Kwa nini serikali imeficha ujio wa Bill Gate?

yawezekana ni kweli unachosema, ila sidhani kama habari ya BILL ni yakufunika maana huyo ni pesa na anamwaga pesa ya kutosha,
mwaka jana tu katoa msaada wa pesa zaidi ya utajiri wa mmiliki wa Chelsea na wananufaika TANZANIA ni moja wapo

leo anakuja wanamtembeza kisiri siri bila shaka hata huko alikokwenda hawakujua ni nani

Amemwaga pesa kwa waandishi wa habari? Unafikiri angewamwagia pesa wasingemwandika? Utauliza kama Clinton aliwamwagia pesa, but you know how how the system work an hawa waandhishi wetu.
 
yawezekana ni kweli unachosema, ila sidhani kama habari ya BILL ni yakufunika maana huyo ni pesa na anamwaga pesa ya kutosha,
mwaka jana tu katoa msaada wa pesa zaidi ya utajiri wa mmiliki wa Chelsea na wananufaika TANZANIA ni moja wapo

leo anakuja wanamtembeza kisiri siri bila shaka hata huko alikokwenda hawakujua ni nani

hii imenichekesha sana coz kuna mlinzi mmoja tulimuuliza baada ya Gate kupita njia hiyo, Tukamuuliza unamfahamu huyo jamaa akasema hamjui akasema yeye kaambiwa gari lolote lisilo la kampuni lisipite hapa..tulivyo mwambia kuwa ni bill gates kapita duh jamaa akachoka.
 
Kwa wanaofuatilia habari za jamaa huyu,jamaa hapendi vyombo vya habari yaani hapendi publicity kwa ujumla, low profile in a classic living life.Bongo kwa hakika anaipenda kinoma sana,akichoka akili na purukushani za biashara na miradi ya kusaida binadamu uwa anakuja kimya kimya BONGO anapiga zake kambi Serengeti na Zanzibar anapunguza mawazo anasepa na convoy yake kuludi zake kwao,kwenda kuanza upya ujenzi wa Empire yake ya Computer Technology.

Kwao nature haipo,nature tunayo sisi ila HATUJUI wala HATUTAMBUIA Mungu alivyotupendelea,na utajiri wote jamaa huyu akifika Serengeti, deep inside Moyo wake ushuhudia uwezo wa Mungu.Ndio maana kwake Serengeti na maeneo yote yenye uasilia ni full heshima kwake.

Manake BILL GATES,jua sio mtu wa kawaida,ana nguvu kubwa sana kuliko hata MARAIS wa DUNIA,kwa kuwa yeye ni Mmilki wa Kampuni ambayo ni Kubwa sana DUNIANI na ina mchango mkubwa katika kuibadili Dunia [Ndie curent MAN OF EVOLUTION].Ndio maana ukiangalia Picha kiti alichokalia ni Presidiential Seat.

Hivyo ujio wake siku zote uwa ni Low Profile,tena safari hii kajitahidi sana kidogo kusikika kwa sababu ya hizo project zake za kusaidia.Huyu jamaa nafagilia sana ujio wake siku zote kule kwao wakibahatika kufahamu, kuwa yuko huku dunia nzima itaamishia habari zote kureport toka huku.

Namzimia jamaa huyu kuwa yeye si mtu wa kusupport siasa,yeye ni mtu wa kusaidia ubinadamu [UTU],na utajili wote bado nafsi yake inaingiwa na woga kuwa kuna watu HAWANA KITU wanaitaji MSAADA.Na kwa kuwa mimi ninacho ngoja niwasaidie KIAFYA.Na mwisho wa yote ni furaha ndani ya nafsi yake kuwa siku zake za mwisho hapa duniani atakuwa ametimiza utashi wake kuwa amefanya jambo jema kwa BINADAMU mwenzie aijarishi mweupe au mweusi, hivyo kwa hili Serekali ya Rais Kikwete naona haina mkono wowote kuifanya isijulikane bali ndio tabia ya jamaa huyu.
 
