Kwa nini wanawake wengi wachoyo?

sio woote ndugu.

halafu umenyimwa nn?

lastly maisha magumu ww budget muhimu mnooo.
 
Ni kweli ni tatizo kubwa kwa wanawake walio wengi. Angalia wanavyowatreat wasaidizi wa nyumbani. Umri ukiongezeka hali inakuwa mbaya. Chunguza ugomvi kati ya wanamama na ndugu wa mwanamme au wasichana wa kazi. Ubahili usio na maana. Sio rahisi kuuliza hasa watoto kuwa wanataka wapikiwe nini. Ukimtuma awafanyie watoto shopping wakirudi watoto wamenuna. Hotelini anajitahidi kuwachagulia chakula kisa kuogopa bili. Wanaume wengi wanalilalamikia swala hili. Wanawake tafadhalini jueni hili ni mojawapo ya maudhi kwenye ndoa au mahusiano mengi. Please do something to improve in this area.
 
Si uchoyo ni budget maisha magumu haya ujue,hatwez kua tunakula sato kila cku,maharage tembele vyahusika...hauwez kakae kwako c kukaa kwa watu!maana kuna watu wanakula jaman utafikiri hana uhakika km atakula kesho na keshokutwa
ninao hao watu hapa kwangu, balaaaa
 
Ni kweli ni tatizo kubwa kwa wanawake walio wengi. Angalia wanavyowatreat wasaidizi wa nyumbani. Umri ukiongezeka hali inakuwa mbaya. Chunguza ugomvi kati ya wanamama na ndugu wa mwanamme au wasichana wa kazi. Ubahili usio na maana. Sio rahisi kuuliza hasa watoto kuwa wanataka wapikiwe nini. Ukimtuma awafanyie watoto shopping wakirudi watoto wamenuna. Hotelini anajitahidi kuwachagulia chakula kisa kuogopa bili. Wanaume wengi wanalilalamikia swala hili. Wanawake tafadhalini jueni hili ni mojawapo ya maudhi kwenye ndoa au mahusiano mengi. Please do something to improve in this area.

Tunaspend kutokana na wallet zenu zinasoma vipi! Kama budget yenyewe ya kuvuta kwa manati, unadhani tufanyeje?
Si umesikia mama Pinda anasafiri na wapambe kibao??? Budget inaruhusu!
We spend as we earn lol!
 
Hahaha hawa ndugu majanga ila siyo wote wengine wastaarabu sana. Siku baba mwenye nyumba kakosa mboga kisa mtu tu kajilia saizi yake . Siku ukianza kujitegemea utajua bajeti ni nini¿ Kwa sasa huwezi elewa tena kama umetoka village kule bajeti hakunaga we vumilia tu mjini twaishi kwa mahesabu bwana. Bado kibubu, kibati na VICOBA BAJETI isiwepo kwa sababu gani?
 
Ni kweli ni tatizo kubwa kwa wanawake walio wengi. Angalia wanavyowatreat wasaidizi wa nyumbani. Umri ukiongezeka hali inakuwa mbaya. Chunguza ugomvi kati ya wanamama na ndugu wa mwanamme au wasichana wa kazi. Ubahili usio na maana. Sio rahisi kuuliza hasa watoto kuwa wanataka wapikiwe nini. Ukimtuma awafanyie watoto shopping wakirudi watoto wamenuna. Hotelini anajitahidi kuwachagulia chakula kisa kuogopa bili. Wanaume wengi wanalilalamikia swala hili. Wanawake tafadhalini jueni hili ni mojawapo ya maudhi kwenye ndoa au mahusiano mengi. Please do something to improve in this area.

ndugu hizo ni tabia na huzifuta haziwezekani ataficha makucha tu mwanzoni! huko mbeleni nishaaiiii bro.kuna wenginw mpaka kwa wadogo zake wa damu.unakuta shem anauwezo na yeye kapata bahati ya kuwa na mdau, mr anataka awasaidiye kwa kuwapa tu elimu wawe kioo chake na ngudu zake hapo bahafaye. unakuta hataki, hafahamu kama anampunguzia mzigo mr na anajiongezea nafuweni kwa maisha ya baadaye.yani!!!! nishaiiii aiseee
 
Kajitegemee utagombana na shemeji yako buree.......bajet unataka upange wewe kama mama mwenye nyumba.

Unataka nyama kila siku eeeh....eti haturidhiki,kama umetoa hela vile!!!!!

nouma sana! ukiona hapakufai kaanzishe makazi yako kama wamekushinda mbona kumbi kumbi wanaanzishaga makazi yao wenyewe wakisha toka kwa kichuguu, ww washindwa je?

Tafakari! chukua hatua
 
Ingawa sio wote lakini wengi ni wachoyo sana naona hata wewe unayesoma hii maada kama mwanamke itakuwa inakugusa inawezekana na wewe ni mchoyo.Unakuta nyumbani kuna kila kitu au mumeo amekuachia kila kitu lakini utafanya vijibajeti unavyovijua mwenyewe ili watu wasilizike, muhusika akikuuliza unakuja na majibu yasiyo na kichwa wala miguu yawezekana anayetafuta mwingine sio wewe hii ni kwa nini?

shida kubwa kiongozi huwahawajiamin.
 
wanawake huwajali sana wa kwao na wanaona fahari kama wameolewa pazuri na watawafichia kila kiwezekanacho. pia wanawake huwapenda zaidi watoto wao na kujibaraguza kuwapenda wa wenzao hapo ndipo penye uchoyo!
 
sisi wanaume bajeti za ndani huwa hatuzijui na ndiyo maana tunaona wenzetu hivyo , mama akiishiwa limao nayo akuombe hela , huwa wanaweka hela ya dharula yakimkuta awe na uwezo wa kuyatatua haraka na hapo ndiyo sheshe linapoanzia la ubahili, sisi bajeti zetu ni bia nyama choma na washkaji na offer za bar zisizo na kichwa wala mguu
 
nawewe utakuwa unaishi kwenye nyumba za wenzio, kama si kwa kaka yako, basi kwa baba yako mdogo. tafuta ya kwako nawewe uondokane na kubajetiwa, unakuwa mkali kisa katafuta ndugu yako? tafuta vyako ndugu. "MTEGEMEA CHA NDUGUYE..."
 
Back
Top Bottom