Kuna siku nilisema jambo fulani likawa gumu kueleweka kwa akili ya Kitanzania.
Kuna watu wanaamini kuwa kuna shida ya uwiano kati ya wanawake na wanaume kiasi kwamba kuna wasiwasi kwamba baadhi ya wasichana watakosa watu wa kuwaoa. Lakini kwa mimi ninavyoona, ni wanaume ndio wana wakati mgumu wa kupata wenza stahiki wa kuwaoa na sio wanawake.
Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake. Si kila mvaa sjeti anafaa kuolewa. Majority ni viruka njia. Sasa kwa kutokuwa makini na hawa virukanjia, utakuta mtu kajichukulia kimojawapo (mfano wa hivi vinavyojinadi hata hapa kuwa vinatafuta waume) na kukiweka ndani.
Bwana asikwambie mtu, kicheche hakiachi asili. Kuolewa kwao imekuwa ni ada tu, lkn vina dhamira chafu mioyoni mfano wake hakuna. Ukituona na visuti vyao kwenye vituo vya daladala utadhani binadamu, lkn kiukweli ni sperm-bins, kila mwenye shahawa anatupia humo. Na hivi ni vijitabia wanatokanavyo vyuoni zaidi.
Tumgeukie Mungu kama tunataka kunusurika