Amemwaga pesa kwa waandishi wa habari? Unafikiri angewamwagia pesa wasingemwandika? Utauliza kama Clinton aliwamwagia pesa, but you know how how the system work an hawa waandhishi wetu.

hiyo ni kweli mkuu.
wakati mwingine nashindwa kuelewa ROLE ya MENGI kupitia kampuni yake ya ippmedia
naye uwa anafunika habari muhimu baadaye anakuja kusema yeye ni mwenzetu anapenda tanzania
nini nadhani wangetulia aondoke kisha watupashe yaliyojili hasa ikulu
 
Kwa wanaofuatilia habari za jamaa huyu,jamaa hapendi vyombo vya habari yaani hapendi publicity kwa ujumla, low profile in a classic living life.Bongo kwa hakika anaipenda kinoma sana,akichoka akili na purukushani za biashara na miradi ya kusaida binadamu uwa anakuja kimya kimya BONGO anapiga zake kambi Serengeti na Zanzibar anapunguza mawazo anasepa na convoy yake kuludi zake kwao,kwenda kuanza upya ujenzi wa Empire yake ya Computer Technology.

Kwao nature haipo,nature tunayo sisi ila HATUJUI wala HATUTAMBUIA Mungu alivyotupendelea,na utajiri wote jamaa huyu akifika Serengeti, deep inside Moyo wake ushuhudia uwezo wa Mungu.Ndio maana kwake Serengeti na maeneo yote yenye uasilia ni full heshima kwake.

Manake BILL GATES,jua sio mtu wa kawaida,ana nguvu kubwa sana kuliko hata MARAIS wa DUNIA,kwa kuwa yeye ni Mmilki wa Kampuni ambayo ni Kubwa sana DUNIANI na ina mchango mkubwa katika kuibadili Dunia [Ndie curent MAN OF EVOLUTION].Ndio maana ukiangalia Picha kiti alichokalia ni Presidiential Seat.

Hivyo ujio wake siku zote uwa ni Low Profile,tena safari hii kajitahidi sana kidogo kusikika kwa sababu ya hizo project zake za kusaidia.Huyu jamaa nafagilia sana ujio wake siku zote kule kwao wakibahatika kufahamu, kuwa yuko huku dunia nzima itaamishia habari zote kureport toka huku.

Namzimia jamaa huyu kuwa yeye si mtu wa kusupport siasa,yeye ni mtu wa kusaidia ubinadamu [UTU],na utajili wote bado nafsi yake inaingiwa na woga kuwa kuna watu HAWANA KITU wanaitaji MSAADA.Na kwa kuwa mimi ninacho ngoja niwasaidie KIAFYA.Na mwisho wa yote ni furaha ndani ya nafsi yake kuwa siku zake za mwisho hapa duniani atakuwa ametimiza utashi wake kuwa amefanya jambo jema kwa BINADAMU mwenzie aijarishi mweupe au mweusi, hivyo kwa hili Serekali ya Rais Kikwete naona haina mkono wowote kuifanya isijulikane bali ndio tabia ya jamaa huyu.

nadhani hiyo yote inaeleweka .
nadhani mtoa maada ana wasiwasi na hizi safari wanazoficha.
nadhani serikali inafuraha kuficha haya mambo lakini wakimwambia BILL kwamba safari
yake hata mmoja ya serengeti ijulikane kwenye media na watu duniani wajue kwa manufaa ya utalii
hawezi kukataa BILL ni mtu wa watu bana

wanapenda kumficha na jamaa hawezi sema ajitokeze kwa lipi?
kuna umuhimu wa TAKE ADVANTAGE ya vitu muhimu na hapo ndipo kenya uwa wanatuiga bao
hata issue ya babu media za kimataifa zimeijua kupitia kenya na sasa wanakula vichwa za kitalii
wabunge wameanza kulia KENYA inafaidika na samunge mara wanataka kuichukua samunge
 
Bill%20and%20President.jpg

President Jakaya Kikwete and Vice President Dr Mohammed Gharib Bilal with visiting Bill and Melinda Gates Foundation co-chairpersons Bill Gates and his wife, Melinda, after talks at the State House in Dar es Salaam yesterday.
 
IPPMEDIA

Taasisi binafsi ya Bill na Melinda Gates itaendelea kuisaidia Tanzania katika masuala mbalimbali ya utafiti katika sekta za afya na kilimo.

