teh teh teh mi nakula single ladies mkuu,there is no room for married women hapa
cc mzabzab
Ni kweli kabisa yaani personally im very much dissapointed,i dont even think abt getting marriedHaya wenye tabia muache jamani mnawakwaza mwenzenu. haya wadada tubadilike sie ndio mabingwa wa kulalamika kuwa waoaji hakuna kumbe wapo. Ila wanakatishwa tamaa na mijitabia yetu mibaya.
Habari wakuu!
Kama mke wa mtu katoka nje ya ndoa na mme wa mtu, nani alaumiwe kati ya mwanamke na mwanamme????? Hii ndiyo hali halisi ya ndoa, Hakuna mwanaume anayeweza kuapa kuwa mke wake hatoki nje, ila tu uombe usione, ila amini kila mwenye mke, mke wake anatoka nje ya ndoa. kama hili unaona halifai, acha kabisa kuoa, kwani ukioa tu, vidume lazima vionje mpiko. Mbaya zaidi, mwanamke kamwe hawezi kumsahau mwanaume aliyemtoa usichana. Hivyo kila wakikutana, lazima wakumbushie, hata kama ni mke wa mkuu wa kaya.
"BADO UPO UPO KWANZA?????????????"
hahahaha cant be serious
Habari wakuu!
Hii ishu inakatisha tamaa sana especially kwa sisi ambao bado hatujaoa,kwa style hii kuoa ni ngumu sana,maofisini tunashuhudia mambo mengi sana ya kijinga,kina dada mtulie kwenye ndoa zenu yaani mtu kaolewa ndio kwanza ana 2yrs,lakini anavyokigawa utasema hajazaliwa na binadamu...hata bure unapiga mzigo...
Ndugu zangu mliooa hawa workin class gaals yaani i feel sorry for you guys,this is bullshit....
Kama mke wa mtu katoka nje ya ndoa na mme wa mtu, nani alaumiwe kati ya mwanamke na mwanamme????? Hii ndiyo hali halisi ya ndoa, Hakuna mwanaume anayeweza kuapa kuwa mke wake hatoki nje, ila tu uombe usione, ila amini kila mwenye mke, mke wake anatoka nje ya ndoa. kama hili unaona halifai, acha kabisa kuoa, kwani ukioa tu, vidume lazima vionje mpiko. Mbaya zaidi, mwanamke kamwe hawezi kumsahau mwanaume aliyemtoa usichana. Hivyo kila wakikutana, lazima wakumbushie, hata kama ni mke wa mkuu wa kaya.
"BADO UPO UPO KWANZA?????????????"
Pole sana mkuu kama unahisi kuna porojo hapa,unataka statistics hata kwenye hili
au unataka source?
Sasa unawashaurije? Wewe unafikiri wao hawalijui tatizo? Halafu hao wake za watu wanawagaia nani, sio waume za watu au ni nyie single? Sasa na nyie single kwanini mnakula hao wake za watu au kwa kuwa wanawapa bure?
Nakubaliana na wewe kabisa, ila kutokana na dunia kuoza, na jinsi pepo la ngono lilivyo tawala dunia, nani atakayesalimika????? Ingawa kweli wapo wateule wachache. Big up mkuu, nashukuru kwa comment hiyo, na nakubali si haki ku-generalise.Mkuu nadhani siyo sahihi kusema hivyo, ni kweli wanawake wengi wadhaifu katika suala la uaminifu ili la kusema kila mwanamke yuko hivyo siyo kweli. Kuna wanawake ambao wametulia na ndoa zao na wanaziheshimu.
Habari wakuu!
Hii ishu inakatisha tamaa sana especially kwa sisi ambao bado hatujaoa,kwa style hii kuoa ni ngumu sana,maofisini tunashuhudia mambo mengi sana ya kijinga,kina dada mtulie kwenye ndoa zenu yaani mtu kaolewa ndio kwanza ana 2yrs,lakini anavyokigawa utasema hajazaliwa na binadamu...hata bure unapiga mzigo...
Ndugu zangu mliooa hawa workin class gaals yaani i feel sorry for you guys,this is bullshit....
Unaelewa maana ya statistics,unahisi kila kitu kinafanyiwa data analysis mkuu
we una matatizo ya akili,unashabikia ujinga ndio walewaleKwani si wanagawa kwa waume za wtu jamani? i dont see a problem kabisa. kama mume yupo ofisini anapewa k na mke wa mtu basi na mie nitagawa kwa mume wa mtu. tunabadilishana tu. tatizo lako nini kwani wake hao ni wako?
acha umbea
wewe ayanda, utakuwa mliwaji wewe, acha hizo tabia za kishenzi, hata hufananii bana. Muone kwanza unatetea upuuzi, shenzy typeKwani si wanagawa kwa waume za wtu jamani? i dont see a problem kabisa. kama mume yupo ofisini anapewa k na mke wa mtu basi na mie nitagawa kwa mume wa mtu. tunabadilishana tu. tatizo lako nini kwani wake hao ni wako?
acha umbea