Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

NIGGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
1,239
Reaction score
641
Habari wakuu!
Hii ishu inakatisha tamaa sana especially kwa sisi ambao bado hatujaoa,kwa style hii kuoa ni ngumu sana,maofisini tunashuhudia mambo mengi sana ya kijinga,kina dada mtulie kwenye ndoa zenu yaani mtu kaolewa ndio kwanza ana 2yrs,lakini anavyokigawa utasema hajazaliwa na binadamu...hata bure unapiga mzigo...
Ndugu zangu mliooa hawa workin class gaals yaani i feel sorry for you guys,this is bullshit....
 
Ni tabia ya mtu ingawa majority ni hivyo.

Wengi wao hii ndio tabia yao mkuu,kwann mtu anashindwa ku respect ndoa yake au
wamekurupuka kuolewa mapema
 
Wengi wao hii ndio tabia yao mkuu,kwann mtu anashindwa ku respect ndoa yake au
wamekurupuka kuolewa mapema

Nadhani ni tamaa, kwa wanaume waliooa ni vipi huko makazini?
 
hata mama wa nyumbani wanakigawa mkuu maana tabia ya mtu haifichiki na wala ng'ombe hazeeki maini,mke wa mtu akishindwa kujiheshimu ana mapungufu ktk ubongo wake.
 
Utamu wa mpini unatofautiana, sasa kama alishazoea kuchanganya mitari-mboo utamfanyaje...................!?
Mwache atarasuriwe mpaka akutane na wendawazimu wa kunyoosha marinda...........!
 
Nadhani ni tamaa, kwa wanaume waliooa ni vipi huko makazini?

Kwa wanaume atleast,i dont kno kama ndo wanaficha makucha who knows ila
kwa wanawake mmwee
 
Kuna siku nilisema jambo fulani likawa gumu kueleweka kwa akili ya Kitanzania.

Kuna watu wanaamini kuwa kuna shida ya uwiano kati ya wanawake na wanaume kiasi kwamba kuna wasiwasi kwamba baadhi ya wasichana watakosa watu wa kuwaoa. Lakini kwa mimi ninavyoona, ni wanaume ndio wana wakati mgumu wa kupata wenza stahiki wa kuwaoa na sio wanawake.

Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake. Si kila mvaa sjeti anafaa kuolewa. Majority ni viruka njia. Sasa kwa kutokuwa makini na hawa virukanjia, utakuta mtu kajichukulia kimojawapo (mfano wa hivi vinavyojinadi hata hapa kuwa vinatafuta waume) na kukiweka ndani.

Bwana asikwambie mtu, kicheche hakiachi asili. Kuolewa kwao imekuwa ni ada tu, lkn vina dhamira chafu mioyoni mfano wake hakuna. Ukituona na visuti vyao kwenye vituo vya daladala utadhani binadamu, lkn kiukweli ni sperm-bins, kila mwenye shahawa anatupia humo. Na hivi ni vijitabia wanatokanavyo vyuoni zaidi.

Tumgeukie Mungu kama tunataka kunusurika
 
hata mama wa nyumbani wanakigawa mkuu maana tabia ya mtu haifichiki na wala ng'ombe hazeeki maini,mke wa mtu akishindwa kujiheshimu ana mapungufu ktk ubongo wake.
teh teh teh au kuolewa mapema inachangia may be?
yaani they are readily available mwee
 
Haya wenye tabia muache jamani mnawakwaza mwenzenu. haya wadada tubadilike sie ndio mabingwa wa kulalamika kuwa waoaji hakuna kumbe wapo. Ila wanakatishwa tamaa na mijitabia yetu mibaya.
 
Kwa wanaume atleast,i dont kno kama ndo wanaficha makucha who knows ila
kwa wanawake mmwee

NIGGA huo ufisadi wa mapenzi wanafanya wao kwa wao, ni malesibie watakuwa hawa wake za watu
 
Last edited by a moderator:
Kuna siku nilisema jambo fulani likawa gumu kueleweka kwa akili ya Kitanzania.

Kuna watu wanaamini kuwa kuna shida ya uwiano kati ya wanawake na wanaume kiasi kwamba kuna wasiwasi kwamba baadhi ya wasichana watakosa watu wa kuwaoa. Lakini kwa mimi ninavyoona, ni wanaume ndio wana wakati mgumu wa kupata wenza stahiki wa kuwaoa na sio wanawake.

Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake. Si kila mvaa sjeti anafaa kuolewa. Majority ni viruka njia. Sasa kwa kutokuwa makini na hawa virukanjia, utakuta mtu kajichukulia kimojawapo (mfano wa hivi vinavyojinadi hata hapa kuwa vinatafuta waume) na kukiweka ndani.

Bwana asikwambie mtu, kicheche hakiachi asili. Kuolewa kwao imekuwa ni ada tu, lkn vina dhamira chafu mioyoni mfano wake hakuna. Ukituona na visuti vyao kwenye vituo vya daladala utadhani binadamu, lkn kiukweli ni sperm-bins, kila mwenye shahawa anatupia humo. Na hivi ni vijitabia wanatokanavyo vyuoni zaidi.

Tumgeukie Mungu kama tunataka kunusurika


Mkuu, uko sahihi. Katika ndoa kuna kupata mke na kupata mwanamke.
 
Kuna siku nilisema jambo fulani likawa gumu kueleweka kwa akili ya Kitanzania.

Kuna watu wanaamini kuwa kuna shida ya uwiano kati ya wanawake na wanaume kiasi kwamba kuna wasiwasi kwamba baadhi ya wasichana watakosa watu wa kuwaoa. Lakini kwa mimi ninavyoona, ni wanaume ndio wana wakati mgumu wa kupata wenza stahiki wa kuwaoa na sio wanawake.

Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake. Si kila mvaa sjeti anafaa kuolewa. Majority ni viruka njia. Sasa kwa kutokuwa makini na hawa virukanjia, utakuta mtu kajichukulia kimojawapo (mfano wa hivi vinavyojinadi hata hapa kuwa vinatafuta waume) na kukiweka ndani.

Bwana asikwambie mtu, kicheche hakiachi asili. Kuolewa kwao imekuwa ni ada tu, lkn vina dhamira chafu mioyoni mfano wake hakuna. Ukituona na visuti vyao kwenye vituo vya daladala utadhani binadamu, lkn kiukweli ni sperm-bins, kila mwenye shahawa anatupia humo. Na hivi ni vijitabia wanatokanavyo vyuoni zaidi.

Tumgeukie Mungu kama tunataka kunusurika

Well said mkuu,unajua wakati mwingine mpaka unahisi hiki kizazi chetu alietuloga kafa
maana wengine tunajifunza through hizi couple ambazo zimetutangulia,lakini matokeo yake ni
balaa tupu khaaa,binafsi naogopa sana kuoa
 
wewe sasa unalalamika nini? wee nae sii ujikamatie ugegede bwana kwa raha zako.
tatizo ni kwamba most women get married for the wrong reasons....hivyo anataka status katika jamii ila anajua wala isiwe shida nitakuwa nakunwa outside nikitaka. so wewe chakufanya ni kukubaliana kwamba ndio ulimwengu wa sasa. so kama waona wanakunyima hamu ya ndoa well and gud just stay single.
 
NIGGA huo ufisadi wa mapenzi wanafanya wao kwa wao, ni malesibie watakuwa hawa wake za watu
I was talking abt married men NATA,mabachelors ndio wanashambulia za bure bure za hawa they so called mrs fulani
 
Last edited by a moderator:
Well said mkuu,unajua wakati mwingine mpaka unahisi hiki kizazi chetu alietuloga kafa
maana wengine tunajifunza through hizi couple ambazo zimetutangulia,lakini matokeo yake ni
balaa tupu khaaa,binafsi naogopa sana kuoa

Kuogopa haisaidii mkuu, suala hapa ni kuomba Mungu na achana na sura na vipodozi. Mwaname hutambulia kwa makuzi na malezi yake na sio hina na wanja.

Hivi virukanjia ni mzigo wa mwili na roho. Bila neema za Mungu utaumia tu. Hakuna janga kubwa katika maisha kama kuoa mwanamke ambaye kuvua nguo mbele ya wanaume mbalimbali kwake si jambo gumu.
 
wewe sasa unalalamika nini? wee nae sii ujikamatie ugegede bwana kwa raha zako.
tatizo ni kwamba most women get married for the wrong reasons....hivyo anataka status katika jamii ila anajua wala isiwe shida nitakuwa nakunwa outside nikitaka. so wewe chakufanya ni kukubaliana kwamba ndio ulimwengu wa sasa. so kama waona wanakunyima hamu ya ndoa well and gud just stay single.

teh teh teh mi nakula single ladies mkuu,there is no room for married women hapa
cc mzabzab
 
ebu leta statistics Mkuu, hii imekaa kiporojo sana
 
ebu leta statistics Mkuu, hii imekaa kiporojo sana

Pole sana mkuu kama unahisi kuna porojo hapa,unataka statistics hata kwenye hili
au unataka source?
 
Back
Top Bottom