Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

kwa hiyo unamaanisha mwanaume kutoka nje ya ndoa ni sawa? sasa unataka kuaply mambo ya mfumo dume,ambao haustahili kuwepo kwenye maisha ya ndoa/mapenzi ya sasa. nasisitiza mwanaume atimize wajibu wake kama mume na mke vivyohivyo,kurekebishana na kubadilika panapostahili kama vipi kuvumiliana ...

no am not supporting huo mfumo dume mkuu,changes ni kwa wote
 
Mi napita tuuuuuuu............

ndugu usipite tu!hata kama hujaingia kwny ndoa, ipo cku.ni mada ya muhimu kuongelea japokuwa c ngeni kuongelewa..... ni serious issue inayo affect jamii yetu, na ufumbizi wake upo lakini watu wameweka pamba masikioni hawataki kufuata...tusichoke kukumbushana haki,wajibu na majukumu yetu kwenye suala zima la mahusiano
 
Dont tell me they r looking for dirty n rough sexy? KakaJambazi

Mkuu we jiulize ka merried couples wanaweza kunjana kwenye kiti au meza nyumbani.
Mabosi wanatumia office table na viti kuwakunja.
Rough sex inaladha yake mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Sasa unawasaidiaje? ila kama ndio kamchezo kako tafuta na mbinu za kujitetea maana nakuahid na nakwambia tena na tena mke wa mtu sumu. Hata kama unapata kiurahis usiegemee sana huko na ww uoe.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Kuna siku nilisema jambo fulani likawa gumu kueleweka kwa akili ya Kitanzania.

Kuna watu wanaamini kuwa kuna shida ya uwiano kati ya wanawake na wanaume kiasi kwamba kuna wasiwasi kwamba baadhi ya wasichana watakosa watu wa kuwaoa. Lakini kwa mimi ninavyoona, ni wanaume ndio wana wakati mgumu wa kupata wenza stahiki wa kuwaoa na sio wanawake.

Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake. Si kila mvaa sjeti anafaa kuolewa. Majority ni viruka njia. Sasa kwa kutokuwa makini na hawa virukanjia, utakuta mtu kajichukulia kimojawapo (mfano wa hivi vinavyojinadi hata hapa kuwa vinatafuta waume) na kukiweka ndani.

Bwana asikwambie mtu, kicheche hakiachi asili. Kuolewa kwao imekuwa ni ada tu, lkn vina dhamira chafu mioyoni mfano wake hakuna. Ukituona na visuti vyao kwenye vituo vya daladala utadhani binadamu, lkn kiukweli ni sperm-bins, kila mwenye shahawa anatupia humo. Na hivi ni vijitabia wanatokanavyo vyuoni zaidi.

Tumgeukie Mungu kama tunataka kunusurika
Hapo kwenye red , kuna ukweli mkuu lakini siku hizi wenyewe wanasema hakuna kuchafuana kwani una baki na mzigo wako kwenye domu,
Kweli wanawake wenye sifa za kuwa za kuwa mke ni wachache kuliko wale mwengine wa mpango kando
 
Sasa unawashaurije? Wewe unafikiri wao hawalijui tatizo? Halafu hao wake za watu wanawagaia nani, sio waume za watu au ni nyie single? Sasa na nyie single kwanini mnakula hao wake za watu au kwa kuwa wanawapa bure?

Mke wa mtu hana gharama,,,jitihada zako kwani mtaji kiuno..pia

Dini yangu inasema Mzinifu ataoa/kuolewa na mzinifu mwenzake.
 
Jamani msiogope kuoa kwani kila mtu ana malezi na makuzi yake. Kuwa mtulivu na mwenye hekima ya ki-Mungu ile uweze kupata mke mzuri unayefanana naye. Chagua mwanamke atakaekufurahisha kwa tabia yake nzuri na siyo sura japo akiwa na vyote vizuri inapendeza zaidi ila usiangalie sura tu na kuifanya kuwa kigezo cha kuoa mwanamke kwani ukishakaa naye kwenye ndoa hata awe na sura nzuri kiasi gani hutomwona mzuri hata kidogo zaidi ya kumwona kero na karaha, wakati mwingine unaweza hata kukosa hamu ya tendo la ndoa na matokeo yake utaanza kuparamia wake za watu ama watoto wa watu na kumwacha mkeo akitumiwa na wanaume wengine.
Kufanya kazi ama kukaa nyumbani si sababu ya kumfanya mtu kugawa uroda kama njugu ama kuwa mtulivu kama njiwa bali inategemeana na tabia yake, jaribu kuchagua mwanamke anayetambua thamani yake binafsi, kwa familiya, jamii na taifa kwa ujumla, asiyeona kawaida kumvulia mwanaume nguo ama kushikashikwa na mwanaume. Anayetambua kila kitu kina mipaka ikiwa ni ofisini, mtaani ama nyumbani, asiyeruhusu maneno ya ki-puuzi ya mwingie ama kutoka kinywani mwake, anayetambua uwepo wa Mungu na kuthamini wokovu katika maisha yake.
Amini usiamini wapo wanawake wazuri sana ambao bado hawajapata wanaume wazuri wa kuwakubali kuwa wachumba hivyo tulia, kuwa mwenye kufikiria. Usiingie kwenye mahusiano bila sababu wala bila kuwa tayari kuoa kwani kwa kufanya hivyo unaweza kuwatumia na kuwaacha wanawake wazuri wa kuweka ndani na mwishowe ukaishia kuoa wanawake wa ovyo na vicheche ajabu.
 
Kwani kuna haja ya kuongea wakati ww unatimiziwa mahitaji yako na mumeo? Unachokifata kwa kijana si kinajulikana? ayanda

mh wanaume wangekua wanatizima mahitaji tusingetoka nje! mabye ungetoa definition ya neno MAHITAJI maana naona kama hatuelewani hivi!
 
Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake.

...lkn kiukweli ni sperm-bins, kila mwenye shahawa anatupia humo. Na hivi ni vijitabia wanatokanavyo vyuoni zaidi.

Jesus Christ...!

1 Yakobo 1: 14... Lakini kila mtu hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. 15... Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa uzaa mauti
 
Habari wakuu!
Hii ishu inakatisha tamaa sana especially kwa sisi ambao bado hatujaoa,kwa style hii kuoa ni ngumu sana,maofisini tunashuhudia mambo mengi sana ya kijinga,kina dada mtulie kwenye ndoa zenu yaani mtu kaolewa ndio kwanza ana 2yrs,lakini anavyokigawa utasema hajazaliwa na binadamu...hata bure unapiga mzigo...
Ndugu zangu mliooa hawa workin class gaals yaani i feel sorry for you guys,this is bullshit....

Ndio MAMA,DADA SHANGAZI zetu hawa...wachukulie kama walivyo ila OMBA MUNGU akupe mke bora na si BORA MKE.
 
Mkuu nadhani siyo sahihi kusema hivyo, ni kweli wanawake wengi wadhaifu katika suala la uaminifu ili la kusema kila mwanamke yuko hivyo siyo kweli. Kuna wanawake ambao wametulia na ndoa zao na wanaziheshimu.
Morinyo - Naweza kucheza kamali hapo kwenye red/bold - Hakuna mwanamke aliyetulia nyakati hizi, equally so, hakuna mwanamme aliyetulia zama hizi - Kutembea nje ya ndoa imekuwa fashion kama enzi zile za bugaluu na laizoi...!
 
Last edited by a moderator:
wanafanya zinaa chini ya 18, wakiingia kwenye ndoa anarudia enzi zake, wajiepushe kwani HIV haikwepeki
 
Sasa unawashaurije? Wewe unafikiri wao hawalijui tatizo? Halafu hao wake za watu wanawagaia nani, sio waume za watu au ni nyie single? Sasa na nyie single kwanini mnakula hao wake za watu au kwa kuwa wanawapa bure?
eti inadaiwa wake za watu hawana usumbufu
 
Morinyo - Naweza kucheza kamali hapo kwenye red/bold - Hakuna mwanamke aliyetulia nyakati hizi, equally so, hakuna mwanamme aliyetulia zama hizi - Kutembea nje ya ndoa imekuwa fashion kama enzi zile za bugaluu na laizoi...!

Mkuu Naomba kutofautiana na wewe katika hili, ukisema walio wengi hawajatulia tutakubaliana lakini ukusema wote hapo ntakataa.
 
mh wanaume wangekua wanatizima mahitaji tusingetoka nje! mabye ungetoa definition ya neno MAHITAJI maana naona kama hatuelewani hivi!

Mahitaji ya kawaida home, kwani kinachofanya wewe kutoka nje ya ndoa nini! Ni kulipiza kisasi? (Kwa vile yeye anatoka ), kutafuta sehemu ya kutuliza roho yako? (Kwa vile home hupati amani ya moyo ), au hakutimizii mahitaji yako kule faragha? nipe sababu za wewe kutoka nje ya ya ndoa!
 
Ila na nyie wanaume mmezidi (baadhi). Wewe unafahamu kabisa mdada ni mke wa mtu tena ana mtoto, wewe bado bachelor lakini unamganda mdada, unang'ang'ania unampenda kwa lipi? Kwa nini usitafute masingle wenzio ambao bado wabichi kbs? Mjirekebishe.
 
Mahitaji ya kawaida home, kwani kinachofanya wewe kutoka nje ya ndoa nini! Ni kulipiza kisasi? (Kwa vile yeye anatoka ), kutafuta sehemu ya kutuliza roho yako? (Kwa vile home hupati amani ya moyo ), au hakutimizii mahitaji yako kule faragha? nipe sababu za wewe kutoka nje ya ya ndoa!


kutafuta sehemu ya kutuliza moyo wangu kaka, home mahitaji yapo mbona tena mengi nakamilisha mwenyewe tu(chakula, mavazi etc).
mahitaji ya faragha si ishu kubwa kwangu ilimradi napata amani ya moyo.

tatizo watu wanadhani mtu akitoka ina maana apate good sex ndani, utashangaa kakangu maana mambo ni mengi, wengine tunatafuta emotional relief tu which has nothing to with sex.
 
kutafuta sehemu ya kutuliza moyo wangu kaka, home mahitaji yapo mbona tena mengi nakamilisha mwenyewe tu(chakula, mavazi etc).
mahitaji ya faragha si ishu kubwa kwangu ilimradi napata amani ya moyo.

tatizo watu wanadhani mtu akitoka ina maana apate good sex ndani, utashangaa kakangu maana mambo ni mengi, wengine tunatafuta emotional relief tu which has nothing to with sex.

Nilidhani ungetafuta mbinu ya kuiweka ndoa yako iwe na amani, kuliko kutafuta amani ya mda, ya kuiba, isiyo na tija na ambayo mwisho wake huwa si mzuri.

Wewe ndo una jukumu la kuijenga nyumba yako, na pia unaweza kuibomoa peke yako. Hembu jaribu kufikiria juu ya hilo, unampenda nani kati ya mumeo na hawara yako?
 
Nilidhani ungetafuta mbinu ya kuiweka ndoa yako iwe na amani, kuliko kutafuta amani ya mda, ya kuiba, isiyo na tija na ambayo mwisho wake huwa si mzuri.

Wewe ndo una jukumu la kuijenga nyumba yako, na pia unaweza kuibomoa peke yako. Hembu jaribu kufikiria juu ya hilo, unampenda nani kati ya mumeo na hawara yako?

hawara kwa hivi sijui badae.
 
Back
Top Bottom