WANGAMBA
Member
- Jul 21, 2022
- 64
- 94
Jamani kwa utaratibu wa TRA unafanya kazi zake mnawezaje kukua kibiashara mbona wafanya biashara wengi tukijaribu kufanya biashara tra ndo ya kwanza kuwarudisha nyuma.
Makadiria makubwa fine za mara kwa mara mtu hauko hata VAT unaambiwa ulete hesabu za 2020 na hii ni 2024 list wiki mbili tu azisomeki ndiyo uzipeleke wakague.
Naombeni ushauri mnatumia njia gani ili usisumbuliwe ma TRA na offis ikue please.
Makadiria makubwa fine za mara kwa mara mtu hauko hata VAT unaambiwa ulete hesabu za 2020 na hii ni 2024 list wiki mbili tu azisomeki ndiyo uzipeleke wakague.
Naombeni ushauri mnatumia njia gani ili usisumbuliwe ma TRA na offis ikue please.