Yaani
ayanda nakuzimikia ile mbaya, upo ktk real world hauna kupretend wala kupaka watu mafuta kwa mgongo wa chupa. Nakubaliana na hoja zako ktk hili suala kwa asilimia Mia moja. Watu wanafumba macho na kujifanya reality hawaijui, hiyo unayoelezea wewe ndio reality, basi tu. Asante kwa kuwa mkweli.nyakati za wanaume kutuua kwa pressure na stress na kututishia kuwa watatafuta nyumba ndogo kwa vijimambo visivyo na msingi zimeshapita. Siku hizi ni kubanana wote kwenye hiyo mipango kando, tukirudi home wote tusharelease stress maisha yanaendelea kwa amani. Kama tungekuwa tunaishi kwenye ideal world basi ingepaswa wote mume na mke wasitoke nje, ila kwa kuwa ulimwengu tuliomo ndio huu basi hali halisi ikubalike tu kuwa wanawake nao wana needs na desires ambazo zikishindikana kuwa met ndani ya nyumba hulazimika kutoka nje, just like men. Kama ni tatizo litazamwe kutokea angle zote mbili na ufumbuzi utafutwe kwa wote wake kwa waume ila si kuwaona wanawake ndio wakosaji sana wanapofanya Yale ambayo wanaume wamekuwa wakiyafanya tokea Enzi maana sababu zile zile zinazowafanya wanaume watoke nje ya ndoa ndio hizi hizo zinazowafanya wanawake pia watoke nje.Ikiletwa mada ya kuhusu mwanaume kucheat lawama kwa kiasi kikubwa huenda kwa mkewe, Mara ooh amebadilika, Ana gubu, hajijali, n.k ikija inayohusu nje kucheat, lawama zinabaki kwake yeye mwenyewe, ataitwa kila jina baya. Kwa nini hapa lawama zisiende kwa mume wake pia? Wanawake wengi wamechoka sasa wameamua kuja kidijitali zaidi, pita huko nipite kule tutakutana home jioni, hiyo ndio Habari ya mujini. Na mkirudi home kila mtu yupo guilty basi full kujipendekeza kwa mwenzie ili asishtukiwe basi mapenzi motomoto, ha ha haaaa.