Kwa nini tyres za nyuma za tractor ni kubwa kuliko za mbele?

Ipo hivi mkuu (japo mimi si mwanasayansi)

Refer
Pressure= Force/Area
Hii ina maana kwamba kadri Eneo linavokua kubwa basi Pressure inakua low (Au ili pressure iwe ndogo basi eneo husika inabidi liwe kubwa). Sasa kutoka kwenye hiyo kanuni ya pressure tunapata hii kitu
Force= Pressure x Area
Hii ina maana kwamba kadri pressure na eneo zinavoongezeka basi nguvu kubwa huzalishwa.
Ndio maana matairi ya nyuma ya tractor ni makubwa ili yaweze kuzalisha nguvu kubwa na hatimaye kuisukuma tractor.
 
Ipo hivi mkuu (japo mimi si mwanasayansi)

Refer
Pressure= Force/Area
Hii ina maana kwamba kadri Eneo linavokua kubwa basi Pressure inakua low (Au ili pressure iwe ndogo basi eneo husika inabidi liwe kubwa). Sasa kutoka kwenye hiyo kanuni ya pressure tunapata hii kitu
Force= Pressure x Area
Hii ina maana kwamba kadri pressure na eneo zinavoongezeka basi nguvu kubwa huzalishwa.
Ndio maana matairi ya nyuma ya tractor ni makubwa ili yaweze kuzalisha nguvu kubwa na hatimaye kuisukuma tractor.
Sasa force itaongezekaje wakati unasema the larger the area ,the smaller the pressure?
 
Habarini wanajamiiforum! Wanasayansi naombeni msaada jamani
Tractor nibkwa ajuli ya sehemu za mashamba... So kule kunatitia. Ili kuepuka hiyo ndo maana zina large area=low pressure.
Pia inatumia nguvu nying katk kaz zake thats y inavutia tyre za nyuma sio za mbele
 
Sababu ya msingi kubwa ni hii..
Kutokana na majukumu ya machine hii pamoja na kupita kwenye vizuizi barabara (matope, Mchonga, uterezi, mawe, nyasi n.k..) kwahiyo ili kuweza kupambana na vizuizi hivi, ni lazima uwe na Matairi yenye kashata kubwa kubwa, pia tairi lazima iwe na upana Mkubwa wa tairi.. So huwezi kupata kashata kubwa kwenye tairi ndogo.. Ili upate kashata kubwa, ni lazima tairi liwe kubwa na upana wa kanyagio la tairi uwe Mkubwa....
Tairi za mbele zimekua ndogo na nyembamba ili kurahisisha kuongoza mashine na kuifanya steering kuwa laini ktk kuiendesha mashine .
 
matari ya nyuma yanakuwa makubwa ili kusaidia trekta lisizame/kutitia linapokuwa shambani(kupunguza pressure)
maana larger the area lower the pressure
 
Sababu ya msingi kubwa ni hii..
Kutokana na majukumu ya machine hii pamoja na kupita kwenye vizuizi barabara (matope, Mchonga, uterezi, mawe, nyasi n.k..) kwahiyo ili kuweza kupambana na vizuizi hivi, ni lazima uwe na Matairi yenye kashata kubwa kubwa, pia tairi lazima iwe na upana Mkubwa wa tairi.. So huwezi kupata kashata kubwa kwenye tairi ndogo.. Ili upate kashata kubwa, ni lazima tairi liwe kubwa na upana wa kanyagio la tairi uwe Mkubwa....
Tairi za mbele zimekua ndogo na nyembamba ili kurahisisha kuongoza mashine na kuifanya steering kuwa laini ktk kuiendesha mashine .
hahahahaha hii ni history mkuu, kwa mantiki hyo kuna uwezekano wa tairi kubwa kukaa mbele.

achana na habari za kashata, sema kwa nn tairi za nyuma ni kubwa maana kuna tairi zingine kashata hamna lakin bado linafanya kazi
 
hahahahaha hii ni history mkuu, kwa mantiki hyo kuna uwezekano wa tairi kubwa kukaa mbele.

achana na habari za kashata, sema kwa nn tairi za nyuma ni kubwa maana kuna tairi zingine kashata hamna lakin bado linafanya kazi
Unachopaswa kukijua ni kwamba, Tractor sio gari... Sasa ukianza kufananisha na Matairi makubwa ya fuso na Matairi ya ni tofauti... Hilo nililokuambia ndilo jibu la kiufundi na ndio mantic.. Usitafute jibu lingine
 
Unachopaswa kukijua ni kwamba, Tractor sio gari... Sasa ukianza kufananisha na Matairi makubwa ya fuso na Matairi ya ni tofauti... Hilo nililokuambia ndilo jibu la kiufundi na ndio mantic.. Usitafute jibu lingine
sikubaliani na wewe mkuu, ningekubali kama ungekuja na uhusiano wa pressure, force na area na kumbuka hii ni concept ya mechanics siyo hisia za kashata kama unavodai twambie kwa nn matairi makubwa yako nyuma
 
sikubaliani na wewe mkuu, ningekubali kama ungekuja na uhusiano wa pressure, force na area na kumbuka hii ni concept ya mechanics siyo hisia za kashata kama unavodai twambie kwa nn matairi makubwa yako nyuma
e454fe029521dc85bfe9d58840cc904d.jpg
71978e7106c8af8bbb0456926db1253c.jpg
 
Matairi makubwa manene hayazami kiurahisi kwenye udongo. Kwahiyo sio rahisi trekta kukwama. Yaani hayana presha kubwa kutokana na kuwa na eneo kubwa. (Pressure = Force/Area)
Ya mbele hayana kazi kubwa zaidi ya kuuongoza muelekeo wa chombo. Nguvu kubwa (Force) ya trekta inahitajika nyuma kwenye mzigo mkubwa (Load)
 
Back
Top Bottom