Kwa nini tyres za nyuma za tractor ni kubwa kuliko za mbele?

Tractor nibkwa ajuli ya sehemu za mashamba... So kule kunatitia. Ili kuepuka hiyo ndo maana zina large area=low pressure.
Pia inatumia nguvu nying katk kaz zake thats y inavutia tyre za nyuma sio za mbele
Andika vitu vieleweke,huku sio FB
 
Katika watu wote wewe upo very collect even if ujatumia physics kiundani ao wengine nipumbatu


Mnajua nyinyi wanafunzi mmekalili kutembea tu Yale ma Tyler sio special sana kwenye kutembea Bali kunakitu kinaitwa load nikimaanisha mzigo nazani mnafaham sasa ili kitu kiweze kubeba mzigo mkubwa lazima kitumie force kubwa kwaiyo lengo latyl kubwani kashata napia kunaswala lakudidi mia kwaiyo ule ukubwa unasaidia lakini kiphsics nikwamba lengo latyle kubwa ni kwamba kuzalisha force kubwa ili iweze kubeba mzigo napia iyo force inatokana kuwepo kwa kashata zenye small areas ili Kuzalisha pressure kubwa ili isiweze kunasa lakini kiujumla lengo la tyle kubwani kuzuia lisiweza kunasa kwasababu ya uwepo wakashata napia kubeba mzigo kwanamna mbili kwajisi linavyo lima namajembe yake

Wewe mwalimu wa nini ? Maana hao walio changia unawaita wanafunzi

Very collect " ni nini ?

Tyler ni nini ?

If these are the Priests ...God bless the congregation
 
Ipo hivi mkuu (japo mimi si mwanasayansi)

Refer
Pressure= Force/Area
Hii ina maana kwamba kadri Eneo linavokua kubwa basi Pressure inakua low (Au ili pressure iwe ndogo basi eneo husika inabidi liwe kubwa). Sasa kutoka kwenye hiyo kanuni ya pressure tunapata hii kitu
Force= Pressure x Area
Hii ina maana kwamba kadri pressure na eneo zinavoongezeka basi nguvu kubwa huzalishwa.
Ndio maana matairi ya nyuma ya tractor ni makubwa ili yaweze kuzalisha nguvu kubwa na hatimaye kuisukuma tractor.

mhh physics ya wapi hii mkuu?? msukumo wa gari sio pressure bali ni torque.
 
Kwa physics ninayoelewa,Matairi ya nyuma Ni makubwa kwa sababu zifuatazo.
Kwanza kwa kawaida hayo matairi yana pressure kubwa sana.Na matairi yakiwa madogo(halafu yana pressure Kubwa) udongo au ardhi haitaweza kustahimili hivyo eneo(au contact area) inabidi liwe kubwa.hivyo matairi makubwa(na mapana ofcourse)yatatengenezwa .
Hii Ni kutoka kwenye ile formula pressure=force/area.

Pili,matairi yakiwa makubwa torque inakuwa kubwa(the larger the radius the larger the torque).Hii inasaidia kwenye matope tractor haliwezi zama.torque ya magari madogo Ni ndogo kwa sababu ya matairi yake madogo ndo Maana kwenye matope inakuwa shida kupita.

Tatu, kuna relationship nyingine ya force,area(eneo) na weight(uzito).yani contact area(eneo chini ya hayo matairi au upana wa tairi) ikiwa kubwa,Basi na force inakuwa kubwa.Traction force kubwa.Ndo cha muhimu hapo wadau.Kwa Maana kazi ya tractor Ni kuvuta vitu vizitu n.k. tena likiwa na speed ndogo.

Pia,center of gravity ya tractor inaelekea nyuma ya tractor kwa hiyo kustahimili uzito mkubwa,matairi makubwa yanahitajika.Stability yani.

Halafu,matairi madogo ya mbele lengo lake Ni dereva asitumie nguvu nyingi.pia aone vizuri.watu wengine wananunua yenye matairi madogo mbele kupunguza gharama.Ila ya matairi makubwa mbele yapo pia.

Anyway,kuna kipindi flan cha kulimalima nlikuwaga naangaliaga ndo Maana nayajua matractor.
Hope I helped.
 
Sababu ya msingi kubwa ni hii..
Kutokana na majukumu ya machine hii pamoja na kupita kwenye vizuizi barabara (matope, Mchonga, uterezi, mawe, nyasi n.k..) kwahiyo ili kuweza kupambana na vizuizi hivi, ni lazima uwe na Matairi yenye kashata kubwa kubwa, pia tairi lazima iwe na upana Mkubwa wa tairi.. So huwezi kupata kashata kubwa kwenye tairi ndogo.. Ili upate kashata kubwa, ni lazima tairi liwe kubwa na upana wa kanyagio la tairi uwe Mkubwa....
Tairi za mbele zimekua ndogo na nyembamba ili kurahisisha kuongoza mashine na kuifanya steering kuwa laini ktk kuiendesha mashine .


Nimependa haijahitaji hata calculations za kifizikia...lkn jibu limejitosheleza

Mara pressure, mara force mara Area, yanini kutuchanganya ambao hatuja fika secondary..!? wala kusoma English medium.....
 
Back
Top Bottom