Dkt. Mchomvu: Hata sisi tumeshangaa Membe alikuja jana kwa check up na alikuwa mzima kabisa ila baadae usiku sana akaletwa akiwa mahututi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,131
Hiyo ndio taarifa ya Dkt. Mchomvu wa Kairuki hospital

Anasema juzi asubuhi Membe alifika hospital hapo kwa ajili ya check up na alikuwa kawaida kabisa anatembea mwenyewe, anaongea na kucheka kufanya utani kama kawaida

Baada ya check up alirudi nyumbani kwani hakuwa na tatizo lolote lakini alfajili ya leo(jana) aliletwa akiwa mahututi na Moja kwa Moja akapelekwa ICU na likaitwa Jopo la Madaktari kumhudumia, amesema Dr Mchomvu

Madaktari tuna kazi ya kuokoa maisha lakini Swala la kifo ni la Mungu mwenyewe hakuna awezaye kuzuia, amesema.
---

DAKTARI WA MEMBE AFUNGUKA KILICHOMUUA MEMBE.

Daktari wa Familia na Daktari wa Muda Mrefu wa Bernard Membe amesema Membe alikuwa mzima na alikuwa na afya imara wakati wote wala hakuwahi kuwa na tatizo lolote sugu kama magonjwa ya kisukari wala Moyo.

Amesema Siku ya Jana alipata homa ndogo ya kifua, akapata shida ya kukohoa na kubanwa kifua na usiku wa kuamkia leo alishindwa kupumua ghafla akakimbizwa Hospitali

Ameongeza kuwa maradhi hayo yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa, vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito na hicho ndicho kimesababisha kifo cha Membe

Source: Wasafi
 
Kombora lilikuwa lina count down!
Imeniumiza sana habari ya kifo cha ndugu Bm. Allah muweke pema peponi.
doge-rocket-min.gif
 
He died a Rich man. Kulikuwaga na jumba flani jeupe kawe. Kuna bonge la demu waaaitiii zuriiii kweli kweli. Beenaad alikuwa anaingiaga humo akiwa na huzuni. Akitoka yani ana furaha meno yote nje.

Ukiwa na hela unatafuna vitu swafi unaacha legasi. Yani yule demu alivyomzuri.
 
Daktari wake ashasema Membe died of Pulmonary Embolism as a complication of Viral Pneumonia. Swali let’s luwe hii Viral Pneumonia inayosumbua mtaani kwa sasa ni Virus gani? Kwanini hatuwekwi wazi na wizara husika ya afya?
We hujui covid-19 ina mawimbi meengi!?wimbi la Kwanza pili tatu n.k

Hatujui Mungu ndio anajua uhalisia!!
 
Back
Top Bottom