Kwa nini tyres za nyuma za tractor ni kubwa kuliko za mbele?

sikubaliani na wewe mkuu, ningekubali kama ungekuja na uhusiano wa pressure, force na area na kumbuka hii ni concept ya mechanics siyo hisia za kashata kama unavodai twambie kwa nn matairi makubwa yako nyuma
Nguvu ya Mashine hii haitokani na ukubwa wa Matairi ya nyuma, bali ni gearbox pamoja kukosekana kwa differential unit kwenye usafirishaji mwendo kutoka kwenye gearbox kwenda kwenye magurudumu. Hapa ndipo asili ya nguvu na sio matairi
 
ndo useme sasa kwa nn hayo makubwa yawe nyuma, na yasiamie mbele na kashata zake??
Hahahahahaaa.. Hayo ya nyuma ndio yanayoendesha mashine kutoka sehemu A, kwenda sehemu B.. Hayo ya mbele yanaongoza tu, hayaendeshi.... So yanayoendesha ndio yanayoshikwa na vizuizi..... Teteteteeeeeh
 
Ipo hivi mkuu (japo mimi si mwanasayansi)

Refer
Pressure= Force/Area
Hii ina maana kwamba kadri Eneo linavokua kubwa basi Pressure inakua low (Au ili pressure iwe ndogo basi eneo husika inabidi liwe kubwa). Sasa kutoka kwenye hiyo kanuni ya pressure tunapata hii kitu
Force= Pressure x Area
Hii ina maana kwamba kadri pressure na eneo zinavoongezeka basi nguvu kubwa huzalishwa.
Ndio maana matairi ya nyuma ya tractor ni makubwa ili yaweze kuzalisha nguvu kubwa na hatimaye kuisukuma tractor.
hizo sababu za pressure /Area unajaribu kudefine tu lkn havina uhusiano na nguvu ya injini..ni kwa sabb mazingingira yakazi zake ni kwenye udongo/matope hivo ili lisikwame ama kutitia inabidi liwe na matairi makubwa sana...
 
We mleta mada ungejiuliza kwanini magari makubwa yanakuwa na Matairi mawili mawili kwa nyuma?
 
matairi ya nyuma ni makubwa ili kuwezesha kugusa eneo kubwa la ardhi hivyo huepelekea tractor lisizame kwenye matope pia rate ya kulika kwa tairi ni ndogo pia,


to provide a larger surface area of contact with the ground and this will prevent the tractor from sinking into the soil and getting stuck. the rate of wear also will be slow
 
Matairi makubwa manene hayazami kiurahisi kwenye udongo. Kwahiyo sio rahisi trekta kukwama. Yaani hayana presha kubwa kutokana na kuwa na eneo kubwa. (Pressure = Force/Area)
Ya mbele hayana kazi kubwa zaidi ya kuuongoza muelekeo wa chombo. Nguvu kubwa (Force) ya trekta inahitajika nyuma kwenye mzigo mkubwa (Load)
Ni kweli ili traction iwepo ya kutosha lazima grip ya tractor iwe kubwa. Grip inatokana na wt ya tractor. Wt ni force. Kwa 2wd tractors, grip inazalishwa na tairi za nyuma. Jinsi surfaces in contact inavyokuwa kukwa na grip inakuwa kubwa. Tairi za mbele ni kwa ajili ya steering tu. Wakati huo soil compaction is another parameter inayoweza kuaffect soil quality. Ili kupunguza athari za wt isilete compaction kubwa, tairi zinafanywa kuwa pana. Kumbuka pia 4wd tractors tairi za nyuma na mbele ni kubwa kwa ajili ya kueffect traction nyuma na mbele. Wakati mwingine tairi zinajazwa maji ili kuongea wt. Msichanganye kazi ya front end wts ambayo kazi yake kubwa ni kuingeza steererability .
 