"Tuko tayari kuendelea kuisaidia Tanzania kama mtatupa vipaumbele vyenu," Mwenyekiti mwenza wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates, Bill Gates alimwambia Rais Kikwete jana alipofika Ikulu kumsalimia Rais.
Rais Kikwete alimshukuru Gates na mkewe, Melinda, kwa msaada wao mkubwa ambao wamekuwa wakiipatia Tanzania.
Gates na Melinda wapo nchini kwa ziara binafsi ya kifamilia ambapo wametembelea mbuga za Serengeti na pia shughuli za kikazi ambapo wanatembelea na kukagua miradi yao mbalimbali iliyopo nchini.
Tayari wametembelea Kituo cha Utafiti na Mafunzo katika Hospitali ya Bagamoyo, ambacho ni sehemu ya Kituo cha Utafiti cha Ifakara kilichoko Morogoro na Kituo cha Serikali cha Utafiti wa Kilimo cha Mikocheni (MARI) ambapo Taasisi ya Bill na Melinda inatoa msaada.
Katika utafiti wake, kituo cha Bagamoyo kinatafuta kinga ya malaria wakati kituo cha Mikocheni kinafanya utafiti kutafuta chanzo cha ugonjwa katika zao la muhogo.

Wakati huo huo, Rais Kikwete aliondoka nchini jana kwenda Malabo, Equatorial Guinea kuhudhuria kikao cha kila mwaka cha Wakuu wa Nchi za Afrika, chini ya uenyekiti wa Rais Teodoro Obiango Nguema Mbasogo. Mada kuu ya kikao cha mwaka huu ni uwezeshaji wa vijana kwa ajili ya maendeleo.
Rais Kikwete anatarajiwa kurejea nchini Jumamosi.


maoni:
sidhani kama hii ilikuwa ni ziara ya kisiri bali ya binafsi.
kama ingekuwa ya kisiri asingeonana na kikwete na makamu wa raisi wote hao wa nini?

BILL gate sio kiongozi wa serikali na hana shunguli za kikazi hapa TANZANIA ambazo unaweza kusema
amekuja kufanya, kwa hiyo ziara zake lazima zitakuwa binafsi lakini sio siri

wakuu kitu cha siri na picha magazetini wapi na wapi?
kikwete haweke wazi kaongea naye nini? sio kuja kutupiga mchanga wa macho siku za uso
yeye ni kiongozi wa nchi kama alitaka kuongea naye mambo binafsi angekwenda serengeti huko alikokuwa
sio IKULU
ikulu ni ofisi jamani au watu majui hilo, sasa hapo kuna ubinafsi gani?

marekani wameshakuwa wazi wanaipenda na wana -interest na tanzania sasa sio kufichana mambo
leo kesho tunakuja kuambia mambo ya mikataba ya kijinga
 
Alikuwa na ziara wilayani serengeti ambapo alitembelea mbuga za wanyama wenyeji wake walikuwa wamiliki wa kampuni
moja ya wanyawa ijulikanayo kama SASAKWA AU VIP nilibaatika kumuona ila kwa mbali
 
Ifakara Health Research and Development Centre (IRHDC). The Bagamoyo research centre is aimed at finding the source of cassava disease.Not IRHDC but it is Ifakara Health Institute(ihi)
 
du huyu jamaa anatuweka mjini wengi. hata porojo zote za hapa jamvini nadhani 98% tunatumia product zake, microsoft.
 
Alikuwa na ziara wilayani serengeti ambapo alitembelea mbuga za wanyama wenyeji wake walikuwa wamiliki wa kampuni
moja ya wanyawa ijulikanayo kama SASAKWA AU VIP nilibaatika kumuona ila kwa mbali

nadhani sio kampuni ya wabunge watu au vigogo wa serikalini na kodi hailipi, naomba zaidi kama una info
 
lodge-header-singita-sasakwa-lodge.jpg

yasemekana bill alikuwa huku



9 Luxury Cottages - Double:
US$1 675
per person per night sharing

Four-bedroom Luxury Private Retreat
US$7 500
per night for up to 4 guests

US$1 675
per person per night sharing for additional guests (maxiumum 8 guests)


nina hakika BILL alifunga mtaa sijui walimtoa kiasi gani? na sijui kama kuna kodi italipwa kwa viwango halisi au ndio hizi hizi tu TRA watakusanya

hii nchi hii basi, mimi wakinipa tanzania niiendeshe kibiashara kwa miaka mitano itakuwa kama DUBAI

 
View attachment 32920Bill ana miradi mingi sana hapa tanzania ingekuwa busara kama watanzania wangejua amekuja na nini kimemletakama kuna kitu kinaendelea nchi mwetu ni haki kujua sia kupigwa kama mshangaombona wengine tunajulishwa hata miazi mingi kabla
Ujulishwe we nani? na hii ni "private family visit" Mbona mara nyingi tu anakuja na hakuna ajuae. Huwa Mafia anavua bluemarlin, ndio hobby yake, deep sea fishing.
 
Back
Top Bottom