Kwa nini uishi kwa mashaka??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
je wewe ni mmoja wapo.....
kama ndio unajua hakuna kitu kibaya kama kuishi maisha ya mashaka
yawezekana uko na mwenzio umwamini...yawezekana uko ofisini huna amani...jibu ni moja hakuna jambo muhimu kama kuwa na maamuzi ya haraka...ukiwa na mshaka inaleta mawazo ambayo yanaleta magonjwa ya moyo na mengineo...
zipo rafiki nyingi zinaishi kwa kusuasua lakini unashanga jinsi mtu anavyoendeelea kukomaa huku moyo ukimdunda kila siku...acha kulea ugonjwa mwisho wake utapata magonjwa yasiyotibika.....
kama una matatizo yoyote jitahidi kuyatatua usiweke kitu moyoni kikaja kukuadhibu.....kama unaona hili ngoma nzito kwangu amua mapema ama
uchape lapa/ ama ukomae nalo...kumbuka mwisho wake ni kufa na shinikizo la damu mtoto wa miaka 27-35.,,,mi natumaini hata hawa wazazi wetu wanaokufa na mashinikizo ya damu kila siku hawajapenda siri nzito wanazo mama zetu...saasa kama hili utalitambua anza kutafuta amani...ishi na mtu aneeshimu amani yako....kama ni kazi usifanye kazi kwa uwoga kama auko na amani CHAPA LAPA...Mungu akukuumba ufanye kazi ya namna hiyo
nawatakia maisha mema
 
je wewe ni mmoja wapo.....
kama ndio unajua hakuna kitu kibaya kama kuishi maisha ya mashaka
yawezekana uko na mwenzio umwamini...yawezekana uko ofisini huna amani...jibu ni moja hakuna jambo muhimu kama kuwa na maamuzi ya haraka...ukiwa na mshaka inaleta mawazo ambayo yanaleta magonjwa ya moyo na mengineo...
zipo rafiki nyingi zinaishi kwa kusuasua lakini unashanga jinsi mtu anavyoendeelea kukomaa huku moyo ukimdunda kila siku...acha kulea ugonjwa mwisho wake utapata magonjwa yasiyotibika.....
kama una matatizo yoyote jitahidi kuyatatua usiweke kitu moyoni kikaja kukuadhibu.....kama unaona hili ngoma nzito kwangu amua mapema ama
uchape lapa/ ama ukomae nalo...kumbuka mwisho wake ni kufa na shinikizo la damu mtoto wa miaka 27-35.,,,mi natumaini hata hawa wazazi wetu wanaokufa na mashinikizo ya damu kila siku hawajapenda siri nzito wanazo mama zetu...saasa kama hili utalitambua anza kutafuta amani...ishi na mtu aneeshimu amani yako....kama ni kazi usifanye kazi kwa uwoga kama auko na amani CHAPA LAPA...Mungu akukuumba ufanye kazi ya namna hiyo
nawatakia maisha mema

Sijui ni kichwa changu kizito leo...
Maana sikuelewielewi vile...

Lakini poa mtu wangu...ma`stress yako kibao maishani, tunakomaa kijinsia, maana sasa ukichapa lapa utakuwa mgeni wa nyumba gani?
 
Mie nimejaribu kumwelewa kidogo anamaanisha
labda unamatatizo ya kifamilia ni vyema utatue mapema ,na kama unaishi na mashaka humwamini mwenzi wako ukidhani kuna vitu anavyofanya kinyume na mahusiano yenu usiweke moyoni jinsi unavyoendelea kukaa nacho kinakuumiza na kuzua magongwa makubwa yanayoletea kifo
ni kweli kabisa mama mia kama unahisi una jambo linakusumbua ni bora uongee yote ulonayo moyoni ili kuweka mind yako free na kuwa huru
 
Ma'100
Nimekuelewa, ingawa inabidi usome between the lines. Hata hivyo lugha iliyotumika ina-sound kama ya wale wahubiri wa injili (Text has got sound) akina Mwingira, Moses Korola, Lusekelo n.k. Lakini si unajua, madume ku-disclose internal affairs kwa watu baki ni noma. anyway as you discharge your emotions you get relief.
 
Sijui ni kichwa changu kizito leo...
Maana sikuelewielewi vile...

Lakini poa mtu wangu...ma`stress yako kibao maishani, tunakomaa kijinsia, maana sasa ukichapa lapa utakuwa mgeni wa nyumba gani?

PJ, you are not alone... Natumai mdau ata-edit hiyo post ili sie wengine tumuelewe!!! Mimi nilidhani anaongea mwenyewe halafu keyboard ikajitype!!:p
 
Back
Top Bottom