Ni kweli ili traction iwepo ya kutosha lazima grip ya tractor iwe kubwa. Grip inatokana na wt ya tractor. Wt ni force. Kwa 2wd tractors, grip inazalishwa na tairi za nyuma. Jinsi surfaces in contact inavyokuwa kukwa na grip inakuwa kubwa. Tairi za mbele ni kwa ajili ya steering tu. Wakati huo soil compaction is another parameter inayoweza kuaffect soil quality. Ili kupunguza athari za wt isilete compaction kubwa, tairi zinafanywa kuwa pana. Kumbuka pia 4wd tractors tairi za nyuma na mbele ni kubwa kwa ajili ya kueffect traction nyuma na mbele. Wakati mwingine tairi zinajazwa maji ili kuongea wt. Msichanganye kazi ya front end wts ambayo kazi yake kubwa ni kuingeza steererability .

Mpaka hapo asiyeelewa hatumlazimishi.
 
hahahahaha hii ni history mkuu, kwa mantiki hyo kuna uwezekano wa tairi kubwa kukaa mbele.

achana na habari za kashata, sema kwa nn tairi za nyuma ni kubwa maana kuna tairi zingine kashata hamna lakin bado linafanya kazi
muwekee kahawa kidogo
 
me najiuliza sasa kama hizo tyres za nyuma ndio kubwa kwa hiyo hata uzito utakuwa mkubwa kwa upande wa nyuma sasa kwanin trekta alibinuki kutokana na uzito mwing kuwa nyuma
 
First of all, we should know that tractors are mainly used as traction providing machine. Getting more and more traction is first goal in case of tractors.

And now, it's not true that all tractors are provided with big rear tyres. Only 2WD tractors are provided with big rear wheels (in 4WD all wheels are of same size ) because of following reasons.

As in 2WD tractor only rear wheels are available for traction purpose and we know F = AC + W tan($)
where W = weight on wheel
A = contact area of wheel
F = tractive force
So to increase tractive force i.e. F we should increase weight i.e. W on wheels and to sustain that much load, tyre diameter should be big enough.
Tractor center of gravity (C.G.) lies towards rear axle (approx. 1/3 of wheelbase from rear axle) and so to sustain that much load tyre size should be bigger.
Also from above equation as contact area (A) increased, tractive force (F) also increased, that is also a reason by which rear wheels are bigger in size.

Front tyres in 2WD are smaller because they are towed wheels and used only for steering purpose and small wheels require less effort in steering.
 
Pia uwe rahisi kulima au kuyabeba Yale majembe\harrow au kufanya harrowing aidha trela itavutwa kwa urahisi
 
Sababu ya msingi kubwa ni hii..
Kutokana na majukumu ya machine hii pamoja na kupita kwenye vizuizi barabara (matope, Mchonga, uterezi, mawe, nyasi n.k..) kwahiyo ili kuweza kupambana na vizuizi hivi, ni lazima uwe na Matairi yenye kashata kubwa kubwa, pia tairi lazima iwe na upana Mkubwa wa tairi.. So huwezi kupata kashata kubwa kwenye tairi ndogo.. Ili upate kashata kubwa, ni lazima tairi liwe kubwa na upana wa kanyagio la tairi uwe Mkubwa....
Tairi za mbele zimekua ndogo na nyembamba ili kurahisisha kuongoza mashine na kuifanya steering kuwa laini ktk kuiendesha mashine .
Katika watu wote wewe upo very collect even if ujatumia physics kiundani ao wengine nipumbatu
 
Mnajua nyinyi wanafunzi mmekalili kutembea tu Yale ma Tyler sio special sana kwenye kutembea Bali kunakitu kinaitwa load nikimaanisha mzigo nazani mnafaham sasa ili kitu kiweze kubeba mzigo mkubwa lazima kitumie force kubwa kwaiyo lengo latyl kubwani kashata napia kunaswala lakudidi mia kwaiyo ule ukubwa unasaidia lakini kiphsics nikwamba lengo latyle kubwa ni kwamba kuzalisha force kubwa ili iweze kubeba mzigo napia iyo force inatokana kuwepo kwa kashata zenye small areas ili Kuzalisha pressure kubwa ili isiweze kunasa lakini kiujumla lengo la tyle kubwani kuzuia lisiweza kunasa kwasababu ya uwepo wakashata napia kubeba mzigo kwanamna mbili kwajisi linavyo lima namajembe yake
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom