ommy15
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 670
- 1,012
Habari wana jf,kwanza nawatakia sikukuu njema ya Pasaka,Mimi bainafsi napenda kuwa mfanyabiashara au muwekezaji na sio mfanyakazi(kuajiriwa). kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia sana historia za makampuni na bidhaa mbali mbali duniani na hasa hasa hapo wetu Tanzania. Lakini nimeona biashara nyingi sana huku kwetu zinatoweka pale mwenyewe akishafariki.
Mfano naweza sema nimeona kwetu mbeya,kuna wazee walikuwa na hela na vitega uchumi vingi sana,lakini baada ya kufariki hizo biashara,mashamba na vitu vingine vyote huwa havidumu sana. Pia hii ipo hata kwenye biashara zetu hapa Tanzania kwa kweli kukuta biashara ya mswahili ina miaka 15 au 20 na zaidi ni mara chache kama sio hakuna.
So najiuliza tunakosea wapi sisi na tulekebishe wapi? Kwani napenda kama natafuta mali au na wekeza sasa hiyo juhudi yote hata wajukuu zangu ambao siwafahamu kwa sasa wajewaufaike na jasho langu. Angalia wakina Mc Donalds tangu 1940,Unilevel na bidhaa nyingine kama Lux,lifebuoy sabuni ambazo za zamani lakini utazani ndio zinaingia sokoni.
Mfano naweza sema nimeona kwetu mbeya,kuna wazee walikuwa na hela na vitega uchumi vingi sana,lakini baada ya kufariki hizo biashara,mashamba na vitu vingine vyote huwa havidumu sana. Pia hii ipo hata kwenye biashara zetu hapa Tanzania kwa kweli kukuta biashara ya mswahili ina miaka 15 au 20 na zaidi ni mara chache kama sio hakuna.
So najiuliza tunakosea wapi sisi na tulekebishe wapi? Kwani napenda kama natafuta mali au na wekeza sasa hiyo juhudi yote hata wajukuu zangu ambao siwafahamu kwa sasa wajewaufaike na jasho langu. Angalia wakina Mc Donalds tangu 1940,Unilevel na bidhaa nyingine kama Lux,lifebuoy sabuni ambazo za zamani lakini utazani ndio zinaingia sokoni.