Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
MJADALA HUU HAUNA SAYANSI WALA HAUTATUI TATIZO.MOTISHA WA MLETA MADA NI KUWAPOTEZA KUTOKA kwenye masuala ya msingi,nastaajabishwa mmenasa.Hajauliza kwa nini PAPA SIYO MSANDAWE?
 
Makanisani pia. Asilimia 75 ya Paroko wote Tanzania ni Wachaga. Kumbe kanisani nako kuna ubaguzi sikujua. Sijui hata mbinguni itakuwa hivyo? Nahamishia wanangu Kilimanjaro wakasome huko.


Je, na sisi Wahaya mtasema nini? Maana baada ya wachaga kila mahali ni Wahaya.
yaani wahaya utawajua tu!!!
 
Sio kweli, inaweza kuonekana ni Ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita Wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba Mkoa wa KLM ndio unaoongoza kwa Elimu TZ na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, Hakuna Mkoa ambao unatilia mkazo Elimu kama KLM, na hakuna Mkoa wenye shule nyingi kama KLM, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda TZ au nje ya TZ utakuta watu wa KLM ndio wana kazi nzuri!

Hata ukienda kwenye Vyuo Vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma KLM, ukienda Nairobi Kenya UN, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna Ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi Mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa KLM, sasa UN wanajua nini kuhusu huo unaouita Uchaga au sio Uchaga? hivyo sio Ubaguzi bali ni kwamba Mkoa wa KLM umebahatika kutambua umuhimu wa ELIMU tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!

Kwa kuongezea kuna wakati fulani wazee rufiji walilalamika kuwa hawamtaki mkuu wa shule fulani kisa katoka bara wanataka apewe mzawa.Mkuu wa mkoa wakati huo aliwauliza haya mleteni Headmaster mnayemjua anasifa hapa kijiji tumpe kazi wakabaki wametumbua macho! Mambo mengine tusilalamike ili mradi tunajua kuandika na kuongea angalia idadi ya shule kilimanjaro then linganisha na kijijini kwenu utapa jibu.
 
Mimi nimefanya kazi sehemu tano tofauti cha ajabu sijawahi kukutana na m.kwere hata mmoja kwenye maofisi hayo! Hivi wakwere ajira zao ni urais tu?
 
Sio kweli, inaweza kuonekana ni Ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita Wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba Mkoa wa KLM ndio unaoongoza kwa Elimu TZ na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, Hakuna Mkoa ambao unatilia mkazo Elimu kama KLM, na hakuna Mkoa wenye shule nyingi kama KLM, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda TZ au nje ya TZ utakuta watu wa KLM ndio wana kazi nzuri!

Hata ukienda kwenye Vyuo Vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma KLM, ukienda Nairobi Kenya UN, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna Ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi Mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa KLM, sasa UN wanajua nini kuhusu huo unaouita Uchaga au sio Uchaga? hivyo sio Ubaguzi bali ni kwamba Mkoa wa KLM umebahatika kutambua umuhimu wa ELIMU tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!


Ni kweli, kihistoria wakoloni wa kijerumani walijiimarisha sana mikoa ya Kaskazini hasa KLM kutokana na kupata weak resistance kutoka kwa machifu wa kichaga,kama utakumbuka vizuri zaidi ya machifu watatu wa kabila la kichaga walinyongwa na Karl Peters na wenzake. Kutokana na kuingilika kwa urahisi eneo hilo basi wajerumani waliona hapo ni mahali salama zaidi kusihi ndani ya German East Africa Empire mnamo karne ya 19. Kukaa kwao huko kulipelekea mamissionary kujenga mashule na mahospitali ndito maana mpaka tunapata uhuru wakajikuta wao wanashule nyingi na wengi outomatically wamekwenda shule. Mikoa ambayo ilikuwa na himaya shujaa kama kusini kwa akina kinjekitile Ngwale, Tabora kwa Milambo na nyanyembe empire yake na Iringa kwa mkwawa hawakupaendeleza maana ilikuwa ni threat kwao.


Turudi kwenye hoja! Kama nimemuelewa mleta hoja vizuri anamaana kuwa kwa sasa hivi ambapo almost kila pande ya Tanzania kuna wasomi inakuwaje ukikuta kiongozi wa juu kwenye ofisi fulani ni mchaga basi huko chini ni Mangi watupu je ni kweli kwa kuwa kihistoria waliwahi kupata elimu basi ndiyo hadi kizazi cha sasa wao tu ndiyo wana-qualify? Kama mtoa mada anasema ukweli based on his/her research nini itakuwa ndiyo sababu?
 
Aise napenda sana wachagga yaani. ujue hadi nina resolution katika maisha lazima nipate mtoto na mchaga kabla mungu hajanichukua-- kwa sharti mtoto akitoka tu akakulie kwa bibi yake moshi.... i love these people so much!

Hapo nilijaribu nikakwama pia usiombe isee they are so selfish too
 
Hapo nilijaribu nikakwama pia usiombe isee they are so selfish too

Nakupata. Na hili linajulikana sana tayari. Ila kuna namna ya kugeuza weakness iwe advantageous. Selfishness ya Wachaga ina kautofauti fulani na selfishness ya makabila mengine Mkuu--kwa sabu ya Wachaga inaelekeza kinachopatikana kwenye investment.

Sijui kama umeisikia hii: Kwamba Anna Mkapa Ana asset value kubwa zaidi kuliko mume wake. Sasa ichukulie hivi. Iwe kwamba baada ya Anna kuzaa yule mtoto wa kwanza na Mramba, Ben Mkapa alipomnyanganya Mramba huyu binti wa kichaga mchezaji mzuri wa Netball awe baadae alimzalisha huyu Anna watoto wa kutosha. We huoni kama hii selfishness inakuwa advantageous kwa namna fulani? Kwa sababu inamhakikishia Ben a successful family wakati atapokuwa hayupo duniani. Watoto wa Ben, kama wapo wana urithi mkubwa kutoka kwa wote baba na mama. Mwanamke, hata akiwa selfish namna gani hatupi watoto wake. Kwa hivyo we hapo ulitakiwa tu kuwa na malengo ya mbali.

Ujue pia selfishness ni mojawapo ya vigezo vya ufanisi katika biashara. Biashara haitaki mtu anaegawagawa hovyo mali. Inawezekana mi nawewe tunatofautiana hasa kwenye huu mtizamo wa personality zilizokaa kibiashara. Wachaga wanafit sana kwenye hiyo character type. Na ni hiyo hasa ndo inayonikuna mwenzako. Komaa naye usiku weee mpaka kieleweke na nina uhakika watoto wako hawataishi kwa shida kabisa hapa duniani. Au we unasemaje....
 
Propaganda zinaendelea...target ameshajulikana! hivi kuna mawaziri wangapi wachagga? ikulu kuna wachagga wangapi? wale waliokujia Twiga kwenye ndege nao ni wachagga? watuhumiwa wa EPA wachagga ni wangapi? walioingia mikataba feki wachagga ni wangapi?...Dhambi hii ya ubaguzi utaendelea kuwagharimu kwa muda mrefu sana...amini amini nawaambia nchi hii kuendelea ni ndoto mpaka apatikane mtu mwenye kuchapa kazi na si porojo kama akina Kimei...
 
Makanisani pia. Asilimia 75 ya Paroko wote Tanzania ni Wachaga. Kumbe kanisani nako kuna ubaguzi sikujua. Sijui hata mbinguni itakuwa hivyo? Nahamishia wanangu Kilimanjaro wakasome huko.


Je, na sisi Wahaya mtasema nini? Maana baada ya wachaga kila mahali ni Wahaya.

Tatizo ni shule. Haihitaji kulalamika sana fanya utafiti kidogo klm kuna seminari ngapi? Then tembelea shule chache tu za klm ulinganishe na mikoa mingine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom