ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 400
- 1,399
Wanasayansi wanasema huko anga za juu kuna galaxy trillion mbili na kila galaxy ina nyota 200 billion
Cha ajabu wanasema nyota moja ni kubwa Kuliko dunia yetu.
Je ukubwa wa anga ukoje? Ukubwa wa anga ukoje Hadi ukabeba vitu vyote hivyo
Kama anga imebeba vitu vyote hivyo basi salute kwa Mungu.