamazi

mwehu ndama

JF-Expert Member
Nov 12, 2019
543
1,837
Kuelekea mchezo wa dabi ya mzizima baina ya Azam fc na timu dume kabisa ya Yanga sc, kumetoka taarifa ya kuwa mchezo huo ambao hapo awali ulipangwa kufanyika katika dimba la azam complex chamazi, sasa utapigwa katika dimba la estadio de Benjamin mkapa, lupaso moja.

Mabadiliko haya yamechagizwa na hofu kuu iliyotanda miongoni mwa wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa azam fc ambao wamenukuliwa wakisema kuwa "azam complex ni machinjio ya Yanga sc kwa sasa" na endapo watathubutu kukubali mchezo huo ufanyikie hapo basi wataenda kukutana na aibu ya karne kwani kuna hatihati wakabandikwa chuma 7 bila majibu. hivyo wameona ni heri waende Lupaso ambako wanaamini dozi yao inaweza kupunguzwa walau mnara ukasoma 4G!

Je wanarambaramba wakiongozwa na mido kisheti foseli mzee wa ugali sukari wataepukana na dozi endelevu ya wananchi? Soon tutapata majibu
 
Kuelekea mchezo wa dabi ya mzizima baina ya Azam fc na timu dume kabisa ya Yanga sc, kumetoka taarifa ya kuwa mchezo huo ambao hapo awali ulipangwa kufanyika katika dimba la azam complex chamazi, sasa utapigwa katika dimba la estadio de Benjamin mkapa, lupaso moja.

Mabadiliko haya yamechagizwa na hofu kuu iliyotanda miongoni mwa wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa azam fc ambao wamenukuliwa wakisema kuwa "azam complex ni machinjio ya Yanga sc kwa sasa" na endapo watathubutu kukubali mchezo huo ufanyikie hapo basi wataenda kukutana na aibu ya karne kwani kuna hatihati wakabandikwa chuma 7 bila majibu. hivyo wameona ni heri waende Lupaso ambako wanaamini dozi yao inaweza kupunguzwa walau mnara ukasoma 4G!

Je wanarambaramba wakiongozwa na mido kisheti foseli mzee wa ugali sukari wataepukana na dozi endelevu ya wananchi? Soon tutapata majibu
Sababu za Yanga kutumia uwanja wa Azam complex ni Kwa sababu Benjamin Mkapa umefungwa, je umefunguliwa lini?
 
Sababu za Yanga kutumia uwanja wa Azam complex ni Kwa sababu Benjamin Mkapa umefungwa, je umefunguliwa lini?
Ni kweli umefunguliwa kwa mchezo wa ligi kuu wa J'2 ambapo Azam FC wametoa taarifa rasmi utachezeka saa moja usiku.

Upande wa pili wa shilingi ni faida kubwa sana kwa Yanga kuelekea mchezo wa klabu bingwa utakaochezwa hapo hapo tar. 29/30 mwezi huu. Pia, ingekuwa jambo jema sana Simba SC icheze hapo hapo na Mashujaa ijumaa.
 
Hili jambo nilikuwa nalitazamia kuja kutokea, upuuzi mtupu. Uwanja wa Mkapa unafunguliwa sasa kwa matengenezo gani yaliyokwishafanyika?
 
Majini yana cheza kama yako mazoezini wakati nyie mna cheza kama mpo fainali kwa nini wasi kimbie
 
Kuelekea mchezo wa dabi ya mzizima baina ya Azam fc na timu dume kabisa ya Yanga sc, kumetoka taarifa ya kuwa mchezo huo ambao hapo awali ulipangwa kufanyika katika dimba la azam complex chamazi, sasa utapigwa katika dimba la estadio de Benjamin mkapa, lupaso moja.

Mabadiliko haya yamechagizwa na hofu kuu iliyotanda miongoni mwa wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa azam fc ambao wamenukuliwa wakisema kuwa "azam complex ni machinjio ya Yanga sc kwa sasa" na endapo watathubutu kukubali mchezo huo ufanyikie hapo basi wataenda kukutana na aibu ya karne kwani kuna hatihati wakabandikwa chuma 7 bila majibu. hivyo wameona ni heri waende Lupaso ambako wanaamini dozi yao inaweza kupunguzwa walau mnara ukasoma 4G!

Je wanarambaramba wakiongozwa na mido kisheti foseli mzee wa ugali sukari wataepukana na dozi endelevu ya wananchi? Soon tutapata majibu
kama vp watuuzie tu huo uwanja kwa AFTATU
 
Kuelekea mchezo wa dabi ya mzizima baina ya Azam fc na timu dume kabisa ya Yanga sc, kumetoka taarifa ya kuwa mchezo huo ambao hapo awali ulipangwa kufanyika katika dimba la azam complex chamazi, sasa utapigwa katika dimba la estadio de Benjamin mkapa, lupaso moja.

Mabadiliko haya yamechagizwa na hofu kuu iliyotanda miongoni mwa wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa azam fc ambao wamenukuliwa wakisema kuwa "azam complex ni machinjio ya Yanga sc kwa sasa" na endapo watathubutu kukubali mchezo huo ufanyikie hapo basi wataenda kukutana na aibu ya karne kwani kuna hatihati wakabandikwa chuma 7 bila majibu. hivyo wameona ni heri waende Lupaso ambako wanaamini dozi yao inaweza kupunguzwa walau mnara ukasoma 4G!

Je wanarambaramba wakiongozwa na mido kisheti foseli mzee wa ugali sukari wataepukana na dozi endelevu ya wananchi? Soon tutapata majibu
Nadhani sababu ni mapato. Hii uliyoweka hapa ni ya kwako binafsi.
 
Hili jambo nilikuwa nalitazamia kuja kutokea, upuuzi mtupu. Uwanja wa Mkapa unafunguliwa sasa kwa matengenezo gani yaliyokwishafanyika?
Nashangaa! Walisema pia watabadilisha viti sioni dalili! ile B 30 sioni ilichofanya mazingira ya uwanja yapo vilevile yan
 
Back
Top Bottom