maringeni
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,197
- 3,901
Kwenye maisha lazima uanzie mahali fulani. Hapo wanawake wanashindwa kuvumilia kuona watu wakisaidiwa ili wapate nao nguvu ya kuondokea. Wanawazonga wee, kisa katafute na wewe kwako bila kufahamu kuwa hapo jamaa nao wanatafuta mtoko. Unaweza kuta nyumba inavyakula kibao lakini mnachopikiwa ni hatari. Wanaume wengi hawana tabia ya kula na familia ndo maana sio rahisi kujua mateso wanayopewa watu chini ya dari lako. Men wake up. Hakikisha haki inatendeka nyunbani kwako.