ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,529
- 119,456
mara nyingi ndugu wa mwanamke hawana shida coz wanajua wapo ugenini so hawawezi kuleta controlling ya masuala ya nyumba ya ndugu yao. tatizo ndugu wa mwanaume wakija kwa ndugu yao hujiona kama wao ndio wenye nyumba. watataka wahoji kila kitu, kitu ambacho sio sahihi,
Kwa maana nyingine tukienda kwa kaka zetu twajifanya ni kwetu? Lol...
Hayo mambo ya zamani sana, kila mtu ana mji wake, hakuna wa kumuingilia, mambo ya familia yake, bajeti zao...hamna wa kuziingilia.
Nahisi nyie mlioolewa huko ndo mnakuwa na fikra potofu, hampendi wa upande wa mume, then mnasingizia kuwa wanawatawala