Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

Kwa nini wake za watu (majority) hamuwezi kukituliza

sababu ni zile zile zinazofanya waume za watu almost wote wacheat.......
 
NIGGA nimesikia kichekoo lolz.

Usiache kuoa banaaa. Sio kila aliyeolewa anagawa ovyo.

Sishabikii kabisa ukosefu wa uaminifu BUT mshangao wangu ni kuwa wanaume kukigawa huwa wanaona sio dhambi au ni sawa but wakiona wanawake wanagawa wanahisi wanaonewa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
ayanda, unanitia shaka hata kama una ndoa

ha ha ha ningekua sina ndoa na mimi ningekuwa nakemea dhambi hii, ila kwasababu niko kwenye ndoa ndo mana naielewa vizuri hii dhambi na si kazi yangu kutoa hukumu kwa yeyote maana tukisema tumulike walio kwenye ndoa utashangaa tena unaweza zimia kabisa na taasisi hii.
niko kwenye ndoa tena ni tamuuuuuuuuuuuuu
 
ayanda, ebu anzisha thread yako maana inaonekana una mengi zaidi unayofahamu. wanawake wakati mwingine mnakatisha tamaa sana

niliwahi anzisha thread hapa watu wakataka kunila nyama japo hawanioni. cha ajabu sasa watu wanaanzisha thread ambazo ndo mlemle.
nitachangia tu wal sianzishi, ilimradi nikipata time
 
Well said mkuu,unajua wakati mwingine mpaka unahisi hiki kizazi chetu alietuloga kafa
maana wengine tunajifunza through hizi couple ambazo zimetutangulia,lakini matokeo yake ni
balaa tupu khaaa,binafsi naogopa sana kuoa

mh utajibeba
 
Kuna siku nilisema jambo fulani likawa gumu kueleweka kwa akili ya Kitanzania.

Kuna watu wanaamini kuwa kuna shida ya uwiano kati ya wanawake na wanaume kiasi kwamba kuna wasiwasi kwamba baadhi ya wasichana watakosa watu wa kuwaoa. Lakini kwa mimi ninavyoona, ni wanaume ndio wana wakati mgumu wa kupata wenza stahiki wa kuwaoa na sio wanawake.

Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake. Si kila mvaa sjeti anafaa kuolewa. Majority ni viruka njia. Sasa kwa kutokuwa makini na hawa virukanjia, utakuta mtu kajichukulia kimojawapo (mfano wa hivi vinavyojinadi hata hapa kuwa vinatafuta waume) na kukiweka ndani.

Bwana asikwambie mtu, kicheche hakiachi asili. Kuolewa kwao imekuwa ni ada tu, lkn vina dhamira chafu mioyoni mfano wake hakuna. Ukituona na visuti vyao kwenye vituo vya daladala utadhani binadamu, lkn kiukweli ni sperm-bins, kila mwenye shahawa anatupia humo. Na hivi ni vijitabia wanatokanavyo vyuoni zaidi.

Tumgeukie Mungu kama tunataka kunusurika

Kwi kwiiiiiiiiiiii ... Hii imenichekesha sana.. " Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake."

Post yako inalandana sana na jina lako lolz.

Last statement yako ndiyo nimeipenda.. Kila mtu akiwa na hofu ya mungu basi uaminifu ktk ndoa utapatikana.. As huwezi kumlinda mwenzi wako against cheating but akiwa na utu na hofu ya Mungu anaweza hata kushinda majaribu na vishawishi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
NIGGA nimesikia kichekoo lolz.

Usiache kuoa banaaa. Sio kila aliyeolewa anagawa ovyo.

Sishabikii kabisa ukosefu wa uaminifu BUT mshangao wangu ni kuwa wanaume kukigawa huwa wanaona sio dhambi au ni sawa but wakiona wanawake wanagawa wanahisi wanaonewa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
neggirl thanks for ur wise words,ila tukiangalia the other side of the coin(married men) same sh.it happens pia,yaani balaa balaa
 
Last edited by a moderator:
wewe sasa unalalamika nini? wee nae sii ujikamatie ugegede bwana kwa raha zako.
tatizo ni kwamba most women get married for the wrong reasons....hivyo anataka status katika jamii ila anajua wala isiwe shida nitakuwa nakunwa outside nikitaka. so wewe chakufanya ni kukubaliana kwamba ndio ulimwengu wa sasa. so kama waona wanakunyima hamu ya ndoa well and gud just stay single.

hapo umenena sweetie, sijui watu wengine kwanini hawataki kua digital. unajua inaumiza but kukubali ukweli ni bora kuliko kujifanya unakemea maana utajipa presha bureeeeeeee
 
Kama mke wa mtu katoka nje ya ndoa na mme wa mtu, nani alaumiwe kati ya mwanamke na mwanamme????? Hii ndiyo hali halisi ya ndoa, Hakuna mwanaume anayeweza kuapa kuwa mke wake hatoki nje, ila tu uombe usione, ila amini kila mwenye mke, mke wake anatoka nje ya ndoa. kama hili unaona halifai, acha kabisa kuoa, kwani ukioa tu, vidume lazima vionje mpiko. Mbaya zaidi, mwanamke kamwe hawezi kumsahau mwanaume aliyemtoa usichana. Hivyo kila wakikutana, lazima wakumbushie, hata kama ni mke wa mkuu wa kaya.
"BADO UPO UPO KWANZA?????????????"

Acha kudanganya watu wewe.. Una uhakika na unachokisema. Usi generalize mambo mkuu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwi kwiiiiiiiiiiii ... Hii imenichekesha sana.. " Kilichopo mtaani ni wingi wa watu wenye 'holes' katikati ya mapaja na si wanawake."

Post yako inalandana sana na jina lako lolz.

Last statement yako ndiyo nimeipenda.. Kila mtu akiwa na hofu ya mungu basi uaminifu ktk ndoa utapatikana.. As huwezi kumlinda mwenzi wako against cheating but akiwa na utu na hofu ya Mungu anaweza hata kushinda majaribu na vishawishi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hizo unazoziita holes ndo ulipotekea na isingeku hole, wewe usingezaliwa.
angalau muheshimu mama yako.
 
hapo umenena sweetie, sijui watu wengine kwanini hawataki kua digital. unajua inaumiza but kukubali ukweli ni bora kuliko kujifanya unakemea maana utajipa presha bureeeeeeee
we si mke wa mtu??nn hiki
 
wewe ayanda, utakuwa mliwaji wewe, acha hizo tabia za kishenzi, hata hufananii bana. Muone kwanza unatetea upuuzi, shenzy type

Mie ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiii!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Inabidi muende kwa waganga ili wanasiane

ha ha ha ha unajua wanaume wakienda kwa wagagnga, it means almost 90 ya watu bongo hii watakua wamenasiana aisee, maana tunabadilishana. sasa mie wangu akininnasisha na hawara ina maana na yeye atanasa kwa mke wa mwingine. yaani ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukimwi huu mbona hatari ila ndo hivyo cha msingi tumia condom
 
Back
Top Bottom