Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

thread kama hizi zinakatisha tamaa saaanaa.. dada zetu ni lini mtasikia kilio chetu. inauma jamani...
 
Kwa wanaume atleast,i dont kno kama ndo wanaficha makucha who knows ila
kwa wanawake mmwee

Mshahara wenyewe laki 5, hujala, hujaweka mafuta, hujapigwa ka mzinga! Utahonga kweli? Labda azimike nawewe tu akupe utamu....tamaa ya maisha ya juu ndo yanawaponza wanawake walio wengi, wanaishia kuliwa ovyo...ni kweli bhana tunayoyaona maofisini sishawishiki kuoa hata kwa rungu!
 
Sasa mnatuambia nini tusiooa,? Mbona mnatuogopesha namna hii jamani? Yani tunadiriki kuhalalisha hali hii na wqla hatuikemei? Kwa kifupi, tunaipigia makofi? Oh, God!

Tatizo, single guys wanaogopa majukumu, kwa hiyo njia rahisi ni kutembea na wake za watu... yaani hamna matumizi kwao.

Wake za watu hawahitaji usumbufu, wanatafuta kijana wa kuwatuliza kimapenzi kwa vile mara nyingi ndani ya nyumba hakujatulia, matatizo ya fedha, mahitaji ya familia yanawalemea waume zao kwa hiyo attention kwao inapungua, so wanatafuta vijana wasiokuwa na majukumu.

Lakini pia hulka ya mtu inachangia.
 
I was talking abt married men NATA,mabachelors ndio wanashambulia za bure bure za hawa they so called mrs fulani
Ok so here we have to discuss about bachelors wanavyobeb ma bibi wa watu na married women wanavyobeba chukuliwa j na vijana un married, Maanayake nilipata mshitukomkuwa hawa married women wana mis behave na akina nani?Kumbe kuna vijana wasio na adabu wanawafanyizia waume wenzao .lol!
 
Last edited by a moderator:
hizo unazoziita holes ndo ulipotekea na isingeku hole, wewe usingezaliwa.
angalau muheshimu mama yako.

ayanda... sio mimi nimesema hivyo.. ukitazama vizuri kuna mtu nime m quote!
 
Last edited by a moderator:
Kwako kuingiziwa kila aina ya male organs ndio good time. Eeh Mungu utunusuru. Yaani na mwanamke mwenye akili za namna hii naye umeruhusu awe mke wa mtu? Mtu huyo alikukosea nini ee Maulana?

Eti we mama, kuvuliwa nguo na wanaume mara huyu mara huyu ni taratibu za dini yako au kabila lako? Samahani, maswali ni mengi: yaani, huoni vibaya wewe kuangaliwa na kila mwanaume?
Laiti mngejua ni nini wanaume huongea juu ya wake za watu waliowafanya naamini msingejidhalilisha na kuwadhalilisha waume zenu.

haina tatizo kaka, ofkoz tunaenjoy sana sex(especialy sie wa 30 yrs na tuliozaa). N a kwa taarifa yako sivulii wanaume ovyo ninae special wangu dear. Na hata wanaume wanatusema ovyo, haina shida maana wewe utanisema mie vibaya na mwingine atamsema mkeo vibaya baada ya kumvua nguo.

haina shida kaka, kusemwa kupo tu ndugu yangu. wala hatujali
 
Sasa mnatuambia nini tusiooa,? Mbona mnatuogopesha namna hii jamani? Yani tunadiriki kuhalalisha hali hii na wqla hatuikemei? Kwa kifupi, tunaipigia makofi? Oh, God!

Tatizo, single guys wanaogopa majukumu, kwa hiyo njia rahisi ni kutembea na wake za watu... yaani hamna matumizi kwao.

Wake za watu hawahitaji usumbufu, wanatafuta kijana wa kuwatuliza kimapenzi kwa vile mara nyingi ndani ya nyumba hakujatulia, matatizo ya fedha, mahitaji ya familia yanawalemea waume zao kwa hiyo attention kwao inapungua, so wanatafuta vijana wasiokuwa na majukumu.

Lakini pia hulka ya mtu inachangia.

aka mie vijana wasio na majukumu ni BIG NO. sasa nitongea nae nini mtu mwenyewe majukumu hajui.
 
thread kama hizi zinakatisha tamaa saaanaa.. dada zetu ni lini mtasikia kilio chetu. inauma jamani...

mtajiju, mpaka mfunge hizo zipu zenu ndo tutawaonea huruma, la sivyo JINO KWA JINO TU.
 
aka mie vijana wasio na majukumu ni BIG NO. sasa nitongea nae nini mtu mwenyewe majukumu hajui.

Kwani kuna haja ya kuongea wakati ww unatimiziwa mahitaji yako na mumeo? Unachokifata kwa kijana si kinajulikana? ayanda
 
Last edited by a moderator:
Habari wakuu!
Hii ishu inakatisha tamaa sana especially kwa sisi ambao bado hatujaoa,kwa style hii kuoa ni ngumu sana,maofisini tunashuhudia mambo mengi sana ya kijinga,kina dada mtulie kwenye ndoa zenu yaani mtu kaolewa ndio kwanza ana 2yrs,lakini anavyokigawa utasema hajazaliwa na binadamu...hata bure unapiga mzigo...
Ndugu zangu mliooa hawa workin class gaals yaani i feel sorry for you guys,this is bullshit....


hivi naomba kuuliza,sio kwamba natetea wanawake wanaotoka nje ya ndoa,la hasha! ila kwann wanaume kutoka nje ya ndoa inachukuliwa poa lkn wanawake wanaonekana ni wa ajabu na ni malaya? mimi nachofahamu wanawake wengi hata kama alikuwa kicheche kabla ya ndoa,akishaolewa wengi wao wanatulia. shida inakuja pale waume zao wanaposhindwa kuwa committed kwenye ndoa.....kumbuka wanawake nao ni wanadamu wanatofautiana jinsi ya ku-handle matatizo ya ndoa,ndo hapo wengine huamua kuondoa stress kwa kutoka nje!! kikubwa wanandoa wawe karibu na wawe wawazi tatizo linapotokea,in short mawasiliano ni muhimu sana kwny nyumba
 
Tatizo akiwa nyumbani, anafanyiwa mapenzi kistarabu sana, staili na tundu ni moja tu kifo cha mende.
Hapati varieties alizozoea.
 
hivi naomba kuuliza,sio kwamba natetea wanawake wanaotoka nje ya ndoa,la hasha! ila kwann wanaume kutoka nje ya ndoa inachukuliwa poa lkn wanawake wanaonekana ni wa ajabu na ni malaya? mimi nachofahamu wanawake wengi hata kama alikuwa kicheche kabla ya ndoa,akishaolewa wengi wao wanatulia. shida inakuja pale waume zao wanaposhindwa kuwa committed kwenye ndoa.....kumbuka wanawake nao ni wanadamu wanatofautiana jinsi ya ku-handle matatizo ya ndoa,ndo hapo wengine huamua kuondoa stress kwa kutoka nje!! kikubwa wanandoa wawe karibu na wawe wawazi tatizo linapotokea,in short mawasiliano ni muhimu sana kwny nyumba

Well said,ila there is a big different between a man and a woman whether you like or not
 
mwanadamu yeyote asipokuwa na hofu ya Mungu kufanya jambo la kipuuzi kwake ni kawaida tu, so hapo cha msingi ni watu wawe na hofu ya Mungu popote wanapokuwa hayo yote hayawezi kutokea
 
thread kama hizi zinakatisha tamaa saaanaa.. dada zetu ni lini mtasikia kilio chetu. inauma jamani...

mkuu data tatizo mara nyingi wanawake wanatafuta loopholes za kujitetea (utasikia why married men always cheated),but kiukweli they have to change for the sake of us jamani,atleast tuwe na desire ya kutaka kuoa lol
 
Last edited by a moderator:
Wanawwake wanafanya ufuska na wanaume ambao ndio sisi halafu sisi tunawalaumu kwa ufuska.nadhani wote tubadilike sisi na wao...ila sasa shida ingne mjue huwezi mchunga mwanamke..tena kwenye miji kama Darni htari atapigwa mashine tu maana ana excuse nyingi sana anzia safari, foleni na umbali wa kazi pia...mimi sihangaiki nao akitiwa shauri yake ila nikimshika moto wake ataouona///
 
Well said,ila there is a big different between a man and a woman whether you like or not

kwa hiyo unamaanisha mwanaume kutoka nje ya ndoa ni sawa? sasa unataka kuaply mambo ya mfumo dume,ambao haustahili kuwepo kwenye maisha ya ndoa/mapenzi ya sasa. nasisitiza mwanaume atimize wajibu wake kama mume na mke vivyohivyo,kurekebishana na kubadilika panapostahili kama vipi kuvumiliana ...
 
Back
Top Bottom