jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 995
..hahaha nilikuwa nataka tu kujua kama Mshinga upo that's all.....karibu uchangie mada kwa kuwa umeielewa...lol!!!
Hivi watu kabla ya kukoment watu huwa wameelewa mada?Napata wasiwasi,hapa haongelei mke wake bali anaongelea wanawake wengi kuwa ni wachoyo.
Last edited by a moderator: