Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,128
Wewe ni mwenzao????!!!!
Komenti kama hizi ndizo zinaharibu jukwaa,badala ya kujadili mada mtu anataka kumjadili mleta mada,na wengine wakitaka kukujadili wewe humu itakuwaje?Tumieni akili,kama huna hoja za kuichangia mada unaacha,hapa ulitakiwa ukubaliane ama usikubaliane na maudhui ya mada kwa maelezo,hoja ama kukosoa ama kuongezea.