Madago
Senior Member
- Feb 7, 2009
- 117
- 9
hii wadau nimelisema mahali Kama comment.
Binafsi nahisi inaweza kuwa kwa sababu moja kuu:
Kitendo cha kuwa na makamu wawili kwa zanzibar ni very strategic kwa ccm maana kwa bahati mbaya shein akafariki, itazuia maalim kuwa rais maana ni cuf, na ukichukulia wao Wana mawaziri wengi zaidi ya cuf, ni rahisi kumweka makamu wa ccm kuwa rais. Je hili lilikua kigezo cha kuunda mseto?
Binafsi nahisi inaweza kuwa kwa sababu moja kuu:
Kitendo cha kuwa na makamu wawili kwa zanzibar ni very strategic kwa ccm maana kwa bahati mbaya shein akafariki, itazuia maalim kuwa rais maana ni cuf, na ukichukulia wao Wana mawaziri wengi zaidi ya cuf, ni rahisi kumweka makamu wa ccm kuwa rais. Je hili lilikua kigezo cha kuunda mseto?