user037
Senior Member
- Dec 25, 2015
- 113
- 120
Hello wakuu, hope mko poa.
Nimebahatika kununua gari ndogo naitumia vizuri tu bila shida.
Leo asubuhi nipo kwenye foleni ya jiji, nataka kusogea tyre za nyuma zikagoma kuzunguka (parking break sikuwa nimeweka so tusiende huko) ila baada ya muda mfupi nikajaribu tena kuondoka ikakubali bila shida.
gari nimeiacha huko huko kazini nimeogopa isijeleta madhara mengine ( si mnajua tena uoga wa kitu kipya + uzoefu sifuri)
naomba kujua inaweza kuwa shida ni nini?
Sijawahi fanya service ya miguu anzia gari imefika (Used from Japan)
Je, service za miguu zinaweza kuwa bei gani? (Miguu yote minne)
Aina ya gari: Toyota Allex
Thanks
Nimebahatika kununua gari ndogo naitumia vizuri tu bila shida.
Leo asubuhi nipo kwenye foleni ya jiji, nataka kusogea tyre za nyuma zikagoma kuzunguka (parking break sikuwa nimeweka so tusiende huko) ila baada ya muda mfupi nikajaribu tena kuondoka ikakubali bila shida.
gari nimeiacha huko huko kazini nimeogopa isijeleta madhara mengine ( si mnajua tena uoga wa kitu kipya + uzoefu sifuri)
naomba kujua inaweza kuwa shida ni nini?
Sijawahi fanya service ya miguu anzia gari imefika (Used from Japan)
Je, service za miguu zinaweza kuwa bei gani? (Miguu yote minne)
Aina ya gari: Toyota Allex
Thanks