FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
sister kama unatoa no yako ya simu kuwa mwangalifu bana, uzoefu unaonyesha hawa wanojifanya wanaume wa beijing ndio wala nyama wazuri !!!!!
don' worry Akili Kichwani nimekuwa vya kutosha ..hata kujua jema na baya
namba yangu iko wazi kwa kila Raia wa nchi ya Tanzania anayeteswa na mkewe ..nikiwa kama Firstlady wenu
wewe tu ndo bado hujaipata ni kwa vile bado hujaanza kupigwa na